JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Kaweke akili charge. Battery low.

Kwa hilo Boko ulilolitoa kama akili zako zingekua zinaCharge a bit......

America wasingekua na wale jamaa wa NAVY SEALS au MARINES ambao wao wanavunja nazi kwa ugoko.

Kacharge akili izo au battery haikai na chaji??????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kama hamna technology kwenye Jeshi la hapa badala ya kwenda na mda wanavunja matofali , je kombora ikirushwa watafanyaje au wataidaka kwa mikono kama rede
 
Pamoja na kwamba teknolojia ni muhimu, lakini bado tunahitaji askari wakakamavu.

Teknolojia ina mahala pake, na askari wana mahala pake.

Huwezi kuwa na jeshi la kutumia kompyuta tu. Unahitaji vijana wa kazi.

Halafu pia tunaangalia na mahitaji ya nchi pamoja na aina ya matishio ya kiusalama ambayo tunakabiliana nayo.

Sisi maadui zetu ni nani hasa? Hawa panya rodi na wajinga wajinga wa mpakani?

Ukishabaini aina ya matishio ya kiusalama tuliyonayo, utaona kwa kiasi kikubwa tunahitaji askari wakakamavu badala ya hizo kompyuta.

Bajeti ya nchi pia inazingatiwa. Hatuwezi kuacha kusambaza maji halafu turukie kununua teknolojia ambazo hazina matumizi ya msingi.

Tukombe bajeti yote tukanunue hiyo IRON DOME kwa ajili ya nani?
Ni wapi nimesema tununue iron dome? Hoja yangu ni kwamba tuwekeze kwenye tech na kuwekeza kwenye tech sio lazima kununua iron dome!!
 
Mleta mada uko very wrong kulinganisha nchi yenye defense budget ya $20 billion dhidi ya nchi yenye $1 billion na point. Bado hatulingani kwenye teknolojia na mambo kibao.

Hiyo Iron Dome unajua kuwa US ndio alifadhiri mradi huo, pamoja na ule mfumo mwingine mkubwa zaidi. Gharama za kufadhiri defense project ni kubwa mno Tanzania hatuwezi.

Kwanza nchi zote ununua silaha kulingana na uhitaji na maadui waliopo. Unanunua air defense nzito vile dhidi ya nani. Vipaumbele havioneshi kama tunahitaji air defense hata hiyo Israel ina silaha zinakoseana idadi kama submarines kwa vile sio kipaumbele na maadui wake hawapigwi kwa hizo wala hawatumii bahari kushambulia.

Nchi inayonunua panpasi na pedi nje ndio unataka itengeneze air defense system?

Kuwekeza kwenye technolojia sio kununua iron dome! BTW hamna sehem nimeandika tununue iron dome!
 
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
Vita ni kama game plan ya mechi za mpira wa miguu

Hao waisrael walienda Uganda kimyakimya kuwaokoa watu wao na kuondoka nao kimya kimya mbona hawakuenda na makombora yao
 
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
Mkuu hao makomandoo unaowasema wanavunja tofali ni special force, nadhani kama unayajua majukumu ya special force utaona umuhimu wa wanachokifanya kwa mfano moja ya jukumu la special force ni uokoaji katika mazingira magumu kwa mfano tukio la utekaji wa raia wa Israel nchini Uganda lilishugulikiwa na Mosad, maana yangu ni kuwa hata kama una teknolojia kubwaa kiasi gani bado kuna matukio hayahitaji teknolojia kwa mfano japo Marekani ina teknolojia kubwa ila mission ya kumkamata na kumuua Osama ilihitaji special force ili kutoathiri nchi nyingine hali ambayo ingepelekea vita ndo maana Marekani haikutumia drone, missile au kitu chochote zaidi ya hao makomandoo pia kwa mfano raia wa nchi yako wametekwa au askari wako wametekwa ukitumia makombola au drone utaua hadi raia na askari wako hapo ndo unakuja umuhimu wa special force
Pili Jwtz linawekeza pia kwenye teknolojia na kuna
jwtz lina aina nyingi za silaha na vifaa ambavyo vime advance ila huwezi ukaviona sababu siyo utamaduni wetu kuonesha kila silaha tuliyonayo japo hatuwezi kulingana na hao Israel au Marekani ila kwa maadui zetu na majirani tunaweza kuwa win
NB :ingekuwa vita ni teknolojia pekee basi Marekani kwa ushirikiano na kenya na umoja wa mataifa wangekuwa wameshakimaliza kikundi cha al shabab pia boko haram Nigeria ila jwtz special force ndo ilisaidia kuwaondoa m 23 Congo kwenye maeneo magumu kijiografia ambapo hizo teknolojia zilishindwa
 
