Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Managerial skills unazipata kwa either kusomea degrees zake ie. Business Management, Health and Social Care Management, Oil and Gas Management, etc Management.

Ama unazipata kazini through training and development; ndio maana kwenye vikao vya bunge majuzi mwenyekiti wa kamati ya serikari za mitaa akawa anashauri kutokana na walichokiona wakurugenzi wengi huko wilayani ni incompetent kwenye usimamizi kwa sababu ni untrained matokeo yake wanategemea msaada wa wafanyakazi wa halmashauri wenye experience ambao wamepanda madaraja kutokana na kupatiwa mafunzo ya usimamizi.

Hakuna degree isiyokuwa na neno management mwishoni ina cover wide scope areas of management; Mtu anaesoma business studies, Social Work, Oil and Gas exploration or any other degree ambayo aina neno management awezi kuwa na wider knowledge ya management anachofundishwa ni namna ya ku perform task for the most part; trust me.
 
Huoni kama akiendelea kuwa hapo anaweza kutuletea wasomi dizaini yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipaniki babu, hakuna aliyohoji utendaji wake, ishu ni kwa nini Waziri wa Elimu level ya PhD hajui lugha ya Malkia kwa ufasaha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijapanic dogo na katika jibu la msingi ungekuwa na akili ya kusoma vitu between the line ungekuwa umeshaelewa. kiingereza ni somo miongoni mwa masomo mengi. Performance ya kwenye Science si lazima kujua English grammar. Na wewe ni kwa sababu tu uelewa wako ni mwembamba ndiyo maana unapata shida na hivi vitu. Naendelea kukusisitiza hata hiyo PhD yake haina uhusiano wowote ule na English grammer.
 

Cha kwanza kabisa unachopaswa kufahamu,hakuna uhusiano wa moja kwa moja baina ya mtu kuongea lugha hata kumi kwa ufasaha na elimu aliyonayo,na zaidi sio rahisi kwako wewe kuona makosa ya mwengine kwenye jambo ambalo huna ufahamu wa kutosha juu yake!!
 
Like daughter like father
 
Hata mie niliyedrop masomo ya History; Geography na Biology nikiwa kidato cha pili namzidi

"Even me who dropped subjects of history, geography and biology while in form two I am better than her"
Duh... Hebu malizia na aya ya mwisho
 
Sasa kama lugha yetu ni Kiswahili kwa nini aongee lugha isiyo yake?
 
Upo uhusiano wa kuongea lugha hiyo kwa fasaha na kama lugha hiyo ilitumika kukufundushia kwa muda mrefu na ulifundishwa kwa ubora unaostahili.
Cha kwanza kabisa unachopaswa kufahamu,hakuna uhusiano wa moja kwa moja baina ya mtu kuongea lugha hata kumi kwa ufasaha na elimu aliyonayo,na zaidi sio rahisi kwako wewe kuona makosa ya mwengine kwenye jambo ambalo huna ufahamu wa kutosha juu yake!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwanza kabisa sijahoji. Nilikuwa namwambia mchangiaji asipotoshe mada.
Pili, suala la kuhoji kifanyike nini ili wahitimu wakitanzania waweze kujitegemea kwa kila nyanja ni mada nyingine ambayo hapa haihusiki, walakini waweza kuianzishia uzi ukiona vema. Watu wajifunze kubakia kwenye mada. Full stop.
 
Mkuu kumbuka kwamba,kwa mtu yeyote kuongea ama kutokuongea english fasaha hakuna uhusiana wa moja kwa moja na elimu aliyonayo!!!
Mkuu, kuna uhusiano mkubwa sana wa elimu na ufasaha wa lugha. Hata ukienda US, UK, Canada etc. watu ambao hawajasoma hawaongei lugha kwa ufasaha kama waliosoma. Nia utawajua kirahi tu. Same Tanzania, pamoja na kwamba Kiswahili ni lugha yetu bado pia tunajifunza Kiswahili mashuleni. Kuna watu wengi tu (asilimia kubwa) wamejifunzia kuongea Kiswahili mashuleni. Watu wengi (hata humu) kwa kufuatilia maandishi ya wengi utaona ni jinsi gani tunapishana kwa ufasaha wa Kiswahili.

Tatizo kubwa la Ndalichako siyo tu kwamba ameongea broken English bali ameshindwa kufikisha ujumbe kwa walengwa.Zaidi ya Watanzania sidhani kama wengine wamemuelewa alikuwa anataka kusema nini.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…