Vipi kwenye "Special Mission" ....watumie vifaru na mizinga pia??.
Ulipita hata mgambo kweli??
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hakuna technically exhibition imewahi fanya na jw kubwa zaid ya gar za nyumbu wwUmejuaje kama hatujawekeza kwenye technology?
Hakuna technically exhibition imewahi fanya na jw kubwa zaid ya gar za nyumbu ww
Jeshi ni siri . Naongea kwa uzoefuHakuna technically exhibition imewahi fanya na jw kubwa zaid ya gar za nyumbu ww
Jeshi ni siri . Naongea kwa uzoefu
kweli teknolojia ilitumika kwa asilimia kubwa kufuatilia nyendo zake zote katika makazi yake ila bado haikutosha ikabidi Marekani wapeleke undercover agents ambao waliendesha zoezi la kutoa huduma ya chanjo kama sikosei mtaa mzima anaoishi Osama ila lengo kuu ilikuwa kuweza ku penetrate ndani kwa Osama na kujua zaidi kuhusu makazi yakeumepuyanga sana kwenye suala la mission ya marekani kumkamata/kumuua osama bin laden. rudi kwenye makabrasha yako kasome vizuri.
ktk mission hii, teknolojia ilitumika kwa ufanisi wa hali juu sana.
kwa mda mrefu makazi ya osama yalikuwa kwenye surveillance ya setelite za jeshi la marekani. hii ilisaidia jeshi la marekani kufanya covert analysis na kupanga mikakati ya kuvamia eneo lile.
it's through technology, marekani iliweza ku monitor mienendo yote ya wakaazi wa ile nyumba.
chopper iliyowabeba navy seal ilikuwa na teknolojia ya hali ya juu sana ndio maana jeshi la pakistani halikuweza kui-detect kwenye rada yao ndani ya anga la pakistani.
walikuja kushtuka baada ya mission kukamilika. kitendo hiki kilikuwa ni kama dharau kubwa kwa jeshi la pakistan.
Pakistan's army ridiculed after Bin Laden raid
kumbuka mda wote wakati mission hii inaendelea pakistani, rais obama na washauri wake wa masuala ya ulinzi na usalama walikuwa zao white house kwenye chumba kinachofahamika kama situation room wakifatilia hatua kwa hatua kupitia tv screen. haya yote ni matokeo ya uwekezaji mkubwa wa teknolojia. sio mambo ya kuvunja matofali.
View attachment 1790486
Facts, elimu muhimu sana. Sana sasa kwenye utumizi wa vifaa vya ki military modernized sahi, hadi uwe umeisomea undani hadi nje wa mashine hizo, sio kitoto pale! π€£Mkuu iyo teknolojia ya kulinda anga ina uzwa ni fedhaa tu. Ata mwaka jana taifa kubwa la Turkey walinunua mitambo ya warusi .
Cha msingi ni kuwa na elimu iliyo bora
Mmarekani alishambuliwa na Alqaeda wa Afghanistan na Iraq huko, na yeye kwa kujibu kipigo akawafuata kwao kuwachapia home ground hadi leo hii ndio wanatolewa. So military modernization ni muhimu, sio lazma jirani yako awe adui ndio uanze kujihami, No! Hata waweza kuwa unatoa msaada wa kielimu kwa majeshi ya nchi zingine ukiwa wewe uko far kwenye nyanja hiyo, au hata kusaidia kataki peace keeping missions kibao tu ju uko na experience ya kutosha with the new tech in town na uko advanced military wise.Kwa hyo mleta mada unadhan kuna siku TZ itaingia vita na ISRAELI au MAREKANI KWELI?
Adui wa kwanza ni jirani yako,hivyo lzm ujiimarishe kulingana na jirani yako alivyo ie Kenya,Uganda na Nchi nyngne zinazotuzunguka!!
π π π πhata kukamata wezi napendekeza watumie chopa...
yaaan vuuuuuuuuu
Mtu yuko mbali ndani ya container, kambini haswa, anakufwata hadi kwako na kukuachia kombora kutoka kwa drone zile za kisasa alafu hicho kinarudishwa kilipotoka. Wewe huku ushalizwa na hasara juu. Jamaa anaenda kunywa chai sasa, Duh. Technology muhimuUnawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,
Unasema tu hiiiiiiiii unanyamaza. Vita leo hii ni sayansi tupu, vita kubwa haziganwi kwa SMG, AK 47 nk, leo hii watu wanacheza na computa Dude linakufata huko huko.
Vita ya bunduki ni kwa ajili ya kupambana na vikundu vya waasi lkn nchi kwa nchi taifa kwa taifa hatuhitaji askari wa kuvunja matofali kwa mikono wala kwa vichwa.
Eti alambwe makofi?? Duh ππ€£ππ€£ππ€£π€£π€£ππMleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?
Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?
Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
Anaongelea vita na nchi nyingine, sio one on one mkuu! π€£Ujinga mzigo
Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Kuna kombora moja bei yake ni bajeti ya nchi ya mwaka. π π π Na ni moja tu, hata hakana mshiko! π€£Uchumi wa kati hautoshi kununua makombora?
Mazoezi hayaachwi kamwe popote pale duniani kwenye vikundi hivi. Alafu ujue kuna nchi zilizoendelea mfano Uarabuni hata Uzunguni hao majambazi unasema wanadakwa rahisi kupitia technology tu. Vitu vinatumika toka kitambo mkuu, sio movie! π€£Kwahiyo hata wakitaka kwenda kukamata majambazi watumie technology? Au unataka watoe siri za kambi? Hivi bila mazoezi Askari si watakuwa na vitambi kabisa, acha wapasue siku ukikutana na wale wazee [emoji123] au ndoo ndiyo utajua
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kama kweli vile..!π€£ π€£ π€£hata hiyo bado tupo nyuma sana kwa speed ya light
Vita tunayoimudu kwa sasa ni vita ya kiroho
Hata hivyo vita vya ardhini pia tech inavihusu, kuanzia tanks, mortars, rpg Guided Multiple Launch Rocket System nk vyote hivyo vinaundwa vipya kila kukicha. Huwezi niambia utashinda vita ukiwa na ka bunduki ka kitambo au tank zee, hiyo nayo itakuwa ngumu.Vita ya ardhini unafikiri unapigana wapi? MIJINI UTAINGIA mitaani pia.Au uNAFIKIRI VITA NI angani tu ? Unatekaje miji bila kushuka ardhini na kuingia mitaani na vichochoroni kwenye watu wengi?
Ni kama zile F-22 Raptor walizoundiwa na Lockheed Martin Aeronautics, hizo pia hazikuuzwa nje ya USA. Ilipotolewa F-35 ambayo Israel walinunua pia. Wakati F-22 walinyimwa na urafiki wote huu. Haha chezea tech, muhimu sana kwenye nyanja tofauti tofauti za nchi.Tech ya kijeshi hawauzii nchi hovyo wanapewa nchi rafiki tu kuna silaha US kawapa Israel na tech wengine hawapewi kuna hiz ndege F35 kama sikosei UAE kalilia sana mpaka juzi kapewa sharti asign uhusiano na Israel na kuwa hata dhuru wa Israel ndio kaahidiwa atapewa. silaha na tech tunayouziwa ujue hiyo imeshapitwa na wakati au haina madhara kwao. Silaha zisikokuwa na upinzani hawauzi kwa mtu. Hizo ndege tu mpaka Congress wapitishe kwa masharti. Vita vya siku hizi hawa jamaa wanaweza kukaa baharini tu na wakaangamiza nchi kwa masaa tu hawaingii ardhini mpaka wajue hali yako taabani wanakuja kusafisha tu mabaki. Sisi size zetu hawahawa jirani zetu.
At the end of the day, tech wins ata mkipatana head on!Unaota nchi vita si zote zinahitaji teknolojia vinginevyo Congo nA somalia WAASI WANGESHAISHA SIKU nyingi na boko haramu Nigeria wangeshaisha!!! Majeshi ya umoja wa mataifa yamewekeza kila aina ya teknolojia lakini wapi hakuna kitu!! Inabidi wasakwe physcically sio digitally!!!!
Kabisa, alafu unasikia mtu akisema Tech sio muhimu. HahaMabomu mabaya yale yanayotoka baharini lile likituwa moja basi magomeni yote flat, likija lingine Ilala yote flat ziko silaha hawa jamaa wakizitumia wanakurudisha miaka 40 nyuma.
Physical and mental fitness ni foundation ya lazima ndani ya jeshi. Huko utapitia tu siku utakuwa enrolled. Hapa ni military tech advancement tunajadili.Bastola na bunduki huwa haiwashwi na computer!!!! bomu la kutupa kwa mkono haliihitaji kujua computer!!
Kuvuka mito yenye mamba kuingia eneo la dui misituni huhitaji computer
Askari hahitajiki tu mwenye akili nyingi anahitajika mwenye nguvu nyiki kuanzia kichwa chake kiwe na nguvu ,mikono yake iwe na nguvu na miguu yake iwe na nguvu sio nyoronyoro anayejua tu kubonyeza keyboard!!! Hiyo compute centre yake ikitwangwa na kombora atakuwa mgeni wa nani wakati hata vimiguu vyake nyoronyoro hata kukimbia hawezi na akikutana na adui baada ya kituo chake cha computer kushambuliwa hawezi hata mrushia ngumi au mateke na vichwa kuokoa maisha yake wasije mteka akatoa siri?