Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Hata hayo matokeo mboa hayapo, au inatakiwa darubini kuweza kuyaona ?.Kwani mkuu wewe gramatical English unataka ikusaidie nini katika maisha yako ya kawaida ya kila siku? Boutros Boutros-Ghali Mmisri mwanasiasa na mwanadiplomasia aliyetukuka aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa hakuwahi kuwa na Kiingereza kizuri hata siku moja lkn kaserve kwenye nafasi kubwa kabisa na kwa mafanikio makubwa. Hangaika na matokeo ya kazi anayofanya mama ndalichako achana na lugha anayozungumza hasa hizi zilizoletwa kwenye makontena.
Hata wewe hicho Kiswahili chako ukifuatiliwa bado utaonekana hukijui vizuti. Kukosea grammar haina maana kuwa mtu hawezi kufanya research au kuandika thesis/dissertation. Hiyo research kwanza kuna sehemu unaweza kulazimika kutumia kiswahili ili kukusanya data hasa ikiwa respondents hawajui English kisha unatafsiri mwenyewe katika English. Wewe una chuki binafsi na huyo mama sasa unatumia huko kuteleza kidogo kumshambulia. Voivyote vile huyo mama yuko vizuri kichwani kuliko wewe na ikitokea mkapewa mtihani wowote ule wewe na yeye atakubwaga mbali. Raha ya JF unajikficha nyuma ya keyboard unashambulia lakini ukiambiwa wewe unayejua umesoma hadi kiwango gani cha elimu huwezi taja humu. Kumbuka hakuna anayejipa vyeti bali hupewa baada ya jopo la wanazuoni wanaokubalika katika ngazi husika kuona fulani anastahili kutunukiwa. Elimu ya huyo mama inatambulika mpaka kimataifa hata wewe binafsi usipoitambua.Hiyo Phd yake lugha aliyotumia kuipata ni kingereza, kushindwa kuzungumza kingereza vizuri ni lazima tuwe na mashaka research na thesis alizifanyaje?
Angekuwa Mrusi au mchina ingeeeweka lakini kaipata kwa Kingereza
Mimi na wewe wote tunaijua...huna sababu ya kuiuliza!!!Lugha rasmi ya kibiashara na kisheria (official business and legal language) ya Tanzania ni lugha gani?
Mimi na wewe wote tunaijua...huna sababu ya kuiuliza!!!
Kama swali lako linajibu nilichoandika basi upo nje ya mada!!
Leta hoja usiulize swali...
Sent using Jamii Forums mobile app
In kenya kiswahili ni lugha ya taifa na inatumika ktk shughuli za kiserikali na there probable kenyan 5th hayuko competent nacho na our JN sio kwamba hajui kabisa she is just not competent enough of which haidhuru sana na not only her many of our learned bro and sis wanatafsiri tu kingereza kwa lugha yao ya kwanza na haijaathir sana utendaji waoWakenya hawasomi kwa kiswahili mpaka PhD, so kutokujua kiswahili siyo ishu
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani unataka kushindana na phd?huyu mama kasoma hiyo ni lugha tu mbona wengine kiswahili nacho ni shidaJoyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Kuongea kiinglish ingekua rahisi zaidi kuliko hayo mahesabu mnayomsifia kuyajua!!Kwa sababu ajasomea things of social science theories in nature.
Yeye anajua mambo ya number systems, structures, spaces, changes, game theory etc with mathematical theories. If you expand those theories it’s an entire different world with so many avenues to master and things can get very complicated if you don’t have the head.
Na Career path ya mathematicians sio managerial post za kisiasa, kwa level zake alitakiwa kuwa BoT huko ana crunch numbers au sehemu zozote ambazo mathematic za level yake inahitajika.
Eitherway ukisikia mtu ana ata first degree za mathematics kubali tu ni kichwa na PhD ndio kabisa. Sasa aina maana kila sehemu anafaa Ndalichako as minister she comes across as incompetent and she is in that area ata ukimsikiliza unaona huyu mama ni clueless kwenye hayo maswala.
Hapana sio kweli, kuanzia form one mpaka PhD unatumia English kusome, how come someone with PhD she is not be able speak a good EnglishHivi Kuongea English ndio Ishara ya usomi!???
Watanzania English sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili,mara nyingi tunaitumia tuwasilianapo na wageni na pia katika shughuli za kiofisi!!
English sio lugha yetu mama hivyo huwezi ukaiongea kama ambavyo inaongelewa America na Uingereza...Halafu tambua yeyote anayejifunza English ukubwani lazima akumbane na changamoto kwenye kuongea...
Kwa Mfano ili uwe mjuvi wa English lazima uwe mzuri kwenye" Pronunciation " hapa hubeba asilimia 60 kwenye uongeaji wa lugha hii..
"Stress" Mikazo ya maneno hapa napo ndipo shida hutokea kwa watu ambao English sio lugha mama na hapa hubeba asilimia zisizopungua 40.
Intonation,Rythm...kila lugha ina mfumo wake na mpangilio wake wengi kiswahili kimetuathiri sana na hzi lugha zetu za makabila...
Ni ngumu kuongea English yenye kupendeza masikio ya watu tusiongee kwa mihemko aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi tunatumia English kwenye kuandika na sio kuongea...hivyo basi mfumo wetu wa elimu haumfanyi mtu awe mzuri kwenye kuongea English kwa ufasahaHapana sio kweli, kuanzia form one mpaka PhD unatumia English kusome, how come someone with PhD she is not be able to speak a good English
Wewe mwenye kingereza kizuri mbona unashinda tu humu ndani pasipo msaada wowote kwa taifa lako.Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?
Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)
USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.
Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Hoja yangu nilishaitoa ila ya kwako sijaiona badala ya swali....Rudia kusoma ulichoandika mwanzo halafu linganisha na ulichoandika sasa baada ya hapo tuambie hoja yako ni nini.
Lugha yoyote inahitaji practice, tatizo hapa Tanzania unaweza ukakaa mwaka mzima kwenye maeneo fulani usipate hata mtu moja wa kuongea naye hiyo lugha.Hapana sio kweli, kuanzia form one mpaka PhD unatumia English kusome, how come someone with PhD she is not be able to speak a good English