Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Kwa sasa huwa sifuatilii habari zake, maana nilimuonaga mpuuzi zamani.Kwani bado ni mbunge?
Hatari sanaHii ndio CCM na hawa ndio wabunge wa CCM!!
MaCCM wote ni mavi tuu...Kipara bila akili ni Sawa takoNkamia ni dhaifu anajulikana hivyo angeambiwa atoe ile hela ya zamani ya mjerumani yenye tundu ili watoto wende shule asingekataa tuwakatae watu wa hivyo kwenye uongozi jamaa dhaifu sana!
Sasa mbona Nkamia hakula mema ya nchi na ubunge wenyewe akanyang'anywa na mwenzake wa Nkasi waloisema aongezewe muda?Lakini ni ukweli usiopingika, hayati alipenda sana sifa.
Ulikua ukisifia unakula mema ya Nchi.
Ukikosoa unaonekana adui wa Taifa.
Hayo ya Juma Nkamia ni matokeo ya watawala kupenda sifa za kijinga.
Taifa linaangamia.
Naunga mkono hoja huyu ni mpumbavu wa kiwango cha PhDHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema π
Huyu mkewe huko Sokoni wanajipigia tu Ili arudi na mapochopocho ya watoto πΌWapumbavu kama hawa wanaweza wakauza nchi kwa vitu vya kupita
Wanataka watoto waende shule.Ni Kweli Rais Samia awaangalie kwa jicho la 3 wale praise team na Chawa
Maoni ya Nusu Degree πΌKama hii nchi haijamwandaa raisi mwenye kujali utu wa watu basi ni bora Samia aendelee kuwa Raisi hata wa maisha.
Magu alikuwa raisi wa hovyo sana kuwahi kutokea duniani.
IQ yake ilikuwa negative.
Yaani -0.
Huyu Juma ni alhaj ujueYohana ,tuache unafiki.
Jiweke kwenye nafasi ya Nkamia kisha tuambie ungefanyeje? Mawaziri ,wabunge na watendaji wote waliotofautiana na Magufuli aliwapiga chini.
Ndugai katofautiana na Samia, kapigwa chini kwa kiini macho cha kuhadaa wananchi eti kajiuzulu.
Si ndio uchawa wenyewe huo au?
Ni fungu la kina mgosi jamaa alikua kiona mbali!Shujaa Magufuli alimtema alishagundua Unafiki wake yeye na Kessy wa Namanyele
Na yamevimbiana mule bungeni kwa ajili ya familia zao tuHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema π
π π π kuishi kwingi......dah!...hela ya zamani yenye tundu"...!Kuchokana huko!ππππ
Na akisifiwa alikuwa anahemka na kujaa upepo ππππHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema π