Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Tabia gani mkuu
Mabondia heavyweight wote waliofilisika Don alikua na mkono katika anguko lao. Alikua anawapiga.

Katika bondia ambaye sijaona akimlaumu Don popote ni Ali wengine wote wamemtaja ama kwa uwazi au kwa kificho.

Tyson alimtaja kwa kificho.
 
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.

Sasa kwani mtu akifanya hayo uliyoandika kinachokuuma ni nini? Kuna chochote unapungukiwa ama kuongezewa ikiwa utamuona yeyeote anafanya hizo show off...!?!
 
Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.

Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.

Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.

Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
Mbongo mpe picha tu habari ataitengeneza yeye.

Usikute hapo jamaa anatengeneza video mpya, ila huyu hater wa diamond anasema kanunua chopa.

We dogo fanya maisha achana na kujaribu kumkandia jamaa aliekuzidi kila kitu si ajabu mpaka dhambi kakuzidi 😁😁
 
Mbongo mpe picha tu habari ataitengeneza yeye.

Usikute hapo jamaa anatengeneza video mpya, ila huyu hater wa diamond anasema kanunua chopa.

We dogo fanya maisha achana na kujaribu kumkandia jamaa aliekuzidi kila kitu si ajabu mpaka dhambi kakuzidi [emoji16][emoji16]
Ndio hivyo..jux kapost deal done...dogo kaja mbio mbio jf..alaf ukiangalia thread zake zote za kumkandia Diamond [emoji1]
 
Ndio hivyo..jux kapost deal done...dogo kaja mbio mbio jf..alaf ukiangalia thread zake zote za kumkandia Diamond [emoji1]
Aisee mi namuona kama anapata tabu sana huyu chalii. Ana kazi ya kupingapinga tu kila anachofanya mondi.
Na bahati mbaya zaidi hana wa kumfananisha nae leo kaja na jux na uwoya, kesho atakuja alikiba siku nyingine atasema mali sio za mondi, aisee sasa sijui analipwa au ni hulka zake binafsi tu.
 
Jamaa anamiliki current models ndio maana hata vizabizabina wameishia kudiss bila mafanikio [emoji23]!

Hana mtumba mle zote ni OG.
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,

1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill

2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016

Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.
IMG_20210724_102718.jpg
IMG_20210724_102653.jpg
IMG_20210724_102105.jpg
IMG_20210724_102241.jpg
IMG_20210724_102416.jpg
 

Attachments

  • IMG_20210724_101934.jpg
    IMG_20210724_101934.jpg
    76.5 KB · Views: 2
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,

1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill

2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016

Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Kwani mkuu yeye akidanganya wewe unaumia nini?? Kuna namna unaathirika na uongo wake??

Kama sivyo basi stress nyingine ni za kujitakia kabisa. Mpaka unapiga simu nnje ya nchi kwa gari isiyokuhusu.
We jamaa ni real hater 🙌
 
Kwani mkuu yeye akidanganya wewe unaumia nini?? Kuna namna unaathirika na uongo wake??

Kama sivyo basi stress nyingine ni za kujitakia kabisa. Mpaka unapiga simu nnje ya nchi kwa gari isiyokuhusu.
We jamaa ni real hater [emoji119]
Kwakuwa mnapenda kubishana na mimi nnachofanya ni kuwaelimisha tu ukweli sina chuki na mtu napenda kuweka sawa
 
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,

1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill

2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016

Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Usintaftie Ban mzee😅!!! Mondi kanunua la 2018 sawa, wewe onesha rolce royce yako yoyote japo ya mwaka 2010 tu!

Naomba uipost hapa na kama huna tafadhali wahi maliwatoni mzee.
 
Mabondia heavyweight wote waliofilisika Don alikua na mkono katika anguko lao. Alikua anawapiga.

Katika bondia ambaye sijaona akimlaumu Don popote ni Ali wengine wote wamemtaja ama kwa uwazi au kwa kificho.

Tyson alimtaja kwa kificho.
Don Fumbwe huyo wa mamtoni alikuwa anawapiga hela sana basi 😅😅😅 ila Tyson akumbuke tabia za kihaya alizokuwa anafanya kwenye showroom za magari miaka hio ya 80’s akiwa na wapambe nuksi!

Wenzie huku wanalipiaga bia mpe kila mtu kumi kumi.Yeye alifanya huo ushamba kwenye magari! Mpe kila mtu gari hapa bill kwangu😅 wakiwa 6 ujue billion 6 zimeenda kwa Rolce Royce
 
Kuna nyerere kwe siasa kwenye ngoma kuna mze moris kwenye bendi kuna marijani kwenye mpira ......sande manara kwenye bongo muvi kuna kanumba na kwenye bongo flava kuna Nasib hawajapatikana kwa habati mbaya
hawajapatikana kwa habati mbaya[emoji1534][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji817][emoji817][emoji817][emoji736][emoji736][emoji736]
 
Usintaftie Ban mzee[emoji28]!!! Mondi kanunua la 2018 sawa, wewe onesha rolce royce yako yoyote japo ya mwaka 2010 tu!

Naomba uipost hapa na kama huna tafadhali wahi maliwatoni mzee.
Nyie si ndiyo mnapiga tarumbeta eti hana mitumba na hiyo mi escalade ya kizamani basi jamaa atakua mshamba kama aliuziwa akiambiwa ya 2021. Mkirekebishwa mnakunja ngumi[emoji23]
 
Don Fumbwe huyo wa mamtoni alikuwa anawapiga hela sana basi [emoji28][emoji28][emoji28] ila Tyson akumbuke tabia za kihaya alizokuwa anafanya kwenye showroom za magari miaka hio ya 80’s akiwa na wapambe nuksi!

Wenzie huku wanalipiaga bia mpe kila mtu kumi kumi.Yeye alifanya huo ushamba kwenye magari! Mpe kila mtu gari hapa bill kwangu[emoji28] wakiwa 6 ujue billion 6 zimeenda kwa Rolce Royce
Ahaa kumbe kuna ushamba umeuona ehh[emoji23]
 
Nyie si ndiyo mnapiga tarumbeta eti hana mitumba na hiyo mi escalade ya kizamani basi jamaa atakua mshamba kama aliuziwa akiambiwa ya 2021. Mkirekebishwa mnakunja ngumi[emoji23]
Hio facelift imetoka ambapo ile previous model bado iko on production!

Hizi biashara za magari hamzijui msidandie dandie mabishano yasio na maana
 
Hio facelift imetoka ambapo ile previous model bado iko on production!

Hizi biashara za magari hamzijui msidandie dandie mabishano yasio na maana
Kwaiyo unaniambia hiyo fesilifuti ya mondi ya 2021 ni current kuliko hata ya 2020, hayo mamitumba ya 2016 kadanganyaneni kijiweni ,hapa tuko watu tunajua sana vitu. Kwanza wenyewe wamekiri kuwa walimuuzia mtumba
IMG_20210724_113825.jpg
IMG_20210724_114232.jpg
 
Back
Top Bottom