Julius Nyerere alikuwa mtu sahihi kupewa nchi kwa mazingira ya kipindi kile

Julius Nyerere alikuwa mtu sahihi kupewa nchi kwa mazingira ya kipindi kile

Nyerere atuvurugia hi nchi watanzania tuna chekwa je ni watu wajinga wajinga tusio kua na confedance au exposure tupo tupo kama laughing stock, elimu yetu mbovu. Viongozi wa chama chake ni wa hovyo wsmetawala nchi mpaka watakapo choka, Nyerere ndo chanzo cha matatizo ya Tanzania, mwenzie Kinystta na Obote walisaidia kujenga raia wao yeye kaamua kuwakandamiza tu.
Mtu amezaliwa Nyerere kastaafu au kashafariki Leo anakuja kumlaumu Nyerere,tatizo litakuwa kwake au kwa Nyerere?
 
Viongozi wa TANU walikua wanataka tanganyika iwe islamic republic of Tanganyika bila kujali uwepo wa wakristo mkoloni akawashtukia
Uwongo,suala la nchi kuwa Islamic ni jipya hasa kwa huku Africa,limeanza miaka ya 80 baada ya watu wengi kwenda kusoma itikadi ya uwahabi Saudi Arabia,wakoloni walitaka kutoa uhuru mapema Ila kila wakiangalia watu wa uhuru ni waislam,ndiyo wakamleta Nyerere aliyeshauriwa na askofu asiwe kasisi,walitaka kumuachia 'mwenzao' kiimani
 
We jamaa bwana!!..sensa ya mkoloni 1958 waislam ni 66%,sensa ya pili yenye kipengele Cha dini 1968 ikatoa hayo matokeo yako,huko duniani tukaulizwa waislam wamekutwa na janga gani wameisha kiasi hiki!?..tukaduwaa,tuliporudi tukafuta kipengele Cha dini Hadi Leo, wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri 8m..nchi Ina watu 65m,hapo wengi dini gani!?
TANU/TAA ilikuwepo mpaka tabora,waikela wa tabora alimshinda Nyerere kwenye kura, TANU ilikuwepo pwani kote,KAGERA..unakuja unasema TANU haikua kitaifa!!
Nyerere aliyapenda tu Sana madaraka,alipiga marufuku vyama vingi,akafunga waliomtambulisha na kulazimisha akubalike kwenye siasa,akaitumbukiza nchi kwenye umasikini na sera ya ujamaa baada ya kuvuruga miji iliyokuwepo nk
😂😂😂😂😂😂..Hapa mkuu naweza kukusaidi kwa nn waliongezeka kuzidi waislamu? Na kwa nn Tanzania ina watu wana majina ya utata kama unakuta mtu anaitwa Mohamed john .,Agustino Ramadhani ( Huyu ni mchungaji aliachiwa hospital ya teule pale Muheza na wakaloni)...

Ila hii bongo ishu ya udini hakuna kwa sababu licha ya viongozi wa dini kualikwa kweny mambo ya kiserikali ila hawana nguvu... Tanzania hakuna udini wala ukabila kwa tafiti zang kuna mchanganyiko mkubwa na watu wanafuata tamaduni za sehemu husika.

Tanzania baada hiyo sensa basi palikuwa na vukuto ila mpaka kufika 2005 hivi ishu ilikuwa safi.
 
We jamaa bwana!!..sensa ya mkoloni 1958 waislam ni 66%,sensa ya pili yenye kipengele Cha dini 1968 ikatoa hayo matokeo yako,huko duniani tukaulizwa waislam wamekutwa na janga gani wameisha kiasi hiki!?..tukaduwaa,tuliporudi tukafuta kipengele Cha dini Hadi Leo, wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri 8m..nchi Ina watu 65m,hapo wengi dini gani!?
TANU/TAA ilikuwepo mpaka tabora,waikela wa tabora alimshinda Nyerere kwenye kura, TANU ilikuwepo pwani kote,KAGERA..unakuja unasema TANU haikua kitaifa!!
Nyerere aliyapenda tu Sana madaraka,alipiga marufuku vyama vingi,akafunga waliomtambulisha na kulazimisha akubalike kwenye siasa,akaitumbukiza nchi kwenye umasikini na sera ya ujamaa baada ya kuvuruga miji iliyokuwepo nk
Sioni sababu kubwa ya kumlaumu Nyerere.

Je sasa hivi kuna utofauti wowote?
Africa my Africa.
 
Nyerere atuvurugia hi nchi watanzania tuna chekwa je ni watu wajinga wajinga tusio kua na confedance au exposure tupo tupo kama laughing stock, elimu yetu mbovu. Viongozi wa chama chake ni wa hovyo wsmetawala nchi mpaka watakapo choka, Nyerere ndo chanzo cha matatizo ya Tanzania, mwenzie Kinystta na Obote walisaidia kujenga raia wao yeye kaamua kuwakandamiza tu.

unachekww ww na matope yako kichwani!!

Hamna kiongozi anaeweza kukupa akili

ww kama unavinasaba vya ujinga pole
 
😂😂😂😂😂😂..Hapa mkuu naweza kukusaidi kwa nn waliongezeka kuzidi waislamu? Na kwa nn Tanzania ina watu wana majina ya utata kama unakuta mtu anaitwa Mohamed john .,Agustino Ramadhani ( Huyu ni mchungaji aliachiwa hospital ya teule pale Muheza na wakaloni)...

Ila hii bongo ishu ya udini hakuna kwa sababu licha ya viongozi wa dini kualikwa kweny mambo ya kiserikali ila hawana nguvu... Tanzania hakuna udini wala ukabila kwa tafiti zang kuna mchanganyiko mkubwa na watu wanafuata tamaduni za sehemu husika.

Tanzania baada hiyo sensa basi palikuwa na vukuto ila mpaka kufika 2005 hivi ishu ilikuwa safi.
Umeandika nini?..soma tena
 
Uandishi sio mzuri mjitahidi
Kabla ya Julius Nyerere hajawa kiongozi wa TANU na hali ya siasa za Tanzania zilikua kama ifuatayo;-

Changamoto kubwa ya TAA na baadae TANU ilikuwa ni power struggle kila mtu alikua anataka awe kiongozi na hakuna mtu aliyeweza kuunganisha wanachama ambao walikua makundi makundi. Hii ilipelekea TANU kuwa na wakati mgumu sana sababu kama hamna maelewano kabla hata ya uhuru mkija kupewa nchi itakuaje

Hakuna kiongozi wa TANU aliyekua na maono mapana ya kuunganisha nchi kwani wengi wao walidhani wanadai uhuru wa Dar es Salaam, walikua na ufahamu na nchi nzima ili hawakuwapa uzito maeneo mengine ya nchi.

Changamoto lingine ni swala la udini, viongozi wa TANU walitaka nchi kuwa ya kislamu na kuongozwa kislamu kitu ambacho mkoloni alikikataa sababu walitaka mtu atakaye leta usawa kwa dini zote kumbuka kabla ya uhuru waislamu walikua asilimia 35 na wakristo 30 na ndio mara ya mwisho Tanganyika kufanya sensa kujumuisha kipengele cha dini.
Na concern kubwa sana ya mkoloni ni swala la udini sababu kuna kosa alilifanya India na Pakistani hakutaka tena lijirudie Tanzania swala la usawa kwa dini zote alilichukulia kwa uzito mkubwa sana

Mkoloni aliwapa masharti kabla hawajarudi tena ku-discuss juu ya uhuru wawe wamesha-sort out juu ya swala la uongozi kwa sharti la awe mkristo, amesoma na mwanachama hai wa TANU kwa hiyo bila kupenda ikabidi wamchague Julius Nyerere

Nyerere kuwa kiongozi wa TANU ni uamuzi wa kutokupenda kwa wapigania uhuru na ndio the only best choice ambayo ilikuwepo kunauwezekano wako ambao walikua wazuri zaidi kwa kigezo cha elimu na uongozi zaidi ya Julius Nyerere ila wengi wao walikua ni wachungaji na mapadre kwa hiyo ingewawia vigumu kuunganisha nchi

Kwa hiyo Nyerere na mapungufu yake alikua ni mtu sahihi kupewa nchi kwa mazingira ya kipindi kile
Chan...
African Association 1924 hadi TAA 1948 kufikia TANU hapakuwa na power struggle.

Sijui haya umetoa wapi.

Hiyo power struggle ilikuwa kati ya nani na nani?

TAA ilikuwa na nguvu TAA HQ New Street, Dar-es-Salaam na historia yake inafahamika.

Hapakuwa na power struggle.

