Juma Nature kama muziki umekushinda tafuta kazi nyingine, usichafue watu

Juma Nature kama muziki umekushinda tafuta kazi nyingine, usichafue watu

ivi unajua beef la Ruge(Clouds) na Mondi lilikua ni malipo finyu kwenye ile Fiesta kama sikosei ya 2015 hivi
Mondi alitegemea kulipwa sh. X. Ruge akasema hapana nakupa sh. Y , na ikiwa Y << X
Kutoka hapo nyimbo za Mondi hazikuchezwa tena Clouds

Naweka rikodi sawa tu
Ninachokiona Mimi ni chuki tu kwa Diamond, kwa alipofika Diamond kumchukia ni kujisumbuwa bure tu.
 
Wasanii wangapi wameugua na wakachangiwa? Prof J licha ya kua msanii mkongwe,pia alikua mbunge ila alichangiwa, au Nature ndio atakua mtu wa kwanza kuchangiwa hela za matibabu?
hIi imeenda
Watu wana mambo ya kiwaki sana kisa kakataa laki tano ya show akiumwa asiseme anahitaji msaada
Yule dj wa clouds aliefariki juzi juzi mbona kafanya show nying na bado alihitaji msaada kutoka kwa watu
Phd nyinge feki kama za musukuma
 
Ninachokiona Mimi ni chuki tu kwa Diamond, kwa alipofika Diamond kumchukia ni kujisumbuwa bure tu.
Kwahiyo unachokiona wewe ndio akione na Juma Nature? Unachokiona wewe ndio sababu ya Nature kukataa show? Nature kaweka sababu yake ila wewe unajua zaidi kuliko Juma Nature mwenyewe! Haya ni maajabu aisee,mbongo mpe picha tu,habari ataandika mwenyewe.
 
Hivi ni nani aliwakaririsha kua umri au akili ya mtu inapimwa kwa kuangalia umejiunga na JF lini? Ina maana wale wote ambao sio member wa JF wewe umewazidi kila kitu?

Mfano mzee wa miaka 60 ajiunge JF leo,utamchukulia kua wewe ni mkubwa kuliko yeye? Au Maisha huanza baada ya mtu kujiunga na JF?
Wewe ni mpumbavu sawa na huyo mpumbavu mwenzako.

Hili jukwaa la celebrate naeleweka vizuri nadimamia wapi, ukiona namtetea Diamond Mimi siyo chizi, ndio maana tunaweka joining date zenu maana hamna ulijuwalo hapa Celebrate forum back to those days.

Cc: Chinga One angalia hawa Watoto eti leo wanaona Mimi kama vile chawa wa Diamond kwa kusimamia haki na ukweli.
 
Wewe ni mpumbavu sawa na huyo mpumbavu mwenzako.

Hili jukwaa la celebrate naeleweka vizuri nadimamia wapi, ukiona namtetea Diamond Mimi siyo chizi, ndio maana tunaweka joining date zenu maana hamna ulijuwalo hapa Celebrate forum back to those days.

Cc: Chinga One angalia hawa Watoto eti leo wanaona Mimi kama vile chawa wa Diamond kwa kusimamia haki na ukweli.
Ona ushaanza kumuita mumeo Chinga One aje kukupiga tag, acha ujinga unapenda kuzusha Mambo yasiyo na ukweli, nimekuuliza wapi Nature aliposema anamchukia DoMondo? Hujajibu kitu
Ninachokiona Mimi ni chuki tu kwa Diamond
 
View attachment 2739422

Kazi ya sanaa kama ilivyo taaluma nyingine inahitaji sana discipline.

Na nidhamu ya kazi ni tatizo kubwa sana kwa kaka yetu Juma Nature.

Hatukatai Juma ni legend anaepaswa kupewa heshima, ila amekuwa anazingua sana kwa kutokubali kukua.

Usela wa uswahilini unamharibia sana.

Nature bado anashikwa masikio na mtu aliyewagombanisha na na washikaji zake anaeitwa Rich One huyu mchizi ni wale watu wanaoamini kwenye majungu na fitna ili kusavaivu. Amekuwa akimchafulia sana Nature mambo yake yeye anajua Nature anapenda beer basi akishamtafutia hela ya beer amemmaliza.

Sasa Nature unapopata nafasi ya pili usiitumie vibaya. Wewe unajua kabisa Diamond hawezi na hatokaa hata kufikiria kukulipa laki tano upande juu ya stage.

