Juma Nature kama muziki umekushinda tafuta kazi nyingine, usichafue watu

Juma Nature kama muziki umekushinda tafuta kazi nyingine, usichafue watu

Angekuwa na akili asingeharibu anapopata rizki
Ukiendelea kujipendekeza kwake na wewe atakuharibu pia,kukataa malipo ya kinyonyaji ndio kuharibu? wewe kama unalipwa buku mbili kua chawa wa WCB basi usitake na Nature nae alipwe kidogo kwa kazi kubwa,Juma Nature ni brand tambua hilo kwanza,au na wewe ni vile vitoto vya juzi ambavyo havimjui Nature ni nani hasa?
 
We Sinza la Masinza Pazuri...

Kwa hiyo njaa za Juma Nature ndiyo afanye show kwa Laki Tano? Unajua show za Sir Nature Kibra vizuri kweli wewe?Au ndiyo umezaliwa kwenye kizazi cha Amapiano

Shida Isiwe sababu ya kumkandamiza mtu...Hata wewe ujifunze kwa Nature...
 
Kuna kitu hakipo sawa ila kama shida ni pesa,

Nature tafadhari wewe kapige kazi atakama ni bure huyo muajiri wako hawezi kukuacha bure bure, atakurudisha barabarani, kumbuka kawarudisha wengi tu,

kumbuka wewe mara ya mwisho kupanda stejini ni lini na ulikuwa chini ya nani kwa ngoma zipi enzi hizo uliwarusha mashabiki.?....vipi leo una nyimbo gani kali za kusimamisha umati..?.

Hebu usije kuchezea nafasi hii, kumbuka hapo ukumbini utakapoimba siyo kwamba nyimbo zako zitachuja bali zitarudi midomoni mwa mashabiki wako maana ni kitambo sana.

Hebu sogea karibu na waridi unukie.
 
We Sinza la Masinza Pazuri...

Kwa hiyo njaa za Juma Nature ndiyo afanye show kwa Laki Tano? Unajua show za Sir Nature Kibra vizuri kweli wewe?Au ndiyo umezaliwa kwenye kizazi cha Amapiano

Shida Isiwe sababu ya kumkandamiza mtu...Hata wewe ujifunze kwa Nature...
Huyo kwenye avatar ni wewe?

Nakuja PM tuyajenge.
 
Hivi unajua waridi una miba na ukiusogelea vibaya miiba zinakuchoma au unazungumzia waridi wa mchongo?
Sogea karibu ila usiliguse litakuchoma,

kumbuka mtu wa kuamini sana dunia hii ni mamaako tu kwa sababu anamfahamu babaako halisi ila wengine ni 50/50.

Sasa yeye anataka kuligusa na maneno yake ya shombo shauri yake.
 
We Sinza la Masinza Pazuri...

Kwa hiyo njaa za Juma Nature ndiyo afanye show kwa Laki Tano? Unajua show za Sir Nature Kibra vizuri kweli wewe?Au ndiyo umezaliwa kwenye kizazi cha Amapiano

Shida Isiwe sababu ya kumkandamiza mtu...Hata wewe ujifunze kwa Nature...
Shida hatuna uhakika ni kweli kalipwa hiyo kwasababu hiyo account yake ya mtandao uliosema analipwa unaendeshwa na rich one manager wake
 
Kuna kitu hakipo sawa ila kama shida ni pesa,

Nature tafadhari wewe kapige kazi atakama ni bure huyo muajiri wako hawezi kukuacha bure bure, atakurudisha barabarani, kumbuka kawarudisha wengi tu,

kumbuka wewe mara ya mwisho kupanda stejini ni lini na ulikuwa chini ya nani kwa ngoma zipi enzi hizo uliwarusha mashabiki.?....vipi leo una nyimbo gani kali za kusimamisha umati..?.

Hebu usije kuchezea nafasi hii, kumbuka hapo ukumbini utakapoimba siyo kwamba nyimbo zako zitachuja bali zitarudi midomoni mwa mashabiki wako maana ni kitambo sana.

Hebu sogea karibu na waridi unukie.
Yaani Juma nature akapige show bure, au sio?
 
Kwamba Kwevo anawapambania vilivyo wewe jamaa ni juha kubwa sana...Kwevo anajipambania yeye na brand yake na Tamasha lake lakini ukweli ni kwamba hayo matamasha hayaingizagi pesa ya maana kwakuwa hamna VIP wala nini.Fiesta ndio Tamasha pekee linalolipa vizuri nchi hii
Yanaingiza sh ngapi,na fiesta inaingiza sh ngapi
 
Back
Top Bottom