KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hivi huyu mtu bado yupo, bado ni mbunge?Uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
Bado anatafuta sauti asikike?