Jamaa Kila msanii anamjua yeye na maisha yake ,msanii yoyote akiwa upande wa Wasafi anamtetea akitoka Wasafi anakua mbaya anamponda mbayaaUnawajua nje ndani ukiwa km nani? We Jamaa una akili wewe kweli unamjua Nature nje ndani amekuoa wewe mkewe amekuzalisha?
Badae aking'atwa mbu muanze kutembeza bakuli la michangoWe Jamaa huyo mtu usimchukulie poa anamiliki maekari ya mashamba ya KOROSHO huko Ntwara, punguza shobo mtoto wa kiume
Cha ajabu uchawa wake hautumii vizuri, machawa wa faida kina mwijaku, manala,baba levo, baada afanye mziki alipwe hata hiyo laki tano, au hata kupata jina mjini tu, litakusaidia mbele.Wewe ndio unatakiwa utafute kazi nyingine kuliko hii ya uchawa wa WCB
Muache Legendary Juma Nature aishi maisha aliyo yachagua.
NakaziaUlitaka Akae kimya? Ulitaka Aeleweke vipi na watu Kutuhudhuria kwenye show ulitaka aseme uongo ili kumfurahisha nani? Wakati ufike Watu waache uoga na wauseme ukweli no matter what...
Hata Diamond kipind anaamza alikataa sana show za Laki tano na milion Milion na akafanikiwa kuwepo hapo alipo...
Legend Kama J.nature kumpa laki Tano kwenye show ni Tusi tena kubwa na nakubaliana naye na amesema ili Watu wasije wakamchafua Aonekane hajaonekana kwa na kala pesa za watu....
Kabisaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio unatakiwa utafute kazi nyingine kuliko hii ya uchawa wa WCB
Muache Legendary Juma Nature aishi maisha aliyo yachagua.
Hapo sasa.We Sinza la Masinza Pazuri...
Kwa hiyo njaa za Juma Nature ndiyo afanye show kwa Laki Tano? Unajua show za Sir Nature Kibra vizuri kweli wewe?Au ndiyo umezaliwa kwenye kizazi cha Amapiano
Shida Isiwe sababu ya kumkandamiza mtu...Hata wewe ujifunze kwa Nature...