JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Vipi kwenye "Special Mission" ....watumie vifaru na mizinga pia??.

Ulipita hata mgambo kweli??

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app

Mkuu special mission ya jeshi la merikani kumteka ama kumua Osama bin Laden, hawakutumia karate, wala uvunjaji wa matofali kwa kichwa, ilihusisha vifaa vya technologia ya kisasa ujuzi na usahihi wa hali ya juu, unao hitaji akili nyingi zaidi ya mabavu.
 
Hakuna technically exhibition imewahi fanya na jw kubwa zaid ya gar za nyumbu ww

wahafidhina wa jwtz wakisikia hivi wanatamani wakutafute wakuuwe.....ila huo ndio ukweli.

nimehudhuria exhibition zote za sabasaba na banda ninalopenda kulitembelea ni la wizara ya ulinzi ambalo ndani yake unawakuta jwtz wakionyesha zana zao mbalimbali na journals zinazozungumzia historia ya jeshi na mafanikio yake.

sijawahi kuona waki exhibit teknolojia yoyote ya kisasa ambayo jeshi limewahi kuivumbua.

kitu unique ambacho nimewahi kukiona kwenye banda la jwtz ni wale makomando wao wawili wakiwa wamesimama huku wamevaa begi kubwa ambalo wao wenyewe wanadai ni zito sana.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
umepuyanga sana kwenye suala la mission ya marekani kumkamata/kumuua osama bin laden. rudi kwenye makabrasha yako kasome vizuri.

ktk mission hii, teknolojia ilitumika kwa ufanisi wa hali juu sana.

kwa mda mrefu makazi ya osama yalikuwa kwenye surveillance ya setelite za jeshi la marekani. hii ilisaidia jeshi la marekani kufanya covert analysis na kupanga mikakati ya kuvamia eneo lile.

it's through technology, marekani iliweza ku monitor mienendo yote ya wakaazi wa ile nyumba.

chopper iliyowabeba navy seal ilikuwa na teknolojia ya hali ya juu sana ndio maana jeshi la pakistani halikuweza kui-detect kwenye rada yao ndani ya anga la pakistani.

walikuja kushtuka baada ya mission kukamilika. kitendo hiki kilikuwa ni kama dharau kubwa kwa jeshi la pakistan.
Pakistan's army ridiculed after Bin Laden raid

kumbuka mda wote wakati mission hii inaendelea pakistani, rais obama na washauri wake wa masuala ya ulinzi na usalama walikuwa zao white house kwenye chumba kinachofahamika kama situation room wakifatilia hatua kwa hatua kupitia tv screen. haya yote ni matokeo ya uwekezaji mkubwa wa teknolojia. sio mambo ya kuvunja matofali.






View attachment 1790486
kweli teknolojia ilitumika kwa asilimia kubwa kufuatilia nyendo zake zote katika makazi yake ila bado haikutosha ikabidi Marekani wapeleke undercover agents ambao waliendesha zoezi la kutoa huduma ya chanjo kama sikosei mtaa mzima anaoishi Osama ila lengo kuu ilikuwa kuweza ku penetrate ndani kwa Osama na kujua zaidi kuhusu makazi yake
pia baada ya satellite na drone za Marekani kufuatilia kila hatua na kujiridhisha kufanya uvamizi walipelekwa maaskari wa kikosi maalum na wakati wanakaribia wakapata ajali, kufupisha hadithi ni kuwa kikosi maalum ndo kiliingia kwenye makazi ya Osama, kupambana na vikwazo vya walinzi wa Osama na hatimae kumuua na kuondoka na mwili wake pasipo nchi mwenyeji kufahamu.
Nina hakika ingetumika teknolojia pekee kama ilivyotumika shambulio la drone kwa Generali wa Iran inawezekana ingepelekea vita au kutokuelewana baina ya mataifa hayo ila kikosi maalumu kilitumika pasipo kuacha alama yeyote ya ushahidi nyuma hii ndo maana halisi ya "special force"
 
Mkuu iyo teknolojia ya kulinda anga ina uzwa ni fedhaa tu. Ata mwaka jana taifa kubwa la Turkey walinunua mitambo ya warusi .

Cha msingi ni kuwa na elimu iliyo bora
Facts, elimu muhimu sana. Sana sasa kwenye utumizi wa vifaa vya ki military modernized sahi, hadi uwe umeisomea undani hadi nje wa mashine hizo, sio kitoto pale! 🤣
 
Kwa hyo mleta mada unadhan kuna siku TZ itaingia vita na ISRAELI au MAREKANI KWELI?

