Hajafanya PhD kwa kifaransa, kifaransa huko hata bonjour sidhani kama anaijuaWhat if anajua kifaransa zaidi ya kiswahili na kiingereza?
What if anaweza kuandika zaidi, kuliko kukiongea, je u-prof wake utaendelea kuwa questioned?!
Basi atumie kiswahili kwani ni lugha yetu pia, don't hunt what you can not kill.Ni sahihi pia angeenda uko ila kumbuka amekaa sana Udsm na pale NECTA so anatufaaa hapa kwenye uwaziri zaidi kuliko huko angetakiwa awashawish wahisani she is the Experienced lady in this area
Hivi Mtu ukijua kuongea Kiingereza ndo amefaulu. Basi kama ndiyo hivyo mtoto Wangu wa Dara la 4 nimsomi kwelikweli maana anaongea sana kiingereza, UK English and USA English.
Vilevile Watoto wale wa uingereza nao ni Wasomi kwelikweli maana kutwa wanaongea kiingereza.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nineamini kuna Mburula wengi sana ambao wanaamini ukijua Lugha ya kiingereza ndo usomi wenyewe.
Acha kupotosha mada kama hao wengine. Hapa tunaongelea umahiri wa lugha kwa mtu mwenye bonge la elimu kama yeye na dhamana aliyopewa. Mada ya werevu ama ujiniasi unaweza kuanzisha ukitaka.
Kuna mzungu mmoja huwa anauliza "did you saw him"?
Angekua mswahili!!!!sipati picha.
Kiazi wewe jibu hoja....English grammar inahusiano gani na utendaji wa Ndalichako? Sitaki kurudi kunye level ya shule ya yule mama tukalinganisha na huko kwenye chama chenu. Jibu hoja za msingi za kiutendaji zilizoathiliwa na hiyo grammar ambayo ninyi chamani kwenu form 6 mlitoka na zero.
Kwani huyu mama yeye ni m-Tanzania au ni mwingereza?
lugha tu hiz jamani tusibezane sana wakenya jana walikuwa wanalalamika pia Gidion Moi (expected kenyan 5th) hajui kiswahili ..Doktari =daktari
Kiazi hajui hayo yote. Halafu sijui maendeleo ya China au Dubei yameletwa na Lugha ya Kiingereza?
Kama ni lugha iliyokuja na meli mbona Taarifa za hukumu kwenye mahakama zenu zinaandikwa kwa hiyo lugha ?, mbona hamjawahi kuikataa ?!, na ndio maana mnaandikiwa hukumu ambayo hata hamuwezi kuihoji kwa sababu imeandikwa kwa lugha isiyo yenu, mahospitalini kote umewahi kukuta Daktari anaandika kwa Kiswahili ?.
Jose Mourhino ni mcheza mpira au kocha wa mpira. Joyce ni PhD holder na mwalimu na sasa waziri. Acha kutetea ujinga
Ukisema Mbowe hajui kingereza mimi sishangai kwa sababu ya level ya elimu yake, lakini msomi wa PhD kuongea broken ki kituko cha dunia.Kumbuka hatuzungumzii utendaji wakeKiingereza kwa Tanzania ni somo kichwa maji wewe........ mtu aliyepata F kiingereza lkn masomo ya sayansi akapata A zote ni wa maana zaidi kuliko aliyepata A kiingereza anafail sayansi. Uthamani wa mama Ndalichako even Academically haupo kwenye Kiingereza bali masomo yake ya sayansi ambayo ni mahiri kabisa. Zaidi ya yote kwa sasa alipo hatuangalii ujinga huo unaouzungumzia wewe Kiingrezaa bra braaaa. Tunaangalia utendaji wake. Halafu ukitaka hayo mamabo ya taaluma kaanze na cheti cha form 6 cha Mh. Philemony Aikael Mbowe halafu uje hapa useme nafasi aliyonayo kwenye chama chenu inamtosheleza au la.
Akili huna wewe..toka Secondary school mpaka PHD wanatumia lugha gani???Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzungumza Kiingereza kizuri hakuna uhusiano wowote na utendaji. Rekodi ya huyu mama inambeba. Nafahamu suala hili pia linachagizwa na siasa lakini huyu mama amefanya mambo makubwa kabisa na ya maana kwa Taifa hili
Let us disscuss the topic in english!
One of the simple task in this world is to see some one mistakes!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Daaah,wabongo wengi bado wanaamini kwamba,kujua ki-english fasaha ni kuwa mwerevu.
Jose Mourinho kocha wa Spurs bado anaongea broken English mpaka kesho pamoja na kuish England miaka kibao ,sasa sijui nayeye KILAZA kwa mujibu wa 'wasomi' wetu hapa???
Ukisema Mbowe hajui kingereza mimi sishangai kwa sababu ya level ya elimu yake, lakini msomi wa PhD kuongea broken ki kituko cha dunia.Kumbuka hatuzungumzii utendaji wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbuka kwamba,kwa mtu yeyote kuongea ama kutokuongea english fasaha hakuna uhusiana wa moja kwa moja na elimu aliyonayo!!!