Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Kwa hiyo hilo andiko ndo linatoa uhalali wa Yesu kuwa Mungu?
Hilo andiko halina nguvu ya kudhibitisha kuwa Yesu ni Mungu.
Yesu mwenyewe kwa kinywa chake alisha kataa mara kibao kuwa yeye si Mungu.

Ya kwamba Mungu ana kula ,anaenda chooni kujisaidia,anajampa,anachoka,anakufa,ana sahau? Maana Yesu alikuwa na hizo sifa zote, aisee hii ni kufuru kubwa sana.

Wakristo wengi hamna elimu juu ya kitabu chenu na ndio maana viongozi wenu wana waburuza wanavyo taka na kuwageuza kuwa vyanzo vya mapato kwa sababu wana wajua kuwa waumini wao ni weupe kuhusu dini yao.
Yesu ni Mungu aliyevaa mwili akaja kwetu kama binadamu akaishi nasi ili kutimiza agano lake
Hekima ya kimungu huwezi kuipima Kwa macho na akili yako
 
W
api ulipodhalilishwa ukristo? We wakristo mbona hamna akili? Yaani ninyi akili zenu ni kisoda
mdahalo ni majadiliano ya kushindana ya hoja kwa kutumia hoja hilo halina shida,ila shida inakuja kwa watu kama wewe unayeikashfu jamii fulani kwa kuwaambia hawana akili akili kisoda...watu kama wewe ndio huwa sasa mnaharibugi mijadala kama hiyo,pole kama nimekukwaza mkuu ila ushauri wangu kwako usikashfu dini ya mwenzako kwani inawezakupelekea kukashfiwa au kutukanwa kwa dini yako au mungu wako
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Hapo tu mtaanza kunitukana. Huo Mdahalo Jesus vs Muhammad itakuwaje, sipatawaka moto. Serikali SITISHENI MDAHALO HUU HAUNA TIJA.
 

Attachments

  • VID-20241223-WA0027.mp4
    10.5 MB
Hakuna mtu hapa Duniani ana uwezo wa kudhalilisha Ukristo, Tangu kifo na ufufuko wa Mesiya kuna kila mbinu na propaganda ziliandaliwa kudhihaki tendo hilo lakini wapi, huyo jamaa kama anakuja aje tu hawezi kushindana nà damu ya Yesu Kristo aliye hai - hawezi.
 
Serikali ya kiislamu hii usitegemee huo mdahalo kuzuiliwa. Kwao ni sifa kueneza chuki za namna hiyo dhidi ya ukristo.


Ugaidi ugaidi ugaidi .

Kuna pesa nyingi sana zinasambazwa na magaidi duniani kote kupitia dini kwa malengo ya uchumi na siasa za waarabu .

Uslama na Sorani ni katiba kama katiba nyingine zilivyo kwenye nchi zisizo za kiislam .

Dini inayowakusanya mamilioni ya watu kwenda kurushia mawe kwenye jiwe la Kimondo ni kundi la watu waliopotea kabisa na hairuhusiwi kuweka mdahalo kupinga mambo ya kishirikina kama hayo ya kwenda kupiga mawe jiwe lililogubikwa kitambaa cheusi .


Kwenye Ukristo ndipo palipo na ukweli ndio maana jamii zote duniani zina mambo na imani zilizotajwa kwenye biblia ama kwa usahihi wao au katika kupotea kwao.


Wakristo wajiulize tu huko kwenye hizo dini uchwara unaishije kwenye dini isiyo na kitabu cha Zaburi.
Unapata wapi hekima bila kuwa na kitabu cha methali , Hekima za Sulemani , Isaya , Mhubiri, Danieli, Ufunuo . Yohana n.k.

Sasa unaabudu nini kama huna hivyo vitabu kwenye Kitabu cha imani yako ?
. Ni wazi nje ya bibilia binadam utakua mwana harakati tu wa Saisa za dunia lakini sio imani kwa Mungu .

Ukristo ni kushiriki ibada za Mbinguni ukiwa hapa duniani .

Uslama ni kutambika ili upate Rehema za mizimu na mababu ndio maana wana sherehe za kuchinja ,kuzunguka kaburi la Mohamad, kuamrushana kumpiga mawe shetani badala ya kupigana na nafsi zao zilizojaa chuki na visasi na uongo.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Nyamaza ili tuone wapi panavuja. Mwakani si mbali.
 
Ugaidi ugaidi ugaidi .

Kuna pesa nyingi sana zinasambazwa na magaidi duniani kote kupitia dini kwa malengo ya uchumi na siasa za waarabu .

Uslama na Sorani ni katiba kama katiba nyingine zilivyo kwenye nchi zisizo za kiislam .

Dini inayowakusanya mamilioni ya watu kwenda kurushia mawe kwenye jiwe la Kimondo ni kundi la watu waliopotea kabisa na hairuhusiwi kuweka mdahalo kupinga mambo ya kishirikina kama hayo ya kwenda kupiga mawe jiwe lililogubikwa kitambaa cheusi .


Kwenye Ukristo ndipo palipo na ukweli ndio maana jamii zote duniani zina mambo na imani zilizotajwa kwenye biblia ama kwa usahihi wao au katika kupotea kwao.


Wakristo wajiulize tu huko kwenye hizo dini uchwara unaishije kwenye dini isiyo na kitabu cha Zaburi.
Unapata wapi hekima bila kuwa na kitabu cha methali , Hekima za Sulemani , Isaya , Mhubiri, Danieli, Ufunuo . Yohana n.k.

Sasa unaabudu nini kama huna hivyo vitabu kwenye Kitabu cha imani yako ?
. Ni wazi nje ya bibilia binadam utakua mwana harakati tu wa Saisa za dunia lakini sio imani kwa Mungu .

Ukristo ni kushiriki ibada za Mbinguni ukiwa hapa duniani .

Uslama ni kutambika ili upate Rehema za mizimu na mababu ndio maana wana sherehe za kuchinja ,kuzunguka kaburi la Mohamad, kuamrushana kumpiga mawe shetani badala ya kupigana na nafsi zao zilizojaa chuki na visasi na uongo.
Una hoja nzuri mno mkuu
 
Jibu swali uganda na Kenya nao kuna viongozi wa milengo ya dini ndo maana karuhusiwa kufanya muhadhara huko?
Yaani nyinyi wagaratia huwa mnajihesabia kwa kila kitu haki ndani ya nchi.
Thibitisha kuwa alikuwepo huko sio porojo zenu za kishetani
 
Kwenye Qruan yapo maandiko kibao yanayo dhibitisha utume wake.
Sasa na ww nioneshe andiko linalo dhibitisha kuwa Yesu ni Mungu kutoka kwenye biblia.
Mm sijasema yesu ni mungu na wala mm sina ninaemfuta kat ya huyoo yesu wala mudi
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Acha iwe, Yesu aweza kujipigania. Otherwise unamtangaza kuwa ni dhaifu.
 
Yesu ni Mungu aliyevaa mwili akaja kwetu kama binadamu akaishi nasi ili kutimiza agano lake
Hekima ya kimungu huwezi kuipima Kwa macho na akili yako
Dhibitisha hayo maneno unayo yasema kupitia maandiko na sio kutoka kichwani mwako.
 
Una hoja nzuri mno
Ww hutaki dini yako isemwe vibaya mpaka umekuja kuanzisha uzi wa malalamiko lakini cha kushangaza ww unafurahia watu wadini yako wakiisema vibaya dini za watu wengine.
Hapo ndo unapo jionesha ulivyo mnafiki usiye kuwa na haya.
 
Back
Top Bottom