Adui wa kwanza ni jirani yako,hivyo lzm ujiimarishe kulingana na jirani yako alivyo ie Kenya,Uganda na Nchi nyngne zinazotuzunguka!!
Mmarekani alishambuliwa na Alqaeda wa Afghanistan na Iraq huko, na yeye kwa kujibu kipigo akawafuata kwao kuwachapia home ground hadi leo hii ndio wanatolewa. So military modernization ni muhimu, sio lazma jirani yako awe adui ndio uanze kujihami, No! Hata waweza kuwa unatoa msaada wa kielimu kwa majeshi ya nchi zingine ukiwa wewe uko far kwenye nyanja hiyo, au hata kusaidia kataki peace keeping missions kibao tu ju uko na experience ya kutosha with the new tech in town na uko advanced military wise.
 
Unawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,
Unasema tu hiiiiiiiii unanyamaza. Vita leo hii ni sayansi tupu, vita kubwa haziganwi kwa SMG, AK 47 nk, leo hii watu wanacheza na computa Dude linakufata huko huko.
Vita ya bunduki ni kwa ajili ya kupambana na vikundu vya waasi lkn nchi kwa nchi taifa kwa taifa hatuhitaji askari wa kuvunja matofali kwa mikono wala kwa vichwa.
Mtu yuko mbali ndani ya container, kambini haswa, anakufwata hadi kwako na kukuachia kombora kutoka kwa drone zile za kisasa alafu hicho kinarudishwa kilipotoka. Wewe huku ushalizwa na hasara juu. Jamaa anaenda kunywa chai sasa, Duh. Technology muhimu
 
Mleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?

Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?

Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
Eti alambwe makofi?? Duh 😁🤣😂🤣😂🤣🤣🤣😭😀
 
Ujinga mzigo

Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Anaongelea vita na nchi nyingine, sio one on one mkuu! 🤣
 
Kwahiyo hata wakitaka kwenda kukamata majambazi watumie technology? Au unataka watoe siri za kambi? Hivi bila mazoezi Askari si watakuwa na vitambi kabisa, acha wapasue siku ukikutana na wale wazee [emoji123] au ndoo ndiyo utajua

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Mazoezi hayaachwi kamwe popote pale duniani kwenye vikundi hivi. Alafu ujue kuna nchi zilizoendelea mfano Uarabuni hata Uzunguni hao majambazi unasema wanadakwa rahisi kupitia technology tu. Vitu vinatumika toka kitambo mkuu, sio movie! 🤣
 
Vita ya ardhini unafikiri unapigana wapi? MIJINI UTAINGIA mitaani pia.Au uNAFIKIRI VITA NI angani tu ? Unatekaje miji bila kushuka ardhini na kuingia mitaani na vichochoroni kwenye watu wengi?
Hata hivyo vita vya ardhini pia tech inavihusu, kuanzia tanks, mortars, rpg Guided Multiple Launch Rocket System nk vyote hivyo vinaundwa vipya kila kukicha. Huwezi niambia utashinda vita ukiwa na ka bunduki ka kitambo au tank zee, hiyo nayo itakuwa ngumu.
 
Tech ya kijeshi hawauzii nchi hovyo wanapewa nchi rafiki tu kuna silaha US kawapa Israel na tech wengine hawapewi kuna hiz ndege F35 kama sikosei UAE kalilia sana mpaka juzi kapewa sharti asign uhusiano na Israel na kuwa hata dhuru wa Israel ndio kaahidiwa atapewa. silaha na tech tunayouziwa ujue hiyo imeshapitwa na wakati au haina madhara kwao. Silaha zisikokuwa na upinzani hawauzi kwa mtu. Hizo ndege tu mpaka Congress wapitishe kwa masharti. Vita vya siku hizi hawa jamaa wanaweza kukaa baharini tu na wakaangamiza nchi kwa masaa tu hawaingii ardhini mpaka wajue hali yako taabani wanakuja kusafisha tu mabaki. Sisi size zetu hawahawa jirani zetu.
Ni kama zile F-22 Raptor walizoundiwa na Lockheed Martin Aeronautics, hizo pia hazikuuzwa nje ya USA. Ilipotolewa F-35 ambayo Israel walinunua pia. Wakati F-22 walinyimwa na urafiki wote huu. Haha chezea tech, muhimu sana kwenye nyanja tofauti tofauti za nchi.
 
