Juma Nature ndio best storyteller wa muda wote Bongo. Wasanii wachanga mnao-rap jifunzeni kwa Juma Nature

Juma Nature ndio best storyteller wa muda wote Bongo. Wasanii wachanga mnao-rap jifunzeni kwa Juma Nature

Yule ni mwandishi wa vitabu talent yake ipo uko, huu ni muziki uwezi kutuletea manyimbo yana part 1 mpaka part 8 ukimsikiliza kama unaperuzi kurasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sikiliza maisha ya boarding ya JMo au Mikasi ya Ngwea ukafundishe watunza misingi ni nini storytelling.
Mkuu sanaa ni pana sana, haiko hivyo unavyofikiria... Huo uandishi na uwasilishaji wa Dizasta una hadhira yake na ndio maana mpaka leo bado anafanya hicho anachokifanya... Dizasta ni moja kati ya MCs wachache ambao uwasilishaji wao umebaki vilevile bila kuyumbishwa na kelele za akina nyie ambao mnapiga mayowe kuwa wasanii wa hivyo wabadirike kufuata soko.

Hoja yako ya kusema ngoma zake zina part 1 mpaka 8 ukimsikiliza kama unaperuzi kurasa... Kuna ubaya gani kufanya hivyo? Au ubongo wako mdogo hupendi kuperuzi kurasa? Kwanza inabidi ujue kuwa mziki wa HipHop una nguzo zake, na mojawapo ya nguzo muhimu zaidi ni "Knowledge" nguzo ambayo siku hizi imekua underrated sana kutokana na mziki kuingiliwa na watoto waimba ngono, pombe na mademu sana kuliko maarifa, Dizasta kaamua kubaki huko.

Hiyo style ya kufanya ngoma kwa series sio ngeni kwenye fasihi, asili yake ni Medieval Literature (ya Ulaya) ila kwenye rap game bongo imekua introduced na Dizasta na wadogo zake katika game hawajaiona hiyo kuwa ni mbaya na ndomana Maarifa akatoa series ya MAARIFA YA MAARIFA, Rapcha akatoa series ya LISSA, Young Killer SINAGA SWAGA baada ya kuwa inspired na Dizasta.
 
Well uko sahihi audience na content anayotoa ni vitu viwili tofauti. Tamaduni Muzik, Kikosi Kazi, Ghetto Ambassador, Dizasta Vina and the likes wanaimba "ngumu sana" yaani zile nyimbo ambazo unatumia akili sana kung'amua lyrics na verse zake., kitu ambacho kwa wabongo walaji (fans) hawataki kuumiza kichwa... Wanataka ile kitu inachezeka kidogo na inasound

Na kwa upande wa media baadhi ndio wanasupport hizi kazi zao na tena unakuta wanaziplay kidogo sana tofauti na hizi nyimbo simple tu na hata kule mjini youtube viewers ni wachache mno sana kwa hiyo ndio sometimes wanaganga njaa kwa whatsapp na email hivyohivyo kibishi

Halafu EMcees wengine wameona ni bora waswitch style kutoka hardcore kwenda laini kwa sababu ya soko ndio linatoka hivyo, ukiimba ngumu utaishia kusikiliza huko ghetto na huko vilingeni kwenu lakini kuja kutoboa sahau! Ni wachache sana wanaoweza kutoa hit ambayo itatikisa Tz nzima kila mahali inachezwa
Mstari wako wa kwanza na wa pili, With all due respect I beg to differ kaka mkubwa... Dizasta na underground MCs wengine uliowa mention(nafikiri kwamba unaelewa maana ya underground Hip hop na tofauti kati yake na mainstream Hip hop) wana audience zao kama ambavyo kila aina ya mziki una audience zake.

Dizasta na underground rappers wengine wana watu wao ambao wakitoa bidhaa zao (Albums, T shirts, EPs) wanawasapoti na shows zao wanahudhuria.

Audience ya underground MCs ni ndogo mno hivyo hata hivyo hata sapoti wanayopata haiwezi kuwa sawa na mainstream hip hop artists. Kwa sababu hiyo kumekua na wimbi la wasanii wa huku underground wanaoitamani mainstream na kujikuta wakijaribu ku 'switch' na pia mashabiki ambao wanawalazimisha wasanii wa huko wa switch. Dizasta ni moja wa wasanii ambao wame maintain uhalisia wao kuanzia uandishi na uwasilishaji na huku handakini tunamsikiliza na ku enjoy anachofanya, sisi ndio hadhira yake.
 
Well uko sahihi audience na content anayotoa ni vitu viwili tofauti. Tamaduni Muzik, Kikosi Kazi, Ghetto Ambassador, Dizasta Vina and the likes wanaimba "ngumu sana" yaani zile nyimbo ambazo unatumia akili sana kung'amua lyrics na verse zake., kitu ambacho kwa wabongo walaji (fans) hawataki kuumiza kichwa... Wanataka ile kitu inachezeka kidogo na inasound

Na kwa upande wa media baadhi ndio wanasupport hizi kazi zao na tena unakuta wanaziplay kidogo sana tofauti na hizi nyimbo simple tu na hata kule mjini youtube viewers ni wachache mno sana kwa hiyo ndio sometimes wanaganga njaa kwa whatsapp na email hivyohivyo kibishi

Halafu EMcees wengine wameona ni bora waswitch style kutoka hardcore kwenda laini kwa sababu ya soko ndio linatoka hivyo, ukiimba ngumu utaishia kusikiliza huko ghetto na huko vilingeni kwenu lakini kuja kutoboa sahau! Ni wachache sana wanaoweza kutoa hit ambayo itatikisa Tz nzima kila mahali inachezwa
Msukuma msukume arudi kwao mwanza/narusha stone liwapate wanaojibanza... ukishaumiza kichwa kwa mstari kama huu unagundua nini? 😂😂
 
Mkuu nisaidie na mimi hapo
Sinaga muda wa kudownload nyimbo ila huwa nazisikia kwenye Tv/Radio na sehemu za starehe

Mfano tuchukulie wana Hip Hop wa zama hizi

Ngoma kama Wapolo, am leaving my life, Si wanataka kubang 😂😂, Maisha na Muziki, na nyimbo za Mcs kibao kama Young Lunya, msodoki nk nk zikitoka tu utazisikia radio na kwenye tv muda wote, ukipanda bajaji au dalala utazisikia, ukienda club ndio usiseme, ukiingia saluni au simu za vijana utazikuta, ukienda youtube unakuta viewers 1m+

Ukija sasa kwa hawa Mcs ambao wanasifiwa sana sana humu JF kama Akina Dizasta, Nikki Mbishi, Rapcha. nk nk nyimbo zao huwa zinapigwa wapi? Hazisikiki radioni au kwa uchache sana ukitoka, huzi sikii club, bajaji, saloon, wala kusikia labda Rapcha ana shows mikoani nk
Ukienda youtube unakuta viewers wachache sana
Cha ajabu ni kwamba wala nyimbo zao hazina matusi sana kama kabda za Lunya

Ukitembelea page zao sasa unakuta wana wafuasi wachache lakini wanavyo wanwagia sifa ni balaa
Na wengi wao kazi yao ni kupost kuponda akina Lunya na wengine wanaokimbiza mainstream
Na wengi wao wanauza nyimbo zao kwa Whatsap

Tatizo ni nini
Nahisi kunatatizo kwa hawa jamaa
Ndio maana wengi tunaona wanasikilizwa Whatsap

Kwa mtu kama mimi ambaye sina muda wa kudownload nyimbo nategemea Media zipige ndio niujue wimbo na kuupenda au la, hawa jamaa hawana nafasi kwangu
Trust me mkuu hivi ndivyo soko la muziki lilivyo........ kuusikia wimbo kwenye media kisha unakua mkubwa

Sisemi kama hawajui kuimba, hapana
Ila post hii wanachakujifunza, Enzi hizo Mcs walikua wasomi au walioishi mbele kama kundi la KWANZA UNITY, Nature alichofanya aka connect na uswazi wake watu wakamuelewa..... alikimbiza vibaya sana
Ni lazima ujue pia hadhira yako inataka nini badala ya kukomaa na culture ambayo hata wamarekani wenyewe imewashinda
Umeiweka vizuri sana kiongozi, awa jamaa watunza misingi hawataki kabisa kupewa ushauri.

Lakini kwa lawama sasa ooh hatupewi airtime hatupewi shows.

Ndio maana One the incredible kaamua kuwa baba lishe
 
[emoji441][emoji441][emoji443][emoji443]nashangaa!! Nashangaa!! Nikimuonaaaa[emoji443][emoji443][emoji441][emoji441]

Nakumbuka kibwagizo cha nyimbo hii ya juma nature
Lakini nyimbo siikumbuki.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nashangaa nashangaa mimi kuona
Kuona mshikaji wangu wa karibu ananichukia
Na kila nikipita maskani ananiharibia
Nikimuuliza naambiwa sina msaada nae ktk maisha
Ndio maana hivi sasa ameamua kutangaza vita
Chaajabu ni kwamba ameniambia nisione maskani nikipita
Nikitia maguu tu nitakuwa maisha yangu nayahatarisha
Naomba msamaha sana kama nitakuwa nimekukosea
Na sidhani kama kuna mtu akazaliwa akawa hana kosa
Msela acha hasira ya kuniharibia
Kwani sisi sote binadamu tunapita njia
Nashangaa nashangaa mimi kuona
Mshikaji ananichukia na vitu kuchukulia
Nikifikiria mm sijamkosea ila vita tu ananifanyia
Naona azidishe moyo sisi tuishi kwa amani
Apate ya sasa yote ya thamani
Niaje hatupatani kuna msela ana hasira na mm
 
Upande wa Mrisho Mpoto ambao huwa unamuweka Dizasta ni upi?

Au ile style yake ya kufanya spoken words juu ya biti zilizokosa drums ( Hatia 1, 2 & Ndoano) ndo ilokufanya umuweke huo upande?

Au ndio upande unaowaweka wasanii ambao tungo zao ni nzito kwa ubongo wako?

Na unapotushangaa sisi kumuweka Dizasta upande wa MCs unataka tumuweke upande gani? Sikia wewe Rayvanny, Dizasta is the beast, ana heshima ya kila anaejitambua kwenye hii culture... Na hakuna mtu anaifanya vema art ya storytelling hapa bongo zaidi yake (sikiliza mfululizo wa nyimbo za Hatia 1 - 4).... Kuhusu majigambo msikilize kwenye NIS 1 -4.

Unaposema story za D zipo "... So direct... " unaweza kusema mfano story gani? Na unamaanisha za huyo Juma hazipo direct kwamba ana ufundi gani zaidi ya Dizasta? [emoji28][emoji28]

We jamaa put some respect on Dee's damn name... Endeleeni kupagawa na hizo rap katuni na wazee wenzenu huku kwingine tuachie wenyewe.

Next time ukisikiliza nyimbo za Dizasta usiwe umevuta mimoshi au kunywa chibuku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KILA ZAMA NA MFALME WAKE, SIKU HIZI WAMEUFANYA MZIKI RAHIS SANA

ETI WE MPELEKEE MOTO, UNAUA VIBE, SIJUI NIKAGONGEE NYAGI, SPONSOR NIACHIE MY WANGU, MARA PWAA PWAA PWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upande wa Mrisho Mpoto ambao huwa unamuweka Dizasta ni upi?

Au ile style yake ya kufanya spoken words juu ya biti zilizokosa drums ( Hatia 1, 2 & Ndoano) ndo ilokufanya umuweke huo upande?

Au ndio upande unaowaweka wasanii ambao tungo zao ni nzito kwa ubongo wako?

Na unapotushangaa sisi kumuweka Dizasta upande wa MCs unataka tumuweke upande gani? Sikia wewe Rayvanny, Dizasta is the beast, ana heshima ya kila anaejitambua kwenye hii culture... Na hakuna mtu anaifanya vema art ya storytelling hapa bongo zaidi yake (sikiliza mfululizo wa nyimbo za Hatia 1 - 4).... Kuhusu majigambo msikilize kwenye NIS 1 -4.

Unaposema story za D zipo "... So direct... " unaweza kusema mfano story gani? Na unamaanisha za huyo Juma hazipo direct kwamba ana ufundi gani zaidi ya Dizasta? [emoji28][emoji28]

We jamaa put some respect on Dee's damn name... Endeleeni kupagawa na hizo rap katuni na wazee wenzenu huku kwingine tuachie wenyewe.

Next time ukisikiliza nyimbo za Dizasta usiwe umevuta mimoshi au kunywa chibuku.
nashangaa DIZASTA VINA NA MPOTO WAPI NA WAPI
 
Mstari wako wa kwanza na wa pili, With all due respect I beg to differ kaka mkubwa... Dizasta na underground MCs wengine uliowa mention(nafikiri kwamba unaelewa maana ya underground Hip hop na tofauti kati yake na mainstream Hip hop) wana audience zao kama ambavyo kila aina ya mziki una audience zake.

Dizasta na underground rappers wengine wana watu wao ambao wakitoa bidhaa zao (Albums, T shirts, EPs) wanawasapoti na shows zao wanahudhuria.

Audience ya underground MCs ni ndogo mno hivyo hata hivyo hata sapoti wanayopata haiwezi kuwa sawa na mainstream hip hop artists. Kwa sababu hiyo kumekua na wimbi la wasanii wa huku underground wanaoitamani mainstream na kujikuta wakijaribu ku 'switch' na pia mashabiki ambao wanawalazimisha wasanii wa huko wa switch. Dizasta ni moja wa wasanii ambao wame maintain uhalisia wao kuanzia uandishi na uwasilishaji na huku handakini tunamsikiliza na ku enjoy anachofanya, sisi ndio hadhira yake.
Naomba A LIST YA HIPHOP ARTISTE IN TANZANIA RIGHT NOW
 
Nashangaa nashangaa mimi kuona
Kuona mshikaji wangu wa karibu ananichukia
Na kila nikipita maskani ananiharibia
Nikimuuliza naambiwa sina msaada nae ktk maisha
Ndio maana hivi sasa ameamua kutangaza vita
Chaajabu ni kwamba ameniambia nisione maskani nikipita
Nikitia maguu tu nitakuwa maisha yangu nayahatarisha
Naomba msamaha sana kama nitakuwa nimekukosea
Na sidhani kama kuna mtu akazaliwa akawa hana kosa
Msela acha hasira ya kuniharibia
Kwani sisi sote binadamu tunapita njia
Nashangaa nashangaa mimi kuona
Mshikaji ananichukia na vitu kuchukulia
Nikifikiria mm sijamkosea ila vita tu ananifanyia
Naona azidishe moyo sisi tuishi kwa amani
Apate ya sasa yote ya thamani
Niaje hatupatani kuna msela ana hasira na mm
That is prime Juma Nature 🔥🔥🔥

Watoto wa sasa Nature ni shule ya bure, tengenezeni local content msiigize uniga andikeni stories
 
[emoji3][emoji3][emoji3] mkuu

[emoji523] mwanajua (jua na ndugu zake Mekuli/mercury na veneranda/venus, na pia jua ni maarufu kuliko bwana yesu kwakua hamna asie lijua jua ila wapo wasio mjua yesu)

[emoji523] Alizaliwa mashariki alifahamika mahali pote(jua huchomoza mashariki mkuu na linafahamika kote)

[emoji523] Toka mzizima pwani kote alipagawisha, aliondoka na mwisho alionekana ziwa tanganyika (mzizima ni dar ambayo iko mashariki ambako jua huchomoza na huzama magharibi lilipo ziwa tanganyika)

Io nyimbo unaweza dhani inahusu mapenzi ila tofauti kabisa mimi pia mwanzo ilikua inanichanganya
Shukrani sana

Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
 
Upande wa Mrisho Mpoto ambao huwa unamuweka Dizasta ni upi?

Au ile style yake ya kufanya spoken words juu ya biti zilizokosa drums ( Hatia 1, 2 & Ndoano) ndo ilokufanya umuweke huo upande?

Au ndio upande unaowaweka wasanii ambao tungo zao ni nzito kwa ubongo wako?

Na unapotushangaa sisi kumuweka Dizasta upande wa MCs unataka tumuweke upande gani? Sikia wewe Rayvanny, Dizasta is the beast, ana heshima ya kila anaejitambua kwenye hii culture... Na hakuna mtu anaifanya vema art ya storytelling hapa bongo zaidi yake (sikiliza mfululizo wa nyimbo za Hatia 1 - 4).... Kuhusu majigambo msikilize kwenye NIS 1 -4.

Unaposema story za D zipo "... So direct... " unaweza kusema mfano story gani? Na unamaanisha za huyo Juma hazipo direct kwamba ana ufundi gani zaidi ya Dizasta? [emoji28][emoji28]

We jamaa put some respect on Dee's damn name... Endeleeni kupagawa na hizo rap katuni na wazee wenzenu huku kwingine tuachie wenyewe.

Next time ukisikiliza nyimbo za Dizasta usiwe umevuta mimoshi au kunywa chibuku.
yani alipojibu tu hapo nikajua hapa hamna kitu hapa.... dizasta hakuna wa kumfananisha nae hapa bongo ...
 
Upande wa Mrisho Mpoto ambao huwa unamuweka Dizasta ni upi?

Au ile style yake ya kufanya spoken words juu ya biti zilizokosa drums ( Hatia 1, 2 & Ndoano) ndo ilokufanya umuweke huo upande?

Au ndio upande unaowaweka wasanii ambao tungo zao ni nzito kwa ubongo wako?

Na unapotushangaa sisi kumuweka Dizasta upande wa MCs unataka tumuweke upande gani? Sikia wewe Rayvanny, Dizasta is the beast, ana heshima ya kila anaejitambua kwenye hii culture... Na hakuna mtu anaifanya vema art ya storytelling hapa bongo zaidi yake (sikiliza mfululizo wa nyimbo za Hatia 1 - 4).... Kuhusu majigambo msikilize kwenye NIS 1 -4.

Unaposema story za D zipo "... So direct... " unaweza kusema mfano story gani? Na unamaanisha za huyo Juma hazipo direct kwamba ana ufundi gani zaidi ya Dizasta? [emoji28][emoji28]

We jamaa put some respect on Dee's damn name... Endeleeni kupagawa na hizo rap katuni na wazee wenzenu huku kwingine tuachie wenyewe.

Next time ukisikiliza nyimbo za Dizasta usiwe umevuta mimoshi au kunywa chibuku.
Haha! Yani upige chibuku alafu usikiliz muscular feminist/ tattoo ya asili
 
Back
Top Bottom