Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mtu alikuwa mfanyakazi binafsi wa Sabaya, baadaye wakatofautiana kutokana na malipo, Yaani Sabaya alimdhulumu Kaaya malipo ya miezi mingi na ndipo Kaaya akaamua kuacha kazi za Sabaya...
Mngejua maandishi yenu yanaisaidia polisi na serikali kwa ujumla. Maandishi yanapunguza shahidi kwa misingi kuwa mnatoa maamuzi nje ya mahakama.
 
2977985_Shaidi_wa_Leo_tushapata_picha_zake.__648_X_640_.jpg
Hii team ya 7ya walikua wanapenda sana kujikweza yeye alikua anatumia alias ya Power Sabaya kwenye mitandao ya kijamii angalia hapo na 'kijakazi' wake nae anatumia Power Kaaya.

Ndege wafananao huruka pamoja. Naona hilo tu ili kuonyesha ukuu na kuutamani ukatili na nguvu ya mamlaka na kimwili. Watu wa saikolojia watanifahamu
 
Kuna watu wanamlaumu Shahid wa pili Bw. Kaaya kwamba amejichanganya Sana kutoa ushahidi wa uongo mahakamani. Lakini tumeona mwonekano wake, endapo hizi picha zinazosambazwa ni za kwake ina maana amjaona tatizo la uimara wa kimaumbile wa kijana huyu? Its like anatumia mkorogo ili apendeze, analazimsha picha na Viongozi ili azitumie kuishi mjini, anaonekana mlegevu si kifikra tu bali hata mwonekano. Haya mapungufu ya nje yanatosha kuacha kumshambulia nakuomba asiaribike zaidi .

Lakini pia hawa vijana wanaoishi kwakuwatumikia wanaume wenzao wapo wengibsana kwa Sasa, kijana mdogo Kama huyo anatangaza kwamba alikuwa anamhudumia Sabaya chai ikiwemo kumpelekea chai ofisini,huyu Ni mwanaume aliyekamilika? Anaeleza Sabaya alikuwa na mke, kwanuni yeye atumike kumpikia chai na kumpelekea ofisini mwanaume mwenzie? Wazazi Hawa watoto wanaharibika kwa sababu tumewaruhusu watumiwe vibaya ba wenye madaraka na fedha, mtoto wako anakwenda kumpikia mwanaume Mwenye mke chai umekaa tu unaona ndo ajira?

Mkuu wa wilaya ana wasaidizi wanaolipwa mshahara na serikali, leo anajitokeza mwanaume anakiri adharani kwamba alikuwa anamuhudumia DC na tunaona nikawaida kabisa. Mwanaume huyu anasambaza picha zake na Viongozi tunaona sawa tu, pls tunapolijenga Taifa lenye maadili tuangalie pia Hawa watu wanaojisogeza karibu na Viongozi Wana hitilafu gani? Mimi huyu kijana kwenye picha na kazi alizokuwa na anafanya na hii kujipodoa kwake napata wasiwasi kidogo Kama Ni riziki
 
Weka picha na sisi tumuone kabla ya kuunga mkono hoja au lah!

Mods washaunga uzi
 
Pole najua wewe ndie wale wale jikaze ndio ukweli wenyewe. Na muu wakatili sana sasa huyo Kaaya jumlisha na Sabaya lilikuwa bomu la yeroshima kabisa 4th WAR
Sabaya siyo Mmeru, pia mimi ni Mmeru na si katili hata kidogo, mwisho, huyo Kaaya anaweza kuwa Mmeru kweli, lakini siyo mwanaume halisi wa Kimeru! Tumefudishwa jandoni kwamba “reeya oo shile shile, kwammenda kyei!”
 
Sabaya siyo Mmeru, pia mimi ni Mmeru na si katili hata kidogo, mwisho, huyo Kaaya anaweza kuwa Mmeru kweli, lakini siyo mwanaume halisi wa Kimeru! Tumefudishwa jandoni kwamba “reeya oo shile shile, kwammenda kyei!”
Tafsiri tafadhali
 
Hivi mshapata kujiuliza kama ninavyojiuliza mmi?
Uwepo wa mtu aliefanya kazi kwa Sabaya na kuacha hamuoni kama kuna leta uzito kwenye hii kesi kwa upande wa Mbowe?
 
Back
Top Bottom