Halikadhalika hali ilikuwa hivyo TAA Kanda ya Ziwa na TAA Central Province.

Hiyo kila mtu alitaka kuwa kiongozi si kweli.

Uongozi wa wakati ule ulikuwa ni kubeba majukumu hili lilikuwa jambo zito.

TANU haikupata tabu kuwaunganisha wananchi kuwa kitu kimoja.

Umoja wa Watanganyika ulitengenezwa mwaka wa 1953 Hamza Mwapachu alipotoa wazo kuwa Nyerere achaguliwe kuwa TAA President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Nyerere akawa kiunganisho cha Watanganyika.

Hapa kuna kitu muhimu sana muhimu kifahamike.

Wamishionari walifanikiwa sana kwa kuwaweka waumini wao wengi nje ya harahati za siasa.

Ikawa siasa imetawaliwa zaidi na Waislam.

Kitendo cha Waislam kumchagua Nyerere kuwa Rais wa TAA kulidhihirisha kuwa TANU ina uwanja mpana wa Wakristo kujiunga na kuenea kote.

Hivi ndivyo TANU ilivyomkabili Muingereza kudai uhuru wa Tanganyika.

Tatizo la dini ukipenda tatizo la Uislam likawa limemalizwa.

Nyerere peke yake bila ya msaada wa Sheikh Hassan bin Ameir aliyekuwa Mufti wa Tanganyika, Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU, vijana wenzake Hamza Mwapachu, Abdul na Ally Sykes, Dossa Aziz na Mzee John Rupia asingefika mbali.

Nyerere hakuchaguliwa kuongoza TAA kwa maelekezo ya serikali ya Uingereza.

Historia ya Julius Nyerere inafahamika kwa ushahidi uliopo katika Nyaraka za Sykes.
 
Chan...
African Association 1924 hadi TAA 1948 kufikia TANU hapakuwa na power struggle.

Sijui haya umetoa wapi.

Hiyo power struggle ilikuwa kati ya nani na nani?

TAA ilikuwa na nguvu TAA HQ New Street, Dar-es-Salaam na historia yake inafahamika.

Hapakuwa na power struggle.

Halikadhalika hali ilikuwa hivyo TAA Kanda ya Ziwa na TAA Central Province.

Hiyo kila mtu alitaka kuwa kiongozi si kweli.

Uongozi wa wakati ule ulikuwa ni kubeba majukumu hili lilikuwa jambo zito.

TANU haikupata tabu kuwaunganisha wananchi kuwa kitu kimoja.

Umoja wa Watanganyika ulitengenezwa mwaka wa 1953 Hamza Mwapachu alipotoa wazo kuwa Nyerere achaguliwe kuwa TAA President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Nyerere akawa kiunganisho cha Watanganyika.

Hapa kuna kitu muhimu sana muhimu kifahamike.

Wamishionari walifanikiwa sana kwa kuwaweka waumini wao wengi nje ya harahati za siasa.

Ikawa siasa imetawaliwa zaidi na Waislam.

Kitendo cha Waislam kumchagua Nyerere kuwa Rais wa TAA kulidhihirisha kuwa TANU ina uwanja mpana wa Wakristo kujiunga na kuenea kote.

Hivi ndivyo TANU ilivyomkabili Muingereza kudai uhuru wa Tanganyika.

Tatizo la dini ukipenda tatizo la Uislam likawa limemalizwa.

Nyerere peke yake bila ya msaada wa Sheikh Hassan bin Ameir aliyekuwa Mufti wa Tanganyika, Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU, vijana wenzake Hamza Mwapachu, Abdul na Ally Sykes, Dossa Aziz na Mzee John Rupia asingefika mbali.

Nyerere hakuchaguliwa kuongoza TAA kwa maelekezo ya serikali ya Uingereza.

Historia ya Julius Nyerere inafahamika kwa ushahidi uliopo katika Nyaraka za Sykes.
Changamoto ni kwamba hata wewe umeadisiwa sidhani kama kuanzia miaka ya 1930 mpaka 1950 mwishoni sidhani kama ulikua na akili timamu

Ilipata shida sababu TAA na TANU kilikua ni chama cha kislamu na mkoloni hakutaka kufanya makosa aliyofanya india na pakistani

Angeruhusu ule muundo ukabidhiwe nchi basi watu wa dini nyingine wangekua na wakati mgumu sana baada ya uhuru
 
Chan...
African Association 1924 hadi TAA 1948 kufikia TANU hapakuwa na power struggle.

