Matunda _Kuniga
JF-Expert Member
- Jun 2, 2019
- 231
- 178
Mnadanganywa sana na kitu ICC ,akitangazwa huwezi kupinga popote na hiyo ICC mpaka tuwaue kwanza mnaweza kutushtaki na tena mpaka mahakama za ndani zisiwape haki ndipo mtupeleke ICC na vilevile Prof. Kabudi anaweza kuchomoa nyaya hata kabla Lissu hajatuchafua ni muda tu utaona mwenyewe.Yaani ziheshimu wezi na wizi?? Jiwe icc inamuita.
Siro usicheze na maandamano ya watanzania utaishia ICC halafu utaiacha familia yako
$400 hukupewa wewe ,Rais tumchague sisi wewe unune. Bora hata Nyalandu kuliko Lissu.Nimesema umeandika pumba tupu kwakuwa umetaja Tanzania badala ya kusema CCM ndio wamepanga kumpa kura zote
Unaweza kutuwekea ushahidi?Acha wazimu, hayo yaliofanyika sio maamuzi ya watazania, ni maamuzi ya kikundi cha wahuni wachache kikiongozwa na jiwe.
Kabudi huyu huyu wa jalalani?vilevile Prof. Kabudi anaweza kuchomoa nyaya hata kabla Lissu
Unamtisha nani Sasa kwa bango hili? Jiwe mwizi. Ndo nishasema sasa!!
Kabudi huyu huyu wa jalalani aliemfundisha Lissu na sasa anamtupia makopo na kujiona msomi kuliko Lecture wake muda utaongea nchi nzima itaunga juhudi.Kabudi huyu huyu wa jalalani?
Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G
Aya$400 hukupewa wewe ,Rais tumchague sisi wewe unune. Bora hata Nyalandu kuliko Lissu.
Yani man hata wao Marekani now sio shwari kwa sababu ya Uchaguzi ni full matamko na mapolisi wapo na magari mitaani na wameua watu weusi kwa kutumia nguvu sana ila leo wanajifanya wanatoa macho Tanzania ,wachonganishi wapo Tweeter na walipewa blue tick dah inauma sana jamani watanzania wanavyotuchafua.Watuache kama tulivyo mbona wao wanamfunga assange, kumsaka kwabudi snowden sisi hatusemi sio kwamba hatuoni makosa Yao, la hasha , ni kwamba hayatuhusu..period!!!
Wewe hukupiga kura. Sisi tuliopiga ndio tumeiweka CCM madarakani
Mapovu yatawaisha taratiiibu halafu maisha yataendelea mtahudumiwa na Serikali ya CCMNasema hivi, upuuzi wote uliofanywa na genge la wakora wa ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola vinavyotumika vibaya, tumeona kwa macho yetu. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Mapovu yatawaisha taratiiibu halafu maisha yataendelea mtahudumiwa na Serikali ya CCM
Kwa kweli watanzania wamewaonyesha mabeberu ni jinsi gani walivyoamka na hata kukataa kuandamana na hao vibaraka wao sijui watawalipa nini kama waliwekeza!!!!Hatimaye Tanzania tumemshinda Shetani
Nianze kwa kusema democracy sio kuondoa chama fulani madarakani ama lazima kuondoa vyama vikongwe vilinavyotawala tangu taifa husika lianze hadi sasa.
Democracy sio kuwa chama fulani kisikae madarakani muda mrefu hata kama wananchi wa nchi husika wanakihitaji basi ninyi mnataka kiondoke.
Democracy ni wananchi kuchangua hatima yao bila kushurutishwa na mataifa ya nje ama vikundi fulani vinavyotumiwa kwa maslahi ya watu wa nje.
Wakati umefika sasa sisi watanzania tusimame na kuuleza ulimwengu kuwa sisi wenyewe ndio tumeamua tukapiga kura na kuchagua raisi,wabunge na madiwani wa ccm baada ya kuridhika na utendaji wao mzuri na wenye mapinduzi makubwa ya maendeleo katika taifa letu.
Hivyo tumeamua kuwapa imani yetu kwa kuwa wao ndio wametupa muelekeo wa taifa letu tunaoutaka.
Kwa hiyo itambulike kuwa sisi.
Wananchi wa tanzania ndio tuliopiga kura na kuamua CCM ikae madarakani na si vinginevyo.
G