Gari ya zamani iyoHiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chini[emoji116]View attachment 1864990
Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
Umri wa Jay Z umeenda mtu anavyo grow kuna vitu automatically anaviacha. Ni wachache wanaoendelea na mambo waliokuwa wanafanya wakiwa vijana kama Snoop.Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.
Mkuu huenda huyo Jux hata hashindani na Diamond anaishi maisha yake tu, ila haters wa diamond wanajaribu mshindanisha na kila wanayemuona maana kila wanayemtumia wanafail inabidi watafte mwingine.Jux atafute size yake mond kamuacha sana. Wasanii wadogo wasiojiamini wengi wanasafiria nyota ya mond kwa sasa. Jux saizi yake ni kina marioo
Jux hapo ana msafara gani mkuu πππSasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
Dah!kwhyo mtu asiishi maisha yke aogope kushndnshwa na huyo ndg yenu?mibongo bhna!!!Jux atafute size yake mond kamuacha sana. Wasanii wadogo wasiojiamini wengi wanasafiria nyota ya mond kwa sasa. Jux saizi yake ni kina marioo
RR Cullian kulinganisha na hii ya Jux ni akili mbaya tu au mwehu peke yake ndio anaweza jaribu kutaka linganisha hivi vituHiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chiniπView attachment 1864990
Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
Dua yako kubwa Mond afulie au ?Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Ya Mond Bin laden ni 2021 ambayo ni RR Cullian.. alafu na Escalade 2021.. ni ujinga sana kulinganisha hivyo vyuma na chuma cha Jux.. ππHii ni ya 2016 mzee baba AMG
Umeamua kuua kabisaaa πππHaiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.
Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 π
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)π
View attachment 1865021
Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023
E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hiiπ
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030
Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidiπ€£View attachment 1865031
Jux anaishi life lake ila watu ndo wanataka kutengeneza hiyo league. Kwa upande wengu natamani tuwe hata na wasanii 10 wenye mafanikio kama Diamond au zaidi yake ili game iajiri na kuwapa space watu wengi zaidiMimi nahisi Jux atachemsha, Diamond tayari ana fanbase kubwa tena international opportunities anazo nyingi , simchukii Jux but hata nyimbo akizofanys na wasanii wa nje ni chache, napenda Mziki wake though, nyimbo zake zote ni hits hapa Tanzania
Yuko mbali mno, kifedha, ki investments, fan base, international recognition na strong management.level ipi
Hao wapuuzi , watakuona una chuma ya moto ila kwakua hawaijui utasikia umeona kale ka gari kabaya baya.. unaweza ukawa na Golf R na mwingine ana Crown Athlete.. Golf R wataita kale kagari kabaya bayaSi unaona kwenye uzi tunaambiwa Dimondi haiwezi vita na Jux π€£
ata ww unamshabikia dada mondNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Gari baya si wanalithaminisha kwa macho wakati kuna mtu kaumiza acc. bank hukoπππHao wapuuzi , watakuona una chuma ya moto ila kwakua hawaijui utasikia umeona kale ka gari kabaya baya.. unaweza ukawa na Golf R na mwingine ana Crown Athlete.. Golf R wataita kale kagari kabaya baya
Extrovert
Mwamba karuka na mie jumla jumlaπππ
Ushamba wa watu ni mzigo mzitoGari baya si wanalithaminisha kwa macho wakati kuna mtu kaumiza acc. bank hukoπππ
Ushamba mzigo kweli kweliUshamba wa watu ni mzigo mzito
Jamaa anamiliki current models ndio maana hata vizabizabina wameishia kudiss bila mafanikio π!Ya Mond Bin laden ni 2021 ambayo ni RR Cullian.. alafu na Escalade 2021.. ni ujinga sana kulinganisha hivyo vyuma na chuma cha Jux.. ππ
Hanunui mitumba πππJamaa anamiliki current models ndio maana hata vizabizabina wameishia kudiss bila mafanikio π!
Hana mtumba mle zote ni OG.