Uchaguzi 2020 Jumuiya za Madola ziheshimu maamuzi yetu watanzania

Why generalization??!! Uhitaji akili kuelewa kuwa kulikuwa kuna serious irregularities. Natamani tupigwe spana sana
Fake drama za Vibaraka ndio zitupeleke kwenye spana??
 
Pressure?

Furahia dhuluma....thats best for you!

Jambazi wa kura za wananchi hivi unaweza nishauri ni ni ?

Hiyo moral authority wa kushauri innocent people umetoa wapi?

This is beyond comprehension!
Call yourself an innocent ???
 
Ul
Acha wazimu, hayo yaliofanyika sio maamuzi ya watazania, ni maamuzi ya kikundi cha wahuni wachache kikiongozwa na jiwe.
Ulitaka kikundi cha Amsterdam ndo kishinde?
Hapa TZ hatutakubali msaliti apate nafasi kwa sasa.
 
Kuandamana kwa ajili ya Mbowe na genge lake ni upunguani mkubwa. Aandamane na wanae, pamoja na waliofaidi ruzuku.
 
Jibu nilichokuuliza, kama huna jibu PIGA KIMYA!!
Unachokiita "small community waliopo kwenye social media" Kikiwa ni small engine ya Vibaraka (Puppets) wanaotumiwa na Mabeberu, Wezi nk wanaotaka kuinunua nchi yetu kwa kuharibu amani tuliyonayo. Hao lazima tuwaogope kuliko Ukoma. Na hii ndio sababu sisi Watanzania kwa wing I safari hii tumeichagua CCM kwa kishindo.
 
Jiongelee wewe mwenyewe. Wapenda haki tutaandamana kesho. Wewe tulia, jifungie ndani, tizama TV.
Haki ni kura halali tulizopiga tukaiweka CCM madarakani na sio fake drama za upinzani
 
Kwani kuna jumuiya ngapi za madola? Mimi naijua moja inayooongozwa na Malkia wa Uingereza. Naona wewe unaongelea jumuiya ZA madola! Mbumbumb nini?
Its like Msolopagansi/ganzi and not Omusolopagasi
 
Uliripoti Tume?
 
Akili za kipumbavu kabisa hizi!

Ni mpumbavu tu ndie anaweza kuamini kwamba itakuja kutokea siku moja kwenye jamii fulani watu WOOOOOTE wakakubaliana kwa kila kitu, na yule atakayepinga basi ni kibaraka!

Walikuwa wanapingwa na hadi kesho wanapingwa Mitume wa Mwenyezi Mungu aje kuwa DIkteta Jiwe!!

Anyway, hoja yako imeonesha ni namana gani ulivyo zuzu na sina muda wa ku-argue na Misukule ya Lumumba!!!
 

Tuacheni tuandamane. Waoga jifungieni ndani. Nchi huwa ina akina Nyerere na Mandela na nyie wengine. hatuwe wote kuwa akina Nyerere na Mandela.
Nakushauri tii sheria bila shuruti. Na Fanya utafiti kama kweli hao wanaowashauri wanaitakia mema Nchi yako na hayo wanayotafuta kifichoni yatasaidia nini Jamii yako ma Taifa lako.
 
Mshauri mamako atii. Mimi nimekwambia nitaandamana kuanzia kesho. Wewe ni nani mpaka unifunidshe mimi kutokupinga udhalimu? Unaumwa nini?
Unaandamana hapo Canada,USA ama Amsterdam?
 
Naona Zanika unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe kweli yajayo yanafurahisha.
 
Utajiri wa dawa haudumu.
Ukimwona MO vile anashamiri ujue alirithi utajiri wa haki.
 
We we hukupiga kura unalalamika tu
Kwanini msijaribu kujikosoa wenyewe kwa uhalifu mliofanya? Haya yatawaandamaneni hata nyie.
Mzee kinana, makamba ,january ,nape, membe etc unadhani walipenda kunyanyasika vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…