Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Justine Eliya Kaaya anayetoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

Wewe ndio unaona anajichanganya mwenzio kakuambia anazo figo zake, simu ni yake na account ni yakwake pia, kufuta lini na kwanini ni kiherehere chako tu Mmeru wa watu anazo sababu zake kama ilivyo kwa figo na mabandama yake,… we huna kwani?
Hizo sababu zake ni pamoja na kuwazushia watu ushahidi wa uongo?

Hilo ni swali, usifikiri ni maoni.
 
Hii picha huyo jamaa aliyekaa angeongezea miwani myeusi asingekuwa tofauti na wale mabwana vita wa kule DRC. Akina Bosco Ntaganda.

Huyu jamaa naye uchawa a auweza.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hakuna masikhara hapo kipi hujaelewa? 😳 Hukumsikia Jaji anamuomba msamaha shahidi kwa niaba ya mahakama kama kakwazika na maswali ya utetezi!? Mahakama huru tangu lini ikamuomba samahani shahidi upande wa mashtaka or for that matter upande wowote wa kesi kwa kukwazika ili kujibu maswali ya msingi? 😳

Chifu, Leteni masihara ...

Chagueni kuifwatilia hii kesi vyema.,
 
Mahakama iko huru na itatenda haki

Mahakama hizi hizi za kina jaji Siyani?

Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri

Tunazo ambiwa na wachawi huko wamo?

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Siyo Kwamba?

IMG_20211021_190628_385.jpg
 
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mtu alikuwa mfanyakazi binafsi wa Sabaya, baadaye wakatofautiana kutokana na malipo, Yaani Sabaya alimdhulumu Kaaya malipo ya miezi mingi na ndipo Kaaya akaamua kuacha kazi za Sabaya.

Jambo la kuacha kazi lilimuudhi mtukufu Sabaya ambaye alilichukulia kama kiburi na dharau kwa DC, Sabaya akaamua kumkamata Kaaya na kumtengenezea kesi ya madawa ya kulevya. hadi makubaliano ya kutoa ushahidi wa uongo dhidi ya Mbowe yalipo kamilika ndio akafutiwa mashtaka yake.


Kwa wasiomjua Eliya Kaaya aliyekuwa mtumishi binafsi wa Sabaya tumewawekea hapa Ushahidi mwanana , sasa mnatakiwa muelewe mashahidi wa kumfunga Mbowe walikotokea .

View attachment 1988464View attachment 1988465View attachment 1988466
Dogo justine kaaya namfananisha na yule Dogo akiitwa mwalimu ludovick kwenye kesi kama hii ya ugaidi vs lwskatare
 
Akihojiwa na online media, shahidi katika kesi ya Mbowe bwana Kaaya amesisitiza yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Amesema kupiga picha na viongozi au kuvaa nguo ya chama cha siasa sio kigezo za kuwa mwanachama wa chama hicho.

Ameongeza kwamba mbona Kikwete alipiga picha na Tundu Lissu hamkuongea kitu.

Amesema kwamba watu waache kumfuata fuata kwani hawamlishi wala hawamvishi na kila mtu anafigo yake hapa mjini.

hili swali ni kijinga kaulize simba na yanga kuhusu rangi zao
 
Akihojiwa na online media, shahidi katika kesi ya Mbowe bwana Kaaya amesisitiza yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Amesema kupiga picha na viongozi au kuvaa nguo ya chama cha siasa sio kigezo za kuwa mwanachama wa chama hicho.

Ameongeza kwamba mbona Kikwete alipiga picha na Tundu Lissu hamkuongea kitu.

Amesema kwamba watu waache kumfuata fuata kwani hawamlishi wala hawamvishi na kila mtu anafigo yake hapa mjini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aache Uongo kwani kuwa Mwanachama wa CCM ni kosa? Mbona ni Sifa kubwa sana
 
Wewe ndio unaona anajichanganya mwenzio kakuambia anazo figo zake, simu ni yake na account ni yakwake pia, kufuta lini na kwanini ni kiherehere chako tu Mmeru wa watu anazo sababu zake kama ilivyo kwa figo na mabandama yake,… we huna kwani?
Jinsia yako tafadhali, ukakasi....
 
Alikuwa anaona anapendeza sana ndiyo akaamua kuvaa hayo manguo ya ccm 😂😂😂😂😂 sasa aliwahi kupiga picha na gwanda za ACT wasaliti!?
🤣🤣🤣🤣🤣

Akihojiwa na online media, shahidi katika kesi ya Mbowe bwana Kaaya amesisitiza yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Amesema kupiga picha na viongozi au kuvaa nguo ya chama cha siasa sio kigezo za kuwa mwanachama wa chama hicho.

Ameongeza kwamba mbona Kikwete alipiga picha na Tundu Lissu hamkuongea kitu.

Amesema kwamba watu waache kumfuata fuata kwani hawamlishi wala hawamvishi na kila mtu anafigo yake hapa mjini.
 
Mungu wetu wote ni waki .Ipo siku isiyo na jina hapa duniani mtalipa mambo haya.Adhabu haipo Mbinguni Iko hapa duniani.Hata wewe @ kipara kipya ulivyo mpenzi mtukuka wa CCM hilo ungeweza kulifanya.
Je wewe mtukuka?!
 
Back
Top Bottom