Kama na Joyce kwa kizung hicho ni kichwa basi Tanzania haina wasomiEitherway ukisikia mtu ana ata first degree za mathematics kubali tu ni kichwa na PhD ndio kabisa. Sasa aina maana kila sehemu anafaa Ndalichako as minister she comes across as incompetent and she is in that area ata ukimsikiliza unaona huyu mama ni clueless kwenye hayo maswala.
Wadau msimtetee huyu waziri wenu hata kama mna mapenzi nae, kwa nafasi aliyonayo, kwa level yake anayojitangaza (kwamba ni Profesa) hastahili kuongea ovyo ovyo hivyo, kama hawezi kunyoosha ulimi basi aache kuongea kingereza, umesema kweli kuhusu pronounce, lakini ni kutuaibisha sisi watanzania, nimegundua ndio maana yeye na bosi wake (rais) wanazichukia sana shule binafsi, kwa sababu kule wanatolewa wanafunzi ambao akiongea hapa kiingereza utadhani amezaliwa mjini Manchester, lakini pia amekaa muda mrefu sana huyo darasani, inaonesha ana kichwa kigumu, ndege wafananao huruka pamojaHivi Kuongea English ndio Ishara ya usomi!???
Watanzania English sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili,mara nyingi tunaitumia tuwasilianapo na wageni na pia katika shughuli za kiofisi!!
English sio lugha yetu mama hivyo huwezi ukaiongea kama ambavyo inaongelewa America na Uingereza...Halafu tambua yeyote anayejifunza English ukubwani lazima akumbane na changamoto kwenye kuongea...
Kwa Mfano ili uwe mjuvi wa English lazima uwe mzuri kwenye" Pronunciation " hapa hubeba asilimia 60 kwenye uongeaji wa lugha hii..
"Stress" Mikazo ya maneno hapa napo ndipo shida hutokea kwa watu ambao English sio lugha mama na hapa hubeba asilimia zisizopungua 40.
Intonation,Rythm...kila lugha ina mfumo wake na mpangilio wake wengi kiswahili kimetuathiri sana na hzi lugha zetu za makabila...
Ni ngumu kuongea English yenye kupendeza masikio ya watu tusiongee kwa mihemko aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Jose Mourhino ni mcheza mpira au kocha wa mpira. Joyce ni PhD holder na mwalimu na sasa waziri. Acha kutetea ujingaDaaah,wabongo wengi bado wanaamini kwamba,kujua ki-english fasaha ni kuwa mwerevu.
Jose Mourinho kocha wa Spurs bado anaongea broken English mpaka kesho pamoja na kuish England miaka kibao ,sasa sijui nayeye KILAZA kwa mujibu wa 'wasomi' wetu hapa???
Hivi Kuongea English ndio Ishara ya usomi!???
Watanzania English sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili,mara nyingi tunaitumia tuwasilianapo na wageni na pia katika shughuli za kiofisi!!
English sio lugha yetu mama hivyo huwezi ukaiongea kama ambavyo inaongelewa America na Uingereza...Halafu tambua yeyote anayejifunza English ukubwani lazima akumbane na changamoto kwenye kuongea...
Kwa Mfano ili uwe mjuvi wa English lazima uwe mzuri kwenye" Pronunciation " hapa hubeba asilimia 60 kwenye uongeaji wa lugha hii..
"Stress" Mikazo ya maneno hapa napo ndipo shida hutokea kwa watu ambao English sio lugha mama na hapa hubeba asilimia zisizopungua 40.
Intonation,Rythm...kila lugha ina mfumo wake na mpangilio wake wengi kiswahili kimetuathiri sana na hzi lugha zetu za makabila...
Ni ngumu kuongea English yenye kupendeza masikio ya watu tusiongee kwa mihemko aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Mag3 kwa kutoa msisitizo kwa kutumia English iliyosimama vyemaSo? Is this also meant to serve as an excuse? It all started with one being given the same lame excuse for being a Chemist and now what was that again? A Mathematician, my foot! Next it will be a Physicist, then a Doctor, then an Accountant, then a Pilot, then what next? An Engineer? A Lawyer? An Auditor? A Banker? A Philospher? A Statistician?...and where will all this end? A Govenment worker? A Factory manager? a Locomotive driver? a Nurse? a Technician? a Bull-dozer or what? Some excuses are so stupid they'd make you want to throw up?
