Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,973
- 13,647
Laana iambatane nawe milele yote
Eti Lissu aache uanaharakati ! Upo serious kweli?
Roho yako ni nyeusi kiasi hiki
Aliyepigwa risasi 16 ulitaka azungumze vipi afanye lipi mtambue 'kisaikolojia' mliyabadilisha maisha yake 360 degrees
Mgombea yupi mwingine amepitia aliyopitia Lissu
Angekuwa mjomba wako Baba yako Mtoto wako au wewe mwenyewe ungeandika huu urojo kweli?
Nachukia watu waliokosa utu huruma upole na upendo
Mungu akufunulie akuguse utambue 'hujafa hujaumbika'
Lissu ana kila sababu ya kuzungumza anavyozungumza hujui maumivu aliyopitia
Muombe Mungu akuzidishie miaka mingi ya kuishi ushuhudie Nguvu ya Mungu kwa wamchukizao
Wapandao kwa machozi watavuna kwa shangwe
Mungu halali wala hasinzi
Tunapiga magoti kumlilia na kuomba aliepushe Taifa na watesi
Roho yako kwatu kwa yanayotokea Zanzibar
**mods msifute comment yangu nimepata kibali kwa Mungu tafadhalini !
Eti Lissu aache uanaharakati ! Upo serious kweli?
Roho yako ni nyeusi kiasi hiki
Aliyepigwa risasi 16 ulitaka azungumze vipi afanye lipi mtambue 'kisaikolojia' mliyabadilisha maisha yake 360 degrees
Mgombea yupi mwingine amepitia aliyopitia Lissu
Angekuwa mjomba wako Baba yako Mtoto wako au wewe mwenyewe ungeandika huu urojo kweli?
Nachukia watu waliokosa utu huruma upole na upendo
Mungu akufunulie akuguse utambue 'hujafa hujaumbika'
Lissu ana kila sababu ya kuzungumza anavyozungumza hujui maumivu aliyopitia
Muombe Mungu akuzidishie miaka mingi ya kuishi ushuhudie Nguvu ya Mungu kwa wamchukizao
Wapandao kwa machozi watavuna kwa shangwe
Mungu halali wala hasinzi
Tunapiga magoti kumlilia na kuomba aliepushe Taifa na watesi
Roho yako kwatu kwa yanayotokea Zanzibar
**mods msifute comment yangu nimepata kibali kwa Mungu tafadhalini !