Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #81
Sio siri mmoja juzi katoka kutunzwa dolaKibongo bongo usishangae kuambiwa hizi ngumi za kupangwa watu wamekunja mkwanja hapo ku promote majina πππ
Wabongo hawana maana.
Katiba Mpya sheikh.Kwhy tuna focus wapi mpaka sasa tume au drma za bongo
Ushanfahamu sasa?Sio siri mmoja juzi katoka kutunzwa dola
Ndio zao hizo baadae unasikia limeandaliwa pambano la masumbwi kati ya huyo mwenye bango na huyo mwenye suti huku kila mmoja akiwa na team yake huku Kajala kule Harmonize... Na watu wanakata tiketi kuingia kwa wingi...Kibongo bongo usishangae kuambiwa hizi ngumi za kupangwa watu wamekunja mkwanja hapo ku promote majina πππ
Wabongo hawana maana.
Wanakuwa wakwaza kwenda kabisa naona itakuwa ivyoWakiitwa wanaume wa nchi hii na hao kenge wawili wanaenda?
Haya vijana wenye ndio hao wanapiganaKatiba Mpya sheikh.
Tume Huru ni zao la Katiba Mpya. Kukuche au kuwe giza Katiba is coming tomorrow
Kabisa kabisa mkuuUshanfahamu sasa?
Unataka kusema uko jino linatolewa kama unatoa kijiko mezanDar mnavitu vingi sana vya kujivunza huku Kanda maalumu Mara. Huko mtu kutolewa sikio ni kama ninyi huko daslama kunywa supu ya pweza hutaona wamepost Wala kusema maana nikawaida Sasa hao wamepiganaje Sasa hapo?
Na kunakuwa na vvipNdio zao hizo baadae unasikia limeandaliwa pambano la masumbwi kati ya huyo mwenye bango na huyo mwenye suti huku kila mmoja akiwa na team yake huku Kajala kule Harmonize... Na watu wanakata tiketi kuingia kwa wingi...
Hivi Mwijaku na Lokole ni vijana kwa namna gani.Haya vijana wenye ndio hao wanapigana
Vijana wapigwa miti wakigombea waume zaoMambo ya Daslam hayo.
Ngojs niende kwenye uzi wa Lissu na Mbowe.
Imagine kijana wa kiume unafuatilia tamthilia za kikorea kila episode na udaku wa kina Kajala na Juma Lokole... we imagine tu....Wewe mpaka ume_comment kwenye huu Uzi ni wazi uliu_click na kuusoma, kwa nini unafatilia kusoma habari kama hizi!? Huoni unathibitisha udogo wa IQ Yako Mkuu!?
Kawaida sana mara kwanza nafika bunda stend nakuta konda anakata tiket na panga niliogopa sana.Unataka kusema uko jino linatolewa kama unatoa kijiko mezan
Kuna ndugu yake mwijaku moro aligomaga kupanda gari la polisi akisema yeye ni ndugu wa mwijaku uku kavunja sheriaHivi Mwijaku na Lokole ni vijana kwa namna gani.
Ninaona kama ndugu wa jinsia ke wa baba vileπππ
Acha kutupanga basiKawaida sana mara kwanza nafika bunda stend nakuta konda anakata tiket na panga niliogopa sana.
Meza ya watu 8 laki sita, na raia wataingia...Na kunakuwa na vvip
Acha kukuza mambo kama unaona ujinga usinge comment wenzio walio ona uhu ni upuuzi umeona wakichangia hapa?Imagine kijana wa kiume unafuatilia tamthilia za kikorea kila episode na udaku wa kina Kajala na Juma Lokole... we imagine tu....
Mimi nieona huu uzi hata siwafahamu hao watu nikahisi labda ni wapiganaji masubwi kichwa cha habari kikisema...
Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo