Tulia ww kama ni mwanajeshi kajipange naona unahasira za kuvunjiwa tofali kichwani kwani huko kusiko na amani hakuna jeshi? Au wao hawavunji mbao za mchongoNyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?
Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.
Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Zina waasi kutokana na tawala za kijinga zilizo kwenye nchi hizo. Kwani hizo nchi nyingine zenye waasi wana uhusiano gani na kuvunjiana matofali kichwani kwa askari wetu. Na kwa taarifa yako tushukuru tu hawajataka kuvamia hapa nchini, maana wakiamua huenda ikawa bonge la aibu. Acha vitisho vya kijinga boss.Unajua umezungukwa na nchi ngapi zilizokosa amani na zimejaa waasi na wewe upo hapa unatapika upuuzi bila ya hofu yoyote?
Libadilike liende wapi wewe unalifahamu jeshi kuliko linavyo jifahamu lenyewe ? Wewe ni mpuuzi wa siasa taka za CCM na Chadema sio kila kitu kimekaa mlengo huoWanalinda nchi kwa kuvunjiana matofali kichwani? Kazi ya ulinzi sio hisani Bali ni ajira kama zilivyo nyingine. Na huu uoga hapa nchini a.k.a amani haujaletwa na jeshi, bali uko automatically kutokana na uoga wa wananchi wa nchi hii. Usitake kutoa sifa za kijinga. Watu wanataka jeshi libadilike liachane na mambo ya kizamani.
Wakati kibiti inasafishwa walivamia matako yako ?Zina waasi kutokana na tawala za kijinga zilizo kwenye nchi hizo. Kwani hizo nchi nyingine zenye waasi wana uhusiano gani na kuvunjiana matofali kichwani kwa askari wetu. Na kwa taarifa tushukuru tu hawajataka kuvamia hapa nchini, maana wakiamua huenda ikawa bonge la aibu. Acha vitisho vya kijinga boss.
Lina la ajabu lipi boss? Ni hivi, kuvunjiana matofali ni mambo outdated.Libadilike liende wapi wewe unalifahamu jeshi kuliko linavyo jifahamu lenyewe ? Wewe ni mpuuzi wa siasa taka za CCM na Chadema sio kila kitu kimekaa mlengo huo
Wajinga huwa wanategemea wingi wao. Akija mmoja mmoja wanasulubiwa mpaka huruma.Hata kupiga hawawezi si yule mwenzao kapigwa hadi kufa na dereva bajaji😂😂😂 alafu wanaleta porojo mara jeshi la sita kwa ubora 😂😂😂 labda ubora wa maigizo huku mtaani mbona gwanda zinavalika kama kawa watu hawaogopi wala nn
Kwahiyo unaitukama serkali au sio bana? Niwaite?I am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
Kibiti ipi? Acha story hizo usizokuwa na uhakika nazo? Kuna tofauti gani na wale magaidi waliokuwa Tanga kipindi Cha JK, kisha walipokamatwa wakakutwa wanakula ugali na dagaa! Gaidi gani anakula ugali na dagaa boss. Acha story za kishamba bana.Wakati kibiti inasafishwa walivamia matako yako ?
Kuwa na heshima na jeshi lako sio kila kitu unafikiri kimekaa kiccm na kichadema unapotea dogo.
Nenda makao makuu Dodoma kawaulize wana maajabu gani tofauti na kuvunjiana matofali au nenda kwenye kambi yoyote unayo ifahamu kawa ulize wata kufahamisha.Lina la ajabu lipi boss? Ni hivi, kuvunjiana matofali ni mambo outdated.
Acha nikuache fala wewe unaropoka vitu hata usivyo vijua.Kibiti ipi? Acha story hizo usizokuwa na uhakika nazo? Kuna tofauti gani na wale magaidi waliokuwa Tanga kipindi Cha JK, kisha walipokamatwa wakakutwa wanakula ugali na dagaa! Gaidi gani anakula ugali na dagaa boss. Acha story za kishamba bana.
I wish y’all niggas would…..Kuwa na heshima wewe! Tukikukamata utajamba!
Mkuu muache bhana analeta stori za kijiweni msamehe bureKibiti ipi? Acha story hizo usizokuwa na uhakika nazo? Kuna tofauti gani na wale magaidi waliokuwa Tanga kipindi Cha JK, kisha walipokamatwa wakakutwa wanakula ugali na dagaa! Gaidi gani anakula ugali na dagaa boss. Acha story za kishamba bana.
Wangekuwa smart hivyo tusingeona blunder ya mabomu ya mbagala. Unawaona ni wa hatari kwa sababu hujishughulishi na matumizi ya nguvu, na ukiona tena wanapiga raia wasio na silaha, ndio unawaona wana nguvu kweli, lakini ikitokea wengine wenye silaha kama wao ni wa kawaida sana.Nenda makao makuu Dodoma kawaulize wana maajabu gani tofauti na kuvunjiana matofali au nenda kwenye kambi yoyote unayo ifahamu kawa ulize wata kufahamisha.
Siyo uwaite. Njoo nao kabisa.Kwahiyo unaitukama serkali au sio bana? Niwaite?
We msukuma unamtisha nani?Kuwa na heshima wewe! Tukikukamata utajamba!
Tuki 😂😂😂 unaongelea wingi wenu ila naamini ukiwa mwenyewe jamaa atakufanya ujambie mdomoni maana ni mwendo wa kukukanda tu mjeda bakaKuwa na heshima wewe! Tukikukamata utajamba!
Washamba wa sampuli yako ndio huwa wanashoboka na story za kihivyo. Sisi tunajua ni maboya wa kawaida kabisa. Ni vile hatuna muda wa kutafuta kwa mabavu. Lakini watu wakiamua wanakalishwa kirahisi mno.Acha nikuache fala wewe unaropoka vitu hata usivyo vijua.
Kwani nani anataka hayo maigizo uchwara? Wakae na mbinu zao huