Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
mzee wa busaraBinafsi storytelling za Nature nazozikubali ni Inaniuma sana na Mtoto Iddy
Ila kuna hawa wa kuitwa Daz Nundazi wenye BARUA na MKASA WA BOSS, hawa walikuwa timamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee wa busaraBinafsi storytelling za Nature nazozikubali ni Inaniuma sana na Mtoto Iddy
Ila kuna hawa wa kuitwa Daz Nundazi wenye BARUA na MKASA WA BOSS, hawa walikuwa timamu sana
Walikulana milenda hadi gari ikagoma kwendaSinta alipigwa denda hadi gari ikagoma kwenda
Mtoto Iddy huyo kazua balaa😅[emoji441][emoji441][emoji443][emoji443]nashangaa!! Nashangaa!! Nikimuonaaaa[emoji443][emoji443][emoji441][emoji441]
Nakumbuka kibwagizo cha nyimbo hii ya juma nature
Lakini nyimbo siikumbuki.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Bwana misosi - Ntoke vipi*Nyambizi-Dully
Mkiwa - ft Ferooz
Nikusaidieje-Prof Jay
Hataki -Jose Mtambo
Kinyumenyume -Mox
Bongo Daresaaalam -Ft Jide
G-Funk unanikumbusha West Side, hapa kuna Dat Nigga Daz a.k.a Daz Dillinger, huku kuna Kurupt a.k.a Kuruption, Nate Dogg, Dr Dre, Dj Yela, Cube, Snoop Dogg, na wengine wengi.Walikulana milenda hadi gari ikagoma kwenda
Domo Kaya huyu??Sikusema nae nilipomuona ufukweni
nakuoniona
Nataka msapraizi bebi gel aahhh
Kuna mtu ,mwingine akaja mshika bega kabla yangu
Mara simama nashangaa wakaanza kukisi na bebi wangu
Daily kisailensa nagubikwa machozi nikimuona mchumbaaa mmhhh
Wakarudia tena kwa mara ya pili
Nikashindwa vumilia nkaenda zanguuuu
Jifiche kufanya unarudi unanizuga
staki kuona zaidi mlivyofanya laivuuu
nisije jirusha maji ya shingo nikadanji kwa kudaivuuu
..................................
Matokeo yanapogeuka kua kweliiii
yu mjanja kushinda nimjuavyo yu tapeliiii
mpenzi nikila nae dina anatabasamu like kaficha upizi wake nyuma....
alisema nakupenda nyiingiii zikanilevya
kiasi akikohoa mi natemaaaa
Kipato changu kidogo dogo kinaishia kwake
Na mapenzi motoo kukosa penz lako naona ka ni ndoto
Nisingependa kushare na mtu penzi lakoo
unieleze nimekukoseaga niiiiniiiiiiii...
Najua utasema mi ndo chanzo maaaa
Ingawa ningejua mapema ningechange laivuu
For the sake of fala fangalau pata picture
Baada ya mi kushtuki pichaaaa
Ni kitu gani hasa kilichofanya mpk mimi ukaniachaaa aaa x2
Nimeshamuachia molaaaa aaa
Aendelee kuamua juu ya mapendo niliyonayo juu yakoooo........
[emoji523] Kwa sasa amna anaeweza kutoa kazi nchi ikashituka vipi kuhusu =Rapcha-Lissa
[emoji523] Kwa upande wangu MCs na storyteller bora kuwahi kutokea bongo ni Dizasta Vina
Yap Domo na Dojo,"Nizikwe Hai."Domo Kaya huyu??
Sina demuNani anaikimbuka hii ngoma?View attachment 2125567
Mzee wa kuwahi siti kwani ngosha alikuwa n mistari miepesi.. Mbona alitoboa na mistari yake hiyo hiyo ya kuumiza kichwa, huyu na yule kisha fid.com kisha mwanza mwanza hapo ndipo alipotoka kisha August 13, humo mote mistari konzi.Well uko sahihi audience na content anayotoa ni vitu viwili tofauti. Tamaduni Muzik, Kikosi Kazi, Ghetto Ambassador, Dizasta Vina and the likes wanaimba "ngumu sana" yaani zile nyimbo ambazo unatumia akili sana kung'amua lyrics na verse zake., kitu ambacho kwa wabongo walaji (fans) hawataki kuumiza kichwa... Wanataka ile kitu inachezeka kidogo na inasound
Na kwa upande wa media baadhi ndio wanasupport hizi kazi zao na tena unakuta wanaziplay kidogo sana tofauti na hizi nyimbo simple tu na hata kule mjini youtube viewers ni wachache mno sana kwa hiyo ndio sometimes wanaganga njaa kwa whatsapp na email hivyohivyo kibishi
Halafu EMcees wengine wameona ni bora waswitch style kutoka hardcore kwenda laini kwa sababu ya soko ndio linatoka hivyo, ukiimba ngumu utaishia kusikiliza huko ghetto na huko vilingeni kwenu lakini kuja kutoboa sahau! Ni wachache sana wanaoweza kutoa hit ambayo itatikisa Tz nzima kila mahali inachezwa
Appreciated, Thanks....Mzee wa kuwahi siti kwani ngosha alikuwa n mistari miepesi.. Mbona alitoboa na mistari yake hiyo hiyo ya kuumiza kichwa, huyu na yule kisha fid.com kisha mwanza mwanza hapo ndipo alipotoka kisha August 13, humo mote mistari konzi.
Msikilize nature kwenye hili gemu kaimba mistari kuelewa ama kuisikia vizuri itabidi utulie lakini akatoboa
Hawa vijana kuna mahali wanakosea huo ndio uhalisia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daa nature alitupiga kamba enzi zileSinta alipigwa denda hadi gari ikagoma kwenda
Sio mtoto Iddy, huu wimbo unaitwa "Niaje". Nature ameshirikishwa na Mandojo & DomokayaMtoto Iddy huyo kazua balaa[emoji28]
Niaje - Mandojo & Domokaya ft Juma Nature[emoji441][emoji441][emoji443][emoji443]nashangaa!! Nashangaa!! Nikimuonaaaa[emoji443][emoji443][emoji441][emoji441]
Nakumbuka kibwagizo cha nyimbo hii ya juma nature
Lakini nyimbo siikumbuki.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]