Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hakuna tusi/ kejeli mpya kwangu.Kanipikia mamako
Ila ukweli ni kwamba kanywe kwanza hata chai ya rangi ndio urudi jukwaani kuwajadili watu wasiokujua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna tusi/ kejeli mpya kwangu.Kanipikia mamako
Pesa ipo ila sio ya show offLegend, down town kitambo mbwa nyie onyesheni pesa mmefulia na tunawakimbiza mbwa nyie mjini pesa .
Hizi story za kuokota huwa mnazitoa wapi?We Jamaa huyo mtu usimchukulie poa anamiliki maekari ya mashamba ya KOROSHO huko Ntwara, punguza shobo mtoto wa kiume
Tuwe tunaangalia na kuheshimu watu na kazi zao. Sanaa imeenda mbele sana siku hizi na nilikuwa sijui kama kwenye show bado kuna malipo kama haya (hususani kwa Legends kama Nature).View attachment 2739422
Kazi ya sanaa kama ilivyo taaluma nyingine inahitaji sana discipline.
Na nidhamu ya kazi ni tatizo kubwa sana kwa kaka yetu Juma Nature.
Hatukatai Juma ni legend anaepaswa kupewa heshima, ila amekuwa anazingua sana kwa kutokubali kukua.
Usela wa uswahilini unamharibia sana.
Nature bado anashikwa masikio na mtu aliyewagombanisha na na washikaji zake anaeitwa Rich One huyu mchizi ni wale watu wanaoamini kwenye majungu na fitna ili kusavaivu. Amekuwa akimchafulia sana Nature mambo yake yeye anajua Nature anapenda beer basi akishamtafutia hela ya beer amemmaliza.
Sasa Nature unapopata nafasi ya pili usiitumie vibaya. Wewe unajua kabisa Diamond hawezi na hatokaa hata kufikiria kukulipa laki tano upande juu ya stage.
Nature unajua Diamond anakupambanieni kiasi gani mrudi kwenye game tena bila yeye kupata chochote. Wewe ulishawai mtukana mpaka kwenye nyimbo zako yeye anakulipa kwa kukupa shows mikoa 10 na kusaidia kuwapromotia album mnayoandaa na collabo za wasafi na wasanii wakubwa kawatolea kiroho safi na hapati hata senti 5.
Huyo meneja wako Rich One amewai fanya nini la maana toka utoke kwa Fella?
Haya ameandika alichoandika kwenye akaunti yako, mmepata faida gani? Yeye anataka kukukeep usitoke kwenye mikono yake wewe unapata nini? Beer?
Juma kaka badilika au tafuta kazi nyingine ya kufanya maana unazingua sana, sio leo sio jana achana na ego za nilikuwa mkubwa hata r kelly alikuwa mkubwa ila nyakati zinabadilika tumia akili.
Wananifahamu vizuri sana. Una lingine?Hakuna tusi/ kejeli mpya kwangu.
Ila ukweli ni kwamba kanywe kwanza hata chai ya rangi ndio urudi jukwaani kuwajadili watu wasiokujua.
Wewe labda ufahamike na mashoga wenzakoWananifahamu vizuri sana. Una lingine?
Nature kupewa shows 10.Tuwe tunaangalia na kuheshimu watu na kazi zao. Sanaa imeenda mbele sana siku hizi na nilikuwa sijui kama kwenye show bado kuna malipo kama haya (hususani kwa Legends kama Nature).
Nature sanaa yake ndio bidhaa yake na yeye ameipa value yake. Anapohitaji malipo sahihi kwa kwazi ya jasho lake huwez igeuza kwamba ni hisani ati kapewa nafasi ya pili? Nafasi ya pili ipi? Yupo sahihi kukataa kupanda kwa malipo ambayo si stahili kwa hadhi yake.
👍👍👍Pesa ipo ila sio ya show off
Wewe ni mke wake?Juma Nature ni mfano wa kibwengo maji amebaki poyoyo tu nimemuona matope tu, sio ajabu mmakonde haiba yake roho mbaya na wivu. Juma hana uwezo wa kuipata hata elfu 20 Kwa siku, zero brain
Misimamo yake asichafue brand za wenzie.Mtu mzima yeyote anajua kitu anachofanya na anachohitaji hivyo huwezi mpangia mtu afanye utakavyo ww bila ridhaa yake. Acha aishi na misimamo yake
Mashoga bhana kwaiyo wewe na juma nani ana akili?Nature kupewa shows 10.
Collabo na Diamond, Zuchu, Mbosso na Lavalava kwenye album moja.
Hiyo ni nafasi ya pili sio kila msanii mkongwe anaipata.
Pia Nature ajalipwa laki 5 ni uongo.
Nature apunguze mitungi.
Nature abadili meneja.
Angekuwa na akili asingeharibu anapopata rizkiMashoga bhana kwaiyo wewe na juma nani ana akili?
Kamuulize mumeoHizi story za kuokota huwa mnazitoa wapi?
Wewe nani wa kumuongelea hivyo wewe mkewe hadi umuongelee hivyo una mimba ya Nature?Angekuwa na akili asingeharibu anapopata rizki
Umepanda mtumbwi unaoenda ghetto la popobawa Kanye yote yatokeWewe ni mke wake?
Nature hana umaskini huo mwamba Acha kumdhalilisha kisa kamuanika CHIPOLOPOLO WakoRich one ndio alioandika zile fitna. Nature alikuwa kazima wakati huo na balimi zake 8
Wewe unasema hivyo ukiwa km nani hatukuelewi au tayari una ujauzito wa Nature unaandika huku unakula maembe machanga?Misimamo yake asichafue brand za wenzie.
Angepotezea kimya kimya bila kuchafua mtu na kumpaka choo.