For one English is the second official Language of the United Republic of Tanzania after Kiswahili.Two English is the medium of instruction in the Institutions of higher learning in this country. Three English is the number one Language of the world. To be a professor in any field of learning and not be able to speak English fluently leaves a lot to be desired. To give the kind excuse like the one Prof. Ndalichako is being accorded just shows our ineptitude when faced with a problem that requires serious and seasoned remedy. Aren't we merely acting like imbeciles?
Wakenya hawasomi kwa kiswahili mpaka PhD, so kutokujua kiswahili siyo ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
kiswahili in kenya ni lugha ya taifa na inatumika pia kwenye shughuli za kiserikali kama tu kingereza hapa kwetu na the predicted kenyan 5th hayuko competent nacho kutokuwa competent na kingereza kwa JN hakudhuru sana kama tunavyotaka kumaanishaWakenya hawasomi kwa kiswahili mpaka PhD, so kutokujua kiswahili siyo ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Kuongea English ndio Ishara ya usomi!???
Watanzania English sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili,mara nyingi tunaitumia tuwasilianapo na wageni na pia katika shughuli za kiofisi!!
English sio lugha yetu mama hivyo huwezi ukaiongea kama ambavyo inaongelewa America na Uingereza...Halafu tambua yeyote anayejifunza English ukubwani lazima akumbane na changamoto kwenye kuongea...
Kwa Mfano ili uwe mjuvi wa English lazima uwe mzuri kwenye" Pronunciation " hapa hubeba asilimia 60 kwenye uongeaji wa lugha hii..
"Stress" Mikazo ya maneno hapa napo ndipo shida hutokea kwa watu ambao English sio lugha mama na hapa hubeba asilimia zisizopungua 40.
Intonation,Rythm...kila lugha ina mfumo wake na mpangilio wake wengi kiswahili kimetuathiri sana na hzi lugha zetu za makabila...
Ni ngumu kuongea English yenye kupendeza masikio ya watu tusiongee kwa mihemko aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama na wewe unasema Profesa anaongea vizuri basi na wewe ni mburula mwingine wa Kiingereza. Rudi kwenye clip tenaTuwe tunaelewa kitu kila lugha unayoongea inaathiriwa na lugha mama. Prof anaongea vizuri tu. Tusimlazimishe mirindimo yake ya sauti wakati anaongea iwe kama ya Muingereza.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza kumfananisha Profesa wa Tanzania na mtoto aliyezaliwa UK inaonyesha hujaelewa mada. Pili kama mtoto wako anayesoma English medium anajuwa English kuliko wewe uliyesoma mpaka nje ya Tanzania basi wewe ni mburula na mwanao ni mkali. Ikifika jioni mwambie shikamoo mtotoSioni mantiki yoyote ya kumlaumu Professor kwenye lugha. Kujua lugha sio maarifa ni lugha tu kama kuhaya, kikorea, kachina n.k. Nauliza swali je mtoto wa miaka mitano aliyezaliwa UK ambapo lugha ya kiingereza ndio asili yao ana akili kuliko Rais wa China ambaye hajui kiingereza. Tuna fikra potofu sana watz haswa kuhusu lugha. Mie watoto wangu wanasoma shule za English medium na wanaongea kiingereza vizuri kushinda mimi lakini mimi nina elimu kubwa sana ambayo nimeipata kwenye vyuo vikubwa tu vya dunia ya kwanza na sio mtaalam kihivyo wa hiyo lugha na hayo wazungu nilikuwa nawagalagaza sana darasani
Kwani mkuu wewe gramatical English unataka ikusaidie nini katika maisha yako ya kawaida ya kila siku? Boutros Boutros-Ghali Mmisri mwanasiasa na mwanadiplomasia aliyetukuka aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa hakuwahi kuwa na Kiingereza kizuri hata siku moja lkn kaserve kwenye nafasi kubwa kabisa na kwa mafanikio makubwa. Hangaika na matokeo ya kazi anayofanya mama ndalichako achana na lugha anayozungumza hasa hizi zilizoletwa kwenye makontena.Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake, usije kuwa sawa na yeye ... (Mithali 24:6)Upuuzi mtupu! Mleta hoja unakuja na upumbavu kama huu? Kiingereza ndio cha kumsema nacho mama Ndalichako? wewe unakijua? Ulizaliwa nacho? Kiswahili tulichozaliwa nacho tunaharibu sembuse hii lugha iliyokuja na meli? Kwendaaaaaaaaaaaaa!