Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Hivi mshapata kujiuliza kama ninavyojiuliza mmi?
Uwepo wa mtu aliefanya kazi kwa Sabaya na kuacha hamuoni kama kuna leta uzito kwenye hii kesi kwa upande wa Mbowe?
Kwa ushahidi upi alionao Power?
1.Machame iko Moshi mjini?
2.Nililipwa Dola na Euro na Mount Meru hotel bila risti?
3.Mara ya Kwanza nilikutana na Mbowe Oct 2020 baada ya kukamatwa Aug 2020 na kukaa gerezani Kwa miezi 11?
4.Mara ya pili nilikutana na Mbowe Jan.2020 huko Longido wakati Mbowe akiwa Mahabusu Segerea?
 
Sabaya siyo Mmeru, pia mimi ni Mmeru na si katili hata kidogo, mwisho, huyo Kaaya anaweza kuwa Mmeru kweli, lakini siyo mwanaume halisi wa Kimeru! Tumefudishwa jandoni kwamba “reeya oo shile shile, kwammenda kyei!”

Ndio Sabaya sio mmeru ni mwarusha..... na ana ule ushamba wa kiarusha typical yeye mwache apambane na hali yake kwa kweli
 
Shahidi Anaposema Walikutana na Mtuhumiwa Longido Wakati ambao Mtuhumiwa alikua Jela...nimejiuliza kumbe magereza zetu mtu aweza kutoka akasafiri akarudi....

Magereza Yachunguzwe.
 
Shahidi Anaposema Walikutana na Mtuhumiwa Longido Wakati ambao Mtuhumiwa alikua Jela...nimejiuliza kumbe magereza zetu mtu aweza kutoka akasafiri akarudi....

Magereza Yachunguzwe.
Nafikiri katika mazingira kama haya court ingehamia mazingira yaliyotajwa, magereza aliyokuwepo kaaya, magereza iliyoruhusu Mbowe kusafiri kwenda aLongido na sehemu waliyokutana Longido, ili tusiendelee kupotezeana muda.
 
Waislamu.....
Leo Ijumaa ni siku tukufu na yenye baraka za ALLAH,hivyo basi tunawaomba muitumie siku hii kumuombea Mbowe ALLAH amfanyie wepesi ktk kesi inayomkabili.
Wakirsto.......
Kesho kutwa ni Jumapili siku ambayo munafanya sala na maombi.Katika maombi yenu tafadhalini saana mumuombee Mh.Mbowe aweze kuvuka hivi vizingiti alivyowekewa.
 
Kwa hiyo Kama unafigo zako sijui nini zako ndio utumike kutoa ushahidi wa uongo Mahakamani dhidi ya mtu mwingine naye mwenyewe figo zake pia.

Huyo jamaa ukifuatilia ushahidi wake unaonekana wazi ni wa kupika .
That’s According to you
Lakini hapo ulipo hujui kama 'clarification' za mahakama zinatofautiana na "maoni", au wewe unajua?
sijui, nasubiri.
 
Kwa hiyo kesi kama kweli mahakama walitaka kutenda haki wangeunda Commission of inquiry kwa kuhoji pande zote mbili na Jaji anakuwa huru sio sasa unaona teuzi teuzi tuu hata wapeleke ushahidi wa damu ya binadamu hiyo kesi maamuzi yake yanajulikana hata kabla ya mwisho wake..zimeibuka hoja za baadhi ya watu kama kina Lijenje kutoonekana ila limetupiliwa mbali kama vile ni mbuzi tuu kwenye Commission ishu inaanza upya..Jaji kateuliwa,Polisi ndio hao,mashahidi CCCM mnategemea hukumu gani..ingekua kwenye Nchi wanazojitambua wangeifutilia mbali na kuanza kufatilia matukio yaliyotokea dhidi ya Raia kipindi hicho...
 
Nakupa ushauri wa bure,Mungu niwaajabu acha kushabikia maumivu ya binadamu wenzako isivyo halali.Pigo utakalo lipata familia yako itakuwa shahidi hutojua namna mikosi na laana vinapotokea.MUNGU wetu ni wa haki hakuna adhabu mbinguni kuna adhabu hapa duniani.
SAWA MALAIKA WA ADHABU..
 
Back
Top Bottom