Sijui haya umetoa wapi.

Hiyo power struggle ilikuwa kati ya nani na nani?

TAA ilikuwa na nguvu TAA HQ New Street, Dar-es-Salaam na historia yake inafahamika.

Hapakuwa na power struggle.

Halikadhalika hali ilikuwa hivyo TAA Kanda ya Ziwa na TAA Central Province.

Hiyo kila mtu alitaka kuwa kiongozi si kweli.

Uongozi wa wakati ule ulikuwa ni kubeba majukumu hili lilikuwa jambo zito.

TANU haikupata tabu kuwaunganisha wananchi kuwa kitu kimoja.

Umoja wa Watanganyika ulitengenezwa mwaka wa 1953 Hamza Mwapachu alipotoa wazo kuwa Nyerere achaguliwe kuwa TAA President na mwaka unaofuatia 1954 TANU iundwe na Nyerere aongoze harakati za kudai uhuru.

Nyerere akawa kiunganisho cha Watanganyika.

Hapa kuna kitu muhimu sana muhimu kifahamike.

Wamishionari walifanikiwa sana kwa kuwaweka waumini wao wengi nje ya harahati za siasa.

Ikawa siasa imetawaliwa zaidi na Waislam.

Kitendo cha Waislam kumchagua Nyerere kuwa Rais wa TAA kulidhihirisha kuwa TANU ina uwanja mpana wa Wakristo kujiunga na kuenea kote.

Hivi ndivyo TANU ilivyomkabili Muingereza kudai uhuru wa Tanganyika.

Tatizo la dini ukipenda tatizo la Uislam likawa limemalizwa.

Nyerere peke yake bila ya msaada wa Sheikh Hassan bin Ameir aliyekuwa Mufti wa Tanganyika, Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU, vijana wenzake Hamza Mwapachu, Abdul na Ally Sykes, Dossa Aziz na Mzee John Rupia asingefika mbali.

Nyerere hakuchaguliwa kuongoza TAA kwa maelekezo ya serikali ya Uingereza.

Historia ya Julius Nyerere inafahamika kwa ushahidi uliopo katika Nyaraka za Sykes.
Kuna darkside ya TANU ambayo hata wewe huwezi kuyataja sababu waliokuadisia hawakukuambia lakin haya niliyoandika kwenye uzi ni ukweli mtupu

Swala la power struggle lilikuwepo
 
Changamoto ni kwamba hata wewe umeadisiwa sidhani kama kuanzia miaka ya 1930 mpaka 1950 mwishoni sidhani kama ulikua na akili timamu

Ilipata shida sababu TAA na TANU kilikua ni chama cha kislamu na mkoloni hakutaka kufanya makosa aliyofanya india na pakistani

Angeruhusu ule muundo ukabidhiwe nchi basi watu wa dini nyingine wangekua na wakati mgumu sana baada ya uhuru
Wewe mbuzi unatungatunga tu upupu kichwani mwako
 
Nyerere was a selfish man, watu wengi walio mjenga na kumthamini awe Raisi wa nchi hakuwataja katika vitabu vya history ya nchi, wengi ali watenga wengine ali wa eliminaye kisiasa............huwezi kupima uwezo wa Nyerere bila kujua walio mzunguka wslikua wakina nani, Nyerete hakutaka wasomi zaidi yake.
Huyu naye watu wanataka uhuru wa nchi yeye anataka uhuru wa kabila lake alikua mbinafsi sana
Ndo mama Hadi Leo wachaga wabinafsi
 
Changamoto ni kwamba hata wewe umeadisiwa sidhani kama kuanzia miaka ya 1930 mpaka 1950 mwishoni sidhani kama ulikua na akili timamu

Ilipata shida sababu TAA na TANU kilikua ni chama cha kislamu na mkoloni hakutaka kufanya makosa aliyofanya india na pakistani

Angeruhusu ule muundo ukabidhiwe nchi basi watu wa dini nyingine wangekua na wakati mgumu sana baada ya uhuru
Chan...
Sikuhadithiwa nimesoma historia ya African Association katika, "The Townsman Kleist Sykes," "Modern Tanzanians," John Iliffe, (Ed.), East African Publishing House, 1973.

Historia hii inatoka katika mswada wa kitabu alioandika Kleist Sykes kabla hajafariki 1949.
 
Back
Top Bottom