Unaota nchi vita si zote zinahitaji teknolojia vinginevyo Congo nA somalia WAASI WANGESHAISHA SIKU nyingi na boko haramu Nigeria wangeshaisha!!! Majeshi ya umoja wa mataifa yamewekeza kila aina ya teknolojia lakini wapi hakuna kitu!! Inabidi wasakwe physcically sio digitally!!!!
At the end of the day, tech wins ata mkipatana head on!
 
Mabomu mabaya yale yanayotoka baharini lile likituwa moja basi magomeni yote flat, likija lingine Ilala yote flat ziko silaha hawa jamaa wakizitumia wanakurudisha miaka 40 nyuma.
Kabisa, alafu unasikia mtu akisema Tech sio muhimu. Haha
 
Bastola na bunduki huwa haiwashwi na computer!!!! bomu la kutupa kwa mkono haliihitaji kujua computer!!

Kuvuka mito yenye mamba kuingia eneo la dui misituni huhitaji computer

Askari hahitajiki tu mwenye akili nyingi anahitajika mwenye nguvu nyiki kuanzia kichwa chake kiwe na nguvu ,mikono yake iwe na nguvu na miguu yake iwe na nguvu sio nyoronyoro anayejua tu kubonyeza keyboard!!! Hiyo compute centre yake ikitwangwa na kombora atakuwa mgeni wa nani wakati hata vimiguu vyake nyoronyoro hata kukimbia hawezi na akikutana na adui baada ya kituo chake cha computer kushambuliwa hawezi hata mrushia ngumi au mateke na vichwa kuokoa maisha yake wasije mteka akatoa siri?
Physical and mental fitness ni foundation ya lazima ndani ya jeshi. Huko utapitia tu siku utakuwa enrolled. Hapa ni military tech advancement tunajadili.
Umeongelea kurusha bomu la mkono, sasa wewe uko mbali na bomu lako la mkono, mwenzako kule mbali ana Rocket Propelled Grenade (RPG) au zile Advanced Lightweight Grenade (ALG) Launcher, kumbuka hiyo ni tech imetumika kuitengeza kuanzia design yake hadi efficiency yake. Nani anapasuliwa hapo, wewe!
IMG_20210520_005505.jpg


IMG_20210520_005451.jpg

{A soldier demonstrates firing positions on the Mk 47 Striker}
IMG_20210520_005333.jpg

Kuhusu Pistols na tech, ziko zenye kutumia finger print ya mtu mmoja pekee, na hiyo yote ni kuzuia hasara wakati umenyang'anywa bahati mbaya, mhuni hatoweza kuitumia hata aje na ndumba 😂, wewe tu ndio unaweza sababu tu ya print yako, hivi hapo hujaokoka maisha yako ama?
{The $400 Intelligun by Kodiak Industries lets you lock and unlock a gun with your fingerprint, the way you’d open an iPhone.}
IMG_20210520_005424.jpg

Kuvuka mito yenye Mamba sio 😂😂😂, haya bhana, tech iko hapo pia, kuna machine inaitwa armoured vehicle-launched bridge (AVLB), hiyo ni gari na inaweza kuji convert kuwa bridge na magari ya kijeshi hata tanks kupita juu yake na kuvuka pande ya pili, hiyo nayo tech + engineering inahusika hapo.
{A Biber AVLB of the German Army using its own bridge}
IMG_20210520_005143.jpg

{An M60A1 Armored Vehicle Launched Bridge, deploying its scissors-type bridge.}
IMG_20210520_005217.jpg

{An M60 AVLB deploying its bridge on the banks of Lahn RIVER.}
IMG_20210520_005240.jpg

{A Slovak AM-50 laying a fast bridge over the Torysa}
IMG_20210520_005258.jpg


Kuhitimisha ni kwamba, ndo maana unaona nchi nyingi developed, military training yao hawa base sana kwa misuli, ni akili na tech + endurance kwa kila hali, penye kutumia nguvu wanarekebisha na PT nyingi, jamaa wanakuwa physicali all day everyday. Unaweza kuta kijana mwembamba ila hatari kupindukia sababu ana training ya kinyama, akili tech kila kitu ka fundishwa yaani akiingia pahali anasababisha hasara utadhani umevamiwa na kikundi kumbe timu tu ya mtu nne au tano lakini unatoa chenji kwao. Tech ndio future, misuli kiasi ndo usiwe bwege hata kujisaidia uwe unaweza.
{MTU-20 bridge layer}
IMG_20210520_013928.jpg

{EWK-Gillois amphibious bridging vehicle}
IMG_20210520_013940.jpg

{German M3 amphibious bridging vehicles}
IMG_20210520_013957.jpg
 
Back
Top Bottom