utala utala TU
Senior Member
- Aug 13, 2024
- 187
- 275
Yesu haJawahi kuwepo duniani,kama alikuwepo thibisha,sie waislamu tunajua aliwahi kuwepo mtu aliyeitwa yehoshua na uyo ndiye issa mwenyeweYESU wa Biblia tofauti na huyo wenu anayeitwq Issa ,
Kwanini mnapenda kujipendekeza kwa Yesu ?
Siku zote nasema tatizo la wakristo ni kujimilikisha vitu na kudhani ni vya kwao tu, wanaamini Yesu ni mali yao wakristo na wakati mwengine husema kuwa Qur'an imekopi maandiko yao ambapo ni Agano la kale wakati hata ukristo haukuwepo.Walivyo mambumbu wanadhani Yesu ni wa kwao peke yao! Kumbe kwenye uislamu kwetu yupo, ni miongoni mwa mitume ya Allah.
Kama wao wanaona Masihi Issa mwana wa Mariam ni umoja katika utatu au mtoto wa Mungu, kwetu sisi uislamu ni matusi.
Hivyo tunatumia hiyo njia kuelimisha jamii ya kiislamu ifahamu hivyo!
Kama wao wana ushahidi wa juu wanachokisema tukutane kwa Mkapa. Waje kwa mdahalo!
Sasa Yehoshua ndio issa wapi na wapi?Yesu haJawahi kuwepo duniani,kama alikuwepo thibisha,sie waislamu tunajua aliwahi kuwepo mtu aliyeitwa yehoshua na uyo ndiye issa mwenyewe
Ulishaona wakristo wanahangaika na majini ?Mbona majini ni tofauti na malaika ila mnalazimisha majini kuwa ndio malaika waliyoasi lakini mnakataa Yesu kuwa sio Issa? Ukiangalia sifa za majini haziendani na asili ya malaika.
Yani mkristo anakubali kuwa hawa majini wana jinsia wapo wa kike na kiume, hufanya ngono ,huzaa na wanakula kitu ambacho sidhani kama malaika kiasili wako hivyo ila bado mkristo anasema hao majini ndio wale malaika waliyoasi.
Kwani we yehoshua unamjua ni nani?Sasa Yehoshua ndio issa wapi na wapi?
humuoni mitandaoni?Dkt. Zakir Naik ni ulishawahi kuhudhuria mdahalo wake popote pale hapa duniani?
Yehoshua anakuaje tena issa? Hilo jina issa lilitoka wapi ?Yesu haJawahi kuwepo duniani,kama alikuwepo thibisha,sie waislamu tunajua aliwahi kuwepo mtu aliyeitwa yehoshua na uyo ndiye issa mwenyewe
Mahali popote huwa naongelea haki!Povu lote hilo mkuu. Kila siku mnataka mkaliwe kimya tu,mkinibiwa kidogo inawauma weeee
Nishaona sana wakristo kuzungumzia majini mara hakuna majini wazuri mara majini wanaogopa jina la Yesu mara sijui wanaogopa nguruwe mara waislamu wanafuga majini na tunaona watu wanavyotolewa majini makanisani.Ulishaona wakristo wanahangaika na majini ?
Majini ni yenu hangaikeni nayo
Issa sio Yesu
Issa ni tapeli wa kiarabu
Naona! Lakini kiwango chenu cha wakristo kimezidi.humuoni mitandaoni?
Sawa kiongozi 😊Wenzako hao😄😄
Mahali popote huwa naongelea haki!
Imma iwe kwa muislamu mwenzangu au iwe kwa asiye muislamu.
Kwa sababu haki ni miongoni mwa sifa za Mungu. Hivyo popote patakapokuwa na haki yupo Mungu, nami ndipo nitakaposimama. Imma izungumzwe na mkristu, imma izungumzwe na myahudi au izungumzwe na mpagani. Maadamu kaizungumza haki nitasimama naye kwani mahali hapo pana Mungu.
Na nipo hivi kwenye majukwaa yote na ndivyo ninavyoishi.
Sitoi povu! bali nazungumzia hali halisi ya wakristo wa humu JF jinsi mlivyo! Mna chuki kubwa sana dhidi ya uislamu na wewe ukiwemo.
Na mfano mzuri humu Jf angalia kwa jicho.lq haki ni nyuzi ngapi zinazozungumzia dini ya mwenzake vibaya kama si wakristo humu?
Maadamu Mungu yupo anatosha kuwa shahidi. Marejeo ni kwake, ataenda kuhukumu baina ya hiki. Kisha tutajua baina yetu ni yupo aliyekuwa na moyo uliyo salama.
Naona! Lakini kiwango chenu cha wakristo kimezidi.
Chuki yenu ni kubwa sana! Na huwa napita nyuzi kibao na nyingi Jukwaa la kimataifa n.k
Wakristo mmezidi kwa chuki! Mtaanza kumtukana Mtume wetu kipenzi, mtatukana mke wake, mnatukana maustadhi na masheikh zetu, mnatukana dini yetu yote kwa ujumla.
Na haitoshi inaweza ikawekwa mada tu kwa vile kazungumziwa mwarabu basi mnaingiza na dhihaka kabisa juu ya dini yetu!
Tumewakosea nini?
Acha uongo na kueneza chukiNatoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Shida dini ya kiislamu haijitoshelezi ikibaki peke yake ndo maana kila siku wanahainga na YESU KRISTO
Uislam hauna uwezo na hauna miguu ya kusimama peke yake na mungu wa kiislamu bila kupiganiwa ujue hamna kitu