Mada hii imekaa Kidharau dharau dhidi ya Jeshi letu la wananchi.. wanakulinda wale Lakini ukiwa Umelala Usingizi na kuendelea na mambo yako kwa Amani.
Mambo yao mengi ni ya Siri.
Na ndo taratibu zao kiutendaji.
Kwanza hata huko waliko endelea hawajacha kutumia askari (hardened soldiers) binadamu na ndio maana muda wote wanafanya utafiti wawe na super soldiers huwezi teka nchi kwa keyboard pekee you need boot on the ground, tech ni kwa ajili ya kupunguza askari wako wengi kufa uwanja wa vita nk kingine baadhi ya mada waweza kuta hata sio za watanzania maana kiswahili kwa sasa kimesambaa
 
do not under estimate jeshi linalo linda mipaka za nchi yako.
there are things you can't see sababu hupaswi kuona, na kutokua na machafuko au kutokua na maadui wanaopelekea kuto ona uzito na uimara wa jeshi kusikupumbaze.
 
Kaweke akili charge. Battery low.

Kwa hilo Boko ulilolitoa kama akili zako zingekua zinaCharge a bit......

America wasingekua na wale jamaa wa NAVY SEALS au MARINES ambao wao wanavunja nazi kwa ugoko.

Kacharge akili izo au battery haikai na chaji??????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Lazima wewe itakuwa sehemu ya wale wavunja matofali kwa kichwa
 
Mkuu hao makomandoo unaowasema wanavunja tofali ni special force, nadhani kama unayajua majukumu ya special force utaona umuhimu wa wanachokifanya kwa mfano moja ya jukumu la special force ni uokoaji katika mazingira magumu kwa mfano tukio la utekaji wa raia wa Israel nchini Uganda lilishugulikiwa na Mosad, maana yangu ni kuwa hata kama una teknolojia kubwaa kiasi gani bado kuna matukio hayahitaji teknolojia kwa mfano japo Marekani ina teknolojia kubwa ila mission ya kumkamata na kumuua Osama ilihitaji special force ili kutoathiri nchi nyingine hali ambayo ingepelekea vita ndo maana Marekani haikutumia drone, missile au kitu chochote zaidi ya hao makomandoo pia kwa mfano raia wa nchi yako wametekwa au askari wako wametekwa ukitumia makombola au drone utaua hadi raia na askari wako hapo ndo unakuja umuhimu wa special force
Pili Jwtz linawekeza pia kwenye teknolojia na kuna
jwtz lina aina nyingi za silaha na vifaa ambavyo vime advance ila huwezi ukaviona sababu siyo utamaduni wetu kuonesha kila silaha tuliyonayo japo hatuwezi kulingana na hao Israel au Marekani ila kwa maadui zetu na majirani tunaweza kuwa win
NB :ingekuwa vita ni teknolojia pekee basi Marekani kwa ushirikiano na kenya na umoja wa mataifa wangekuwa wameshakimaliza kikundi cha al shabab pia boko haram Nigeria ila jwtz special force ndo ilisaidia kuwaondoa m 23 Congo kwenye maeneo magumu kijiografia ambapo hizo teknolojia zilishindwa
Asante,wewe ndio umetoa maelezo ya kueleweka,kuna 'wadau' hapo juu walikuja wamepanic badala ya kuelimisha wakaanza na matusi
 
Mkuu hao makomandoo unaowasema wanavunja tofali ni special force, nadhani kama unayajua majukumu ya special force utaona umuhimu wa wanachokifanya kwa mfano moja ya jukumu la special force ni uokoaji katika mazingira magumu kwa mfano tukio la utekaji wa raia wa Israel nchini Uganda lilishugulikiwa na Mosad, maana yangu ni kuwa hata kama una teknolojia kubwaa kiasi gani bado kuna matukio hayahitaji teknolojia kwa mfano japo Marekani ina teknolojia kubwa ila mission ya kumkamata na kumuua Osama ilihitaji special force ili kutoathiri nchi nyingine hali ambayo ingepelekea vita ndo maana Marekani haikutumia drone, missile au kitu chochote zaidi ya hao makomandoo pia kwa mfano raia wa nchi yako wametekwa au askari wako wametekwa ukitumia makombola au drone utaua hadi raia na askari wako hapo ndo unakuja umuhimu wa special force
Pili Jwtz linawekeza pia kwenye teknolojia na kuna
jwtz lina aina nyingi za silaha na vifaa ambavyo vime advance ila huwezi ukaviona sababu siyo utamaduni wetu kuonesha kila silaha tuliyonayo japo hatuwezi kulingana na hao Israel au Marekani ila kwa maadui zetu na majirani tunaweza kuwa win
NB :ingekuwa vita ni teknolojia pekee basi Marekani kwa ushirikiano na kenya na umoja wa mataifa wangekuwa wameshakimaliza kikundi cha al shabab pia boko haram Nigeria ila jwtz special force ndo ilisaidia kuwaondoa m 23 Congo kwenye maeneo magumu kijiografia ambapo hizo teknolojia zilishindwa