Nature unajua Diamond anakupambanieni kiasi gani mrudi kwenye game tena bila yeye kupata chochote. Wewe ulishawai mtukana mpaka kwenye nyimbo zako yeye anakulipa kwa kukupa shows mikoa 10 na kusaidia kuwapromotia album mnayoandaa na collabo za wasafi na wasanii wakubwa kawatolea kiroho safi na hapati hata senti 5.
Huyo meneja wako Rich One amewai fanya nini la maana toka utoke kwa Fella?
Haya ameandika alichoandika kwenye akaunti yako, mmepata faida gani? Yeye anataka kukukeep usitoke kwenye mikono yake wewe unapata nini? Beer?
Juma kaka badilika au tafuta kazi nyingine ya kufanya maana unazingua sana, sio leo sio jana achana na ego za nilikuwa mkubwa hata r kelly alikuwa mkubwa ila nyakati zinabadilika tumia akili.

Hakuna tusi/ kejeli mpya kwangu.

Ila ukweli ni kwamba kanywe kwanza hata chai ya rangi ndio urudi jukwaani kuwajadili watu wasiokujua.
Mtoto wa juzi huyu amjui nature
 
View attachment 2739422

Kazi ya sanaa kama ilivyo taaluma nyingine inahitaji sana discipline.

Na nidhamu ya kazi ni tatizo kubwa sana kwa kaka yetu Juma Nature.

Hatukatai Juma ni legend anaepaswa kupewa heshima, ila amekuwa anazingua sana kwa kutokubali kukua.

Usela wa uswahilini unamharibia sana.

Nature bado anashikwa masikio na mtu aliyewagombanisha na na washikaji zake anaeitwa Rich One huyu mchizi ni wale watu wanaoamini kwenye majungu na fitna ili kusavaivu. Amekuwa akimchafulia sana Nature mambo yake yeye anajua Nature anapenda beer basi akishamtafutia hela ya beer amemmaliza.

Sasa Nature unapopata nafasi ya pili usiitumie vibaya. Wewe unajua kabisa Diamond hawezi na hatokaa hata kufikiria kukulipa laki tano upande juu ya stage.

Nature unajua Diamond anakupambanieni kiasi gani mrudi kwenye game tena bila yeye kupata chochote. Wewe ulishawai mtukana mpaka kwenye nyimbo zako yeye anakulipa kwa kukupa shows mikoa 10 na kusaidia kuwapromotia album mnayoandaa na collabo za wasafi na wasanii wakubwa kawatolea kiroho safi na hapati hata senti 5.
Huyo meneja wako Rich One amewai fanya nini la maana toka utoke kwa Fella?
Haya ameandika alichoandika kwenye akaunti yako, mmepata faida gani? Yeye anataka kukukeep usitoke kwenye mikono yake wewe unapata nini? Beer?
Juma kaka badilika au tafuta kazi nyingine ya kufanya maana unazingua sana, sio leo sio jana achana na ego za nilikuwa mkubwa hata r kelly alikuwa mkubwa ila nyakati zinabadilika tumia akili.
Juma lokole kwenye moja na mbili
 
Wewe ni mpumbavu sawa na huyo mpumbavu mwenzako.

Hili jukwaa la celebrate naeleweka vizuri nadimamia wapi, ukiona namtetea Diamond Mimi siyo chizi, ndio maana tunaweka joining date zenu maana hamna ulijuwalo hapa Celebrate forum back to those days

Cc: Chinga One angalia hawa Watoto eti leo wanaona Mimi kama vile chawa wa Diamond kwa kusimamia haki na ukweli.
Wewe una matatizo ya akili sio bure,kuna stage fulani uliiruka kwenye makuzi yako ndio unataka kuiishi sasa hivi uzeeni mwako,

Kwahiyo habari za Celebrities zinapatikana kwenye forums ya JF pekee? mtu ambae sio member wa humu toka kitambo anakua hazijui habari za celebrities kisa hakua JF?

Uliuchezea ujana wako ndio maana sasa hivi hasira zako unazihamishia hapa JF kwa watu ambao hata huwajui,wewe ni mpumbavu sana.
 
Wewe una matatizo ya akili sio bure,kuna stage fulani uliiruka kwenye makuzi yako ndio unataka kuiishi sasa hivi uzeeni mwako,

Kwahiyo habari za Celebrities zinapatikana kwenye forums ya JF pekee? mtu ambae sio member wa humu toka kitambo anakua hazijui habari za celebrities kisa hakua JF?

Uliuchezea ujana wako ndio maana sasa hivi hasira zako unazihamishia hapa JF kwa watu ambao hata huwajui,wewe ni mpumbavu sana.
Mkuuu usihangaike na shabiki wa yanga
 
Mtoto idi kazua balaa. Mlikuwa mnasema ruge ni mnyonyaji kumbe wasafi ndio watafunaji kabisaaa.
Hawa Wasafi ni manyonya damu sana nakumbuka hyo laki 5 walikua wanalipwa kina Soggy miaka 20 iliyopita Leo wanataka kumpa nature?!!!
Wapuuzi hawa
 
Back
Top Bottom