humu tumeshaongea kuna eneo halitakiwi kucheza hasa elimu ya msingi.Shule za serkiali zote ziwe english medium.Amekaa darasani miaka zaidi ya 10,
Wajinga wenzio ndo walikubali hizo sifa za kuwa mbunge,hapana lazima tuukubali ukweli kwaamba kuna shida,haiwezekani kwa prof kuwa na kiingereza chakuokoteza vile.Inawezekana hujui vzr sifa ya kuwa prof.Visingizio kibao eti ooh wamesoma sayansi utafikir sayansi inafundishwa kwa kiswahili haina maneno ya kiingereza.Kwani kujua kiingereza inasaidia nini? na km mnapenda elimu sana kwanini mkakubali sifa ya mbunge ajue tu kusoma na kuandika?
They say it's for communication, not for fluency, kama mchina kaelewa hicho kibovu, over.
Kwani nyie mnaomsema sema mnakijua hicho kiingereza, halafu mkikutana na mzungu mnaanza tetemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga wenzio ndo walikubali hizo sifa za kuwa mbunge,hapana lazima tuukubali ukweli kwaamba kuna shida,haiwezekani kwa prof kuwa na kiingereza chakuokoteza vile.Inawezekana hujui vzr sifa ya kuwa prof.Visingizio kibao eti ooh wamesoma sayansi utafikir sayansi inafundishwa kwa kiswahili haina maneno ya kiingereza.
Vipi umemzid nini maisha hayaKwani wewe ulishamcheka yoyote anayeongea kiswahili kwa kukosea kosea? Lakini kama uko timamu na umesoma mpaka level ya PhD na bado unayumba yumba kwenye hiyo lugha uliyoitumia mpaka level hiyo wewe ni kilaza kama vilaza wengine tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nazungumzia vyote. Mfano linganisha Kingereza cha Rooney na Tony Blair.
Mmh, mbona shida!!!???Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Haya tumeona utumbo wako ulioandika kuhusu PhD yako ya Kijerumani. Gambia kuwa kama una PhD kwa lugha ya Kijerumani na huwezi kuongea basi hiyo ni PhD fake kama ya Prof Ndalichako.PhD na lugha wapi na wapi. Umekwama wapi. Mkuu. Watu tuliandika PHD kwa kijerumani lakini Sio kwamba tunakimaster. Ni scientific work so one needs Hilfe Anapokuwa amemalizana na Maprofessor wanaomsaidia. Anapewa mtaalamu wa lugha na Fach the anarekebisha.
Wazo lako la kuandika ndo Point. Kwa kuwa Ni muhimu kwa kiongozi kufikisha ujumbe kama anavyokusudia. Na Lugha Ni Tool muhimu ya kufanya hivyo
Halafu mijitu inataka kweli tukae kimya kwa broken hiyo kisa ana PhD ya mathematics?? Kwani PhD ya mathematics kutengeneza model gani tuone?Basics free basic primary education ands the they decision was made make sure that all all tanzanian children of Tanzanian give aaaaah
Yaani hivyo😏😏😏😏😏
Exactly,coz ppl are just blowing their trumpets like s certain head of state in a so called "divided states of satan"Huu mjadala uendelee kwa kiingereza.
Acha kabisa hizo. Kiinglishi ni lugha yetu ya nne hivyo uelewe kuwa ipo hivi kama wazazi ni makabila tofauti basi:Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha labda ya kutafuta thamani ya xHalafu mijitu inataka kweli tukae kimya kwa broken hiyo kisa ana PhD ya mathematics?? Kwani PhD ya mathematics kutengeneza model gani tuone?
Umeeleza vizuri sana.People are not examined orally when producing their thesis, rather the work is assessed through structured academic writing.
During the process there is a supervisor whom you can consult as the work develops, if there are grammatical errors or areas of improvement they will be highlighted during discussions.
Therefore the author has ample time to correct their work in all areas, before producing the final draft; consequently this has nothing to being able to speak good english.
Whereas spoken English is not determined by merely understanding the meaning of words from a particular language, there are also psychological factors like how often you use that language for the structure to register in your brain, etc with lexical development.
As a result people who spend most of their time listening and speaking their mothers tongue are bound to struggle with foreign languages regardless of their education.
Most people who brag about their English skills in this forum and haven’t spent much time abroad I am certain when conversing with them for half an hour a majority will struggle and their accent won’t be far apart from those they ridicule.
Vitu viwili tofauti, Obama hajafanya PhD kwa kiswahili, huyo waziri pia hakuongea kwa nasaa sita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo yule pimbi kununua nyanya na kupiga picha ndio habari?Hii nayo ni habari?
Jamani tuache ujinga basi maana nyie wenyewe mfumo wetu wa elimu mnaujua.
Mtu mwingine mpaka anapata PhD neo analoweza kulitamka kwa ufasaha ni 'is'.
Kila Mtanzania ambae ana level ya dr uwa hawez kuongea Kingereza fasaha wala Kiswahili fasaha
Acha kuamisha magori mkuu, mada siyo kumzidi kimaisha, swala msomi kama yeye alafu lugha inampiga chenga kiasi hicho inafanya watu tuwe na mashaka na hiyo PhD yake. Sina PhD na nimesoma hizi shule zetu lakini hanikuti hata robo kwenye hiyo lugha.