Safi Sana Bloody
 
Nakufananisha na Layman anaelalamika kuwa Ma engineers wa tanzania wameshindwa kutengeza hata Toothpick, Natambua wewe ni msomi ila kwa hapa naona uko wrong kuna vitu lazima viwepo tu mana kuna special mission afu JW iko na investment kubwa na Research zinafanyika, Itoshe tu Kusema Jeshi letu ni bora kabisa Africa
 
Mkuu hao makomandoo unaowasema wanavunja tofali ni special force, nadhani kama unayajua majukumu ya special force utaona umuhimu wa wanachokifanya kwa mfano moja ya jukumu la special force ni uokoaji katika mazingira magumu kwa mfano tukio la utekaji wa raia wa Israel nchini Uganda lilishugulikiwa na Mosad, maana yangu ni kuwa hata kama una teknolojia kubwaa kiasi gani bado kuna matukio hayahitaji teknolojia kwa mfano japo Marekani ina teknolojia kubwa ila mission ya kumkamata na kumuua Osama ilihitaji special force ili kutoathiri nchi nyingine hali ambayo ingepelekea vita ndo maana Marekani haikutumia drone, missile au kitu chochote zaidi ya hao makomandoo pia kwa mfano raia wa nchi yako wametekwa au askari wako wametekwa ukitumia makombola au drone utaua hadi raia na askari wako hapo ndo unakuja umuhimu wa special force
Pili Jwtz linawekeza pia kwenye teknolojia na kuna
jwtz lina aina nyingi za silaha na vifaa ambavyo vime advance ila huwezi ukaviona sababu siyo utamaduni wetu kuonesha kila silaha tuliyonayo japo hatuwezi kulingana na hao Israel au Marekani ila kwa maadui zetu na majirani tunaweza kuwa win
NB :ingekuwa vita ni teknolojia pekee basi Marekani kwa ushirikiano na kenya na umoja wa mataifa wangekuwa wameshakimaliza kikundi cha al shabab pia boko haram Nigeria ila jwtz special force ndo ilisaidia kuwaondoa m 23 Congo kwenye maeneo magumu kijiografia ambapo hizo teknolojia zilishindwa
Umeua....
 
Mi ntafurahi wakibadilisha hata zile adhabu zao kwa raia....
1. Kuna Dereva wa hiace alijitusu akaingia kambi ya Jeshi. Wakamwambia kwanza mchafu adhabu yake ikawa kuoga maji lita 1 na sabuni ile ya mia tano... sharti sabuni iishe, jamaa alikoma kuringa.

2. Mi nikiwa mdogo tulipita eneo lao tukapita krb na jiko lao tukiokota maembe wakatusimanisha wakatwambia nyie mnaonekana mna njaa. Wakapakua wali ndoo kubwa ile wakamimina na maharage wakatwambia mle huu wali hadi uishe Imagine tulikuwa 4.... awali tuliona jamaa wana upendo mkuu...baada tumeshiba wakatukazania tumalize ule wali aisee tulitoka matumbo yamechomoza kama tunaenda Labour.
Area51 marekan wanakuua kabisa

We unasema kulishwa wali na kuogeshwa lita1..
Mi ntafurahi wakibadilisha hata zile adhabu zao kwa raia....
1. Kuna Dereva wa hiace alijitusu akaingia kambi ya Jeshi. Wakamwambia kwanza mchafu adhabu yake ikawa kuoga maji lita 1 na sabuni ile ya mia tano... sharti sabuni iishe, jamaa alikoma kuringa.

2. Mi nikiwa mdogo tulipita eneo lao tukapita krb na jiko lao tukiokota maembe wakatusimanisha wakatwambia nyie mnaonekana mna njaa. Wakapakua wali ndoo kubwa ile wakamimina na maharage wakatwambia mle huu wali hadi uishe Imagine tulikuwa 4.... awali tuliona jamaa wana upendo mkuu...baada tumeshiba wakatukazania tumalize ule wali aisee tulitoka matumbo yamechomoza kama tunaenda Labour.
 
Back
Top Bottom