JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Case study uganda sio
Ndio hata congo hapo miji yote ya waasi majeshi ya UN ndio hushika doria mitaani

Iraq,iran,Afghanistan kote doria zilishikwa na wanajeshi baada ya kuteka

Eneo la vita mwanajeshi ndie hushika doria
 
Aibu miaka zaidi ya 60 ya uhuru eti tunajivunia kuwa na wanajeshi wana mazingaombwe ambao kazi zao ni kuvunja tofali
 
Aibu miaka zaidi ya 60 ya uhuru eti tunajivunia kuwa na wanajeshi wana mazingaombwe ambao kazi zao ni kuvunja tofali
 
Ardhini wataingia lazima lakini ukiona wameingia ujuwe wanajuwa huna madhara tena uko hoi taabani.
Si kweli waingiaji wenyewe hujianda na kuwa fit hasa

Ona askari wa miavuli hawa makomandoo wa kike wa jeshi la ardhini wa Marekani wakiwa kwenye mazoezi hayo unayodharau kuwa ohh kuruka juu ya ndege ni ushamba hao ni askari wa kikosi kabisa cha kijeshi wanaitwa paratropers Army waweza tua popote na kupigana ardhini.Pamoja na Teknolojia yao wana warukaji juu ya ndege!!!

Hao wakiruka kama wa kwetu wa JWTZ
 
Hujaelewa mada. Hamna sehem nimesema wanajeshi wasiwe wakakamavu. Acha papara soma mada uelewe!!

BTW hiyo center itapigwa vipi wakati inalindwa na mtambo wa kuzuia makombora?
 
Kwenye vita unatakiwa ready kiakili na kimwili sasa usitake wajikite kwenye technologia tu, Nadhani technologia ni haioneshwi tu lakin kwa sasa ni lazima watakuwa huko tu
 
Nchi zote ambazo zimekuwa kiteknolojia askari bado anafundishwa kuwa mkakamavu. Sijaelewa unachoongea kwa kweli, kwamba physical endurance isiwepo kwa askari ndo unachokisema?
Ni wapi nimesema hicho kitu?

Kabla mwanajeshi hajaitwa mwanajeshi ni lazima apitie mafunzo ya ukakamavu akimaliza ndio anaitwa mwanajeshi.

Hoja yangu ni kwamba wasiishie tu kwenye ukakamavu waende mbele zaidi hawa wanajeshi wapewe mafunzo ya technolojia za kisasa na kama ikiwezekana jeshi liwekeze kwenye vijana/wanajeshi wenye IQ kubwa ili watumike kwenye tafiti za technolojia za kijeshi.

Umeelewa?
 
Kwenye vita unatakiwa ready kiakili na kimwili sasa usitake wajikite kwenye technologia tu, Nadhani technologia ni haioneshwi tu lakin kwa sasa ni lazima watakuwa huko tu
Ni wapi nimesema hicho kitu?

Kabla mwanajeshi hajaitwa mwanajeshi ni lazima apitie mafunzo ya ukakamavu akimaliza ndio anaitwa mwanajeshi.

Hoja yangu ni kwamba wasiishie tu kwenye ukakamavu waende mbele zaidi hawa wanajeshi wapewe mafunzo ya technolojia za kisasa na kama ikiwezekana jeshi liwekeze kwenye vijana/wanajeshi wenye IQ kubwa ili watumike kwenye tafiti za technolojia za kijeshi.

Umeelewa?
 
Hujaelewa mada. Hamna sehem nimesema wanajeshi wasiwe wakakamavu. Acha papara soma mada uelewe!!

BTW hiyo center itapigwa vipi wakati inalindwa na mtambo wa kuzuia makombora?
hata kama unailinda dhidi ya makombora kikosi cha makomandoo cha adui chaweza vamia physically .Unasubiria kombora lije unasikia watu wakishambulia ardhini hapo hapo kilipo na mibomu na mirisasi na askari wa ardhini
 
Acha bange. Unamaanisha Tz inaweza kumkalisha isreal vitani kwakutumia hizo zana mlizo nazo
 
Mi ntafurahi wakibadilisha hata zile adhabu zao kwa raia....
1. Kuna Dereva wa hiace alijitusu akaingia kambi ya Jeshi. Wakamwambia kwanza mchafu adhabu yake ikawa kuoga maji lita 1 na sabuni ile ya mia tano... sharti sabuni iishe, jamaa alikoma kuringa.

2. Mi nikiwa mdogo tulipita eneo lao tukapita krb na jiko lao tukiokota maembe wakatusimanisha wakatwambia nyie mnaonekana mna njaa. Wakapakua wali ndoo kubwa ile wakamimina na maharage wakatwambia mle huu wali hadi uishe Imagine tulikuwa 4.... awali tuliona jamaa wana upendo mkuu...baada tumeshiba wakatukazania tumalize ule wali aisee tulitoka matumbo yamechomoza kama tunaenda Labour.
 
Ukiwekeza kwenye teknologia jeshi la foot soldiers "milioni moja na malaki" la nini?
nenda jerusalemu Israel uone kila ukipishana na watu 10 wanne ni askari waliovaa nguo za kijeshi wakiwa na bunduki kabisa pamoija na teknolojia yao

Hakuna jiji lenye askari wengi kama Jerusalem ISRAEL
 
Mpaka hapo naona bado point yako inatoa umuhimu wa hayo mazoezi ya kupasua na kukaratee
 
Uzi wa hovyo sana Kama ujuwi ni bora ukae kimya umeandika nini.
Tambuwa kuwa kuna jesha la Anga, Nchi kavu na Maji.
Jeshi la Nchi kavu likiruhusiwa kuingia Gaza vita vya kuvunja tofali utaviona ,siyo tofali peke yake mpaka Visu,panga mawe kila sirah inaweza kubebwa kwenye mkono itatumika na Wapalestina.
Tofali limerushwa mwanajeshi wa Israel kabeba bunduku ilo tofali analizuia vipi au ataomba msaada kutoka kwa Iron Dome kuvunja Tofali .

Acha kudharau Jeshi letu
 
Mbona mada inaeleweka tu matusi ya nini? Mi nilitegemea wewe kama 'mtu wa Field' uje na nondo za uhakika kuelewesha watu humu juu ya kile ambacho kinazungumzwa hapa
 
Huwezi hata kujenga Hoja, hiyo si namna ya kumshauri mtu au kujibu hoja za mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…