Ana mzigo dogo nimeshangaa hadi mshua kumbe anamtambua huyu kijana katika mazungumzo flani akatupia, โkama huyu kijana mwenzenu Diamond naona utajiri umeanza kubisha hodi na magari ananunua ya gharama sanaโ nikaona kweli dogo ameshafikia anga za washua ametungua pentagon!Hanunui mitumba ๐๐๐
Tabia gani mkuuItakua hujajua tabia ya Don King
Mabondia heavyweight wote waliofilisika Don alikua na mkono katika anguko lao. Alikua anawapiga.Tabia gani mkuu
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.
Ni kweli wanahangaika bure tuNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Mbongo mpe picha tu habari ataitengeneza yeye.Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
Ndio hivyo..jux kapost deal done...dogo kaja mbio mbio jf..alaf ukiangalia thread zake zote za kumkandia Diamond [emoji1]Mbongo mpe picha tu habari ataitengeneza yeye.
Usikute hapo jamaa anatengeneza video mpya, ila huyu hater wa diamond anasema kanunua chopa.
We dogo fanya maisha achana na kujaribu kumkandia jamaa aliekuzidi kila kitu si ajabu mpaka dhambi kakuzidi [emoji16][emoji16]
Aisee mi namuona kama anapata tabu sana huyu chalii. Ana kazi ya kupingapinga tu kila anachofanya mondi.Ndio hivyo..jux kapost deal done...dogo kaja mbio mbio jf..alaf ukiangalia thread zake zote za kumkandia Diamond [emoji1]
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,Jamaa anamiliki current models ndio maana hata vizabizabina wameishia kudiss bila mafanikio [emoji23]!
Hana mtumba mle zote ni OG.
Kuna nyerere kwe siasa kwenye ngoma kuna mze moris kwenye bendi kuna marijani kwenye mpira ......sande manara kwenye bongo muvi kuna kanumba na kwenye bongo flava kuna Nasib hawajapatikana kwa habati mbayaNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Kwani mkuu yeye akidanganya wewe unaumia nini?? Kuna namna unaathirika na uongo wake??Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,
1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill
2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016
Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Kwakuwa mnapenda kubishana na mimi nnachofanya ni kuwaelimisha tu ukweli sina chuki na mtu napenda kuweka sawaKwani mkuu yeye akidanganya wewe unaumia nini?? Kuna namna unaathirika na uongo wake??
Kama sivyo basi stress nyingine ni za kujitakia kabisa. Mpaka unapiga simu nnje ya nchi kwa gari isiyokuhusu.
We jamaa ni real hater [emoji119]
Usintaftie Ban mzee๐ !!! Mondi kanunua la 2018 sawa, wewe onesha rolce royce yako yoyote japo ya mwaka 2010 tu!Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,
1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill
2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016
Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Don Fumbwe huyo wa mamtoni alikuwa anawapiga hela sana basi ๐ ๐ ๐ ila Tyson akumbuke tabia za kihaya alizokuwa anafanya kwenye showroom za magari miaka hio ya 80โs akiwa na wapambe nuksi!Mabondia heavyweight wote waliofilisika Don alikua na mkono katika anguko lao. Alikua anawapiga.
Katika bondia ambaye sijaona akimlaumu Don popote ni Ali wengine wote wamemtaja ama kwa uwazi au kwa kificho.
Tyson alimtaja kwa kificho.
hawajapatikana kwa habati mbaya[emoji1534][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji817][emoji817][emoji817][emoji736][emoji736][emoji736]Kuna nyerere kwe siasa kwenye ngoma kuna mze moris kwenye bendi kuna marijani kwenye mpira ......sande manara kwenye bongo muvi kuna kanumba na kwenye bongo flava kuna Nasib hawajapatikana kwa habati mbaya
Nyie si ndiyo mnapiga tarumbeta eti hana mitumba na hiyo mi escalade ya kizamani basi jamaa atakua mshamba kama aliuziwa akiambiwa ya 2021. Mkirekebishwa mnakunja ngumi[emoji23]Usintaftie Ban mzee[emoji28]!!! Mondi kanunua la 2018 sawa, wewe onesha rolce royce yako yoyote japo ya mwaka 2010 tu!
Naomba uipost hapa na kama huna tafadhali wahi maliwatoni mzee.
Ahaa kumbe kuna ushamba umeuona ehh[emoji23]Don Fumbwe huyo wa mamtoni alikuwa anawapiga hela sana basi [emoji28][emoji28][emoji28] ila Tyson akumbuke tabia za kihaya alizokuwa anafanya kwenye showroom za magari miaka hio ya 80โs akiwa na wapambe nuksi!
Wenzie huku wanalipiaga bia mpe kila mtu kumi kumi.Yeye alifanya huo ushamba kwenye magari! Mpe kila mtu gari hapa bill kwangu[emoji28] wakiwa 6 ujue billion 6 zimeenda kwa Rolce Royce
Hio facelift imetoka ambapo ile previous model bado iko on production!Nyie si ndiyo mnapiga tarumbeta eti hana mitumba na hiyo mi escalade ya kizamani basi jamaa atakua mshamba kama aliuziwa akiambiwa ya 2021. Mkirekebishwa mnakunja ngumi[emoji23]
Asisingizie huyo meneja wakati alikuwa na sifa za kijinga๐Ahaa kumbe kuna ushamba umeuona ehh[emoji23]
Kwaiyo unaniambia hiyo fesilifuti ya mondi ya 2021 ni current kuliko hata ya 2020, hayo mamitumba ya 2016 kadanganyaneni kijiweni ,hapa tuko watu tunajua sana vitu. Kwanza wenyewe wamekiri kuwa walimuuzia mtumbaHio facelift imetoka ambapo ile previous model bado iko on production!
Hizi biashara za magari hamzijui msidandie dandie mabishano yasio na maana