Kwa ushahidi upi alionao Power?Hivi mshapata kujiuliza kama ninavyojiuliza mmi?
Uwepo wa mtu aliefanya kazi kwa Sabaya na kuacha hamuoni kama kuna leta uzito kwenye hii kesi kwa upande wa Mbowe?
Sabaya siyo Mmeru, pia mimi ni Mmeru na si katili hata kidogo, mwisho, huyo Kaaya anaweza kuwa Mmeru kweli, lakini siyo mwanaume halisi wa Kimeru! Tumefudishwa jandoni kwamba “reeya oo shile shile, kwammenda kyei!”
Na wewe mbwembwe zako pale mbogamboga ni kwenye nini?Mawakili wana mbwembwe sana!
Tutegemee jaji kujitoa/kutolewa na kuja jaji mwingine na shauri kuwa na nyoka nyoka nyingi au mipindo pindo mingi. 🤸.Kwa ushahidi huu tutegemee nini kwenye hii shauri?
Jinsi chadema wanavyo windwa kama digidigi mwituni wanaogopa kupotea, hivyo wapo ila kimya kimya🏃.Ulisha waona wasanii waliovalia combat za CDM?
Kitambo ila n mwaka huu, hata mafao hajapokea[emoji21]Huyu Koka Moita alifariki?
Uviko 19 nini? Alafu alikuwa kama mtu wa asili ya kaskazini. Baada ya Kilimanjaro naona alihamishiwa Arusha.Kitambo ila n mwaka huu, hata mafao hajapokea[emoji21]
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Lakini hapo ulipo hujui kama 'clarification' za mahakama zinatofautiana na "maoni", au wewe unajua?Mahakama ndio inawajibu wa clarifications, wewe Baki na maoni yako tu.
Sifahamu vizuri, ila n ghafla. Mm nimefahamiana nae Kigoma 2012. Alistaafu akiwa arushaUviko 19 nini? Alafu alikuwa kama mtu wa asili ya kaskazini. Baada ya Kilimanjaro naona alihamishiwa Arusha.
Nafikiri katika mazingira kama haya court ingehamia mazingira yaliyotajwa, magereza aliyokuwepo kaaya, magereza iliyoruhusu Mbowe kusafiri kwenda aLongido na sehemu waliyokutana Longido, ili tusiendelee kupotezeana muda.Shahidi Anaposema Walikutana na Mtuhumiwa Longido Wakati ambao Mtuhumiwa alikua Jela...nimejiuliza kumbe magereza zetu mtu aweza kutoka akasafiri akarudi....
Magereza Yachunguzwe.
Bwembwe zake ni kwenye bambikia, muruke, ongezea na nyinge, huyu muruke amekubali kuunga juhudi, yule mupe ya uhujumu.Na wewe mbwembwe zako pale mbogamboga ni kwenye nini?
That’s According to youKwa hiyo Kama unafigo zako sijui nini zako ndio utumike kutoa ushahidi wa uongo Mahakamani dhidi ya mtu mwingine naye mwenyewe figo zake pia.
Huyo jamaa ukifuatilia ushahidi wake unaonekana wazi ni wa kupika .
sijui, nasubiri.Lakini hapo ulipo hujui kama 'clarification' za mahakama zinatofautiana na "maoni", au wewe unajua?
SAWA MALAIKA WA ADHABU..Nakupa ushauri wa bure,Mungu niwaajabu acha kushabikia maumivu ya binadamu wenzako isivyo halali.Pigo utakalo lipata familia yako itakuwa shahidi hutojua namna mikosi na laana vinapotokea.MUNGU wetu ni wa haki hakuna adhabu mbinguni kuna adhabu hapa duniani.