Juma Nature ndio best storyteller wa muda wote Bongo. Wasanii wachanga mnao-rap jifunzeni kwa Juma Nature

Juma Nature ndio best storyteller wa muda wote Bongo. Wasanii wachanga mnao-rap jifunzeni kwa Juma Nature

[emoji441][emoji441][emoji443][emoji443]nashangaa!! Nashangaa!! Nikimuonaaaa[emoji443][emoji443][emoji441][emoji441]

Nakumbuka kibwagizo cha nyimbo hii ya juma nature
Lakini nyimbo siikumbuki.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hii ni Mandojo na domo Ft Nature
 
Umenikumbisha jinsi Nature alivyokamua kibwagizo cha Wimbo wa Zali la Mentali wa Professor Jay...

Nature alikuwa msanii noma sana....
 
Mack D ft Banana - Jumba bovu
OCD - Kazeze
JCee ft Q Chief - Mpiga Debe n.k
 
Ngojea nimalizie kuzisikiliza album ya
Nikki mbishi-sauti Ya jogoo
Mwingi wa habari-Pmawenge
African son-sterio singasinga
Verteller-Dizasta vina
Taleta ushuhuda wa shahidi-wa Dizasta alivyo shuhudia meli ikienda mlama.
 
Mkuu nisaidie na mimi hapo
Sinaga muda wa kudownload nyimbo ila huwa nazisikia kwenye Tv/Radio na sehemu za starehe

Mfano tuchukulie wana Hip Hop wa zama hizi

Ngoma kama Wapolo, am leaving my life, Si wanataka kubang 😂😂, Maisha na Muziki, na nyimbo za Mcs kibao kama Young Lunya, msodoki nk nk zikitoka tu utazisikia radio na kwenye tv muda wote, ukipanda bajaji au dalala utazisikia, ukienda club ndio usiseme, ukiingia saluni au simu za vijana utazikuta, ukienda youtube unakuta viewers 1m+

Ukija sasa kwa hawa Mcs ambao wanasifiwa sana sana humu JF kama Akina Dizasta, Nikki Mbishi, Rapcha. nk nk nyimbo zao huwa zinapigwa wapi? Hazisikiki radioni au kwa uchache sana ukitoka, huzi sikii club, bajaji, saloon, wala kusikia labda Rapcha ana shows mikoani nk
Ukienda youtube unakuta viewers wachache sana
Cha ajabu ni kwamba wala nyimbo zao hazina matusi sana kama kabda za Lunya

Ukitembelea page zao sasa unakuta wana wafuasi wachache lakini wanavyo wanwagia sifa ni balaa
Na wengi wao kazi yao ni kupost kuponda akina Lunya na wengine wanaokimbiza mainstream
Na wengi wao wanauza nyimbo zao kwa Whatsap

Tatizo ni nini
Nahisi kunatatizo kwa hawa jamaa
Ndio maana wengi tunaona wanasikilizwa Whatsap

Kwa mtu kama mimi ambaye sina muda wa kudownload nyimbo nategemea Media zipige ndio niujue wimbo na kuupenda au la, hawa jamaa hawana nafasi kwangu
Trust me mkuu hivi ndivyo soko la muziki lilivyo........ kuusikia wimbo kwenye media kisha unakua mkubwa

Sisemi kama hawajui kuimba, hapana
Ila post hii wanachakujifunza, Enzi hizo Mcs walikua wasomi au walioishi mbele kama kundi la KWANZA UNITY, Nature alichofanya aka connect na uswazi wake watu wakamuelewa..... alikimbiza vibaya sana
Ni lazima ujue pia hadhira yako inataka nini badala ya kukomaa na culture ambayo hata wamarekani wenyewe imewashinda
Samahani! Kila msanii afanye singeli au amapiano kwa kuwa ndio inakimbiza!? Kama ni hivyo, nini maana ya ubunifu katika sanaa kama kila msanii atakuwa copy ya msanii mwingine!?
 
Jay Moe ndio best story teller wa muda wote.
Jay mo NI mkali pia wa storytelling nyimbo zake nilizozikubali ni
Story tatu
Mvua na jua
Maisha ya boarding

Lakini unaposema WA muda wote unakosea binafsi professor jay alikua balaa

Ndio mzee
Nang'atuka
Nikusaidiaje
Chemsha bongo
Msinitenge
 
Ukimtaja Nature hunabudi kunegesha stori kwa kumtaja Inspekta Haruni

Hawa miamba ndio waliishusha hip hop chini uswahilini na mtaa wakawaelewa

Ukiachana na storytelling hawa jamaa walikua mafundi wa wordplay
Enzi hizo wanahip hop ulikua unyamwezi mwingi na english lakini hawa jamaa walikua wanacheza na maneno flani hivi ya uswazi ndani ndani na kuleta ladha ya aina yake
Hebu sikiliza Mzee wa Busara remix kasimama Nature na Inspekta utanielewa

Msikilize Inspekta kwenye mtoto wa getikali kisha msikilize Nature kwenye nipo gado alioshirikishwa na zay b
 
Back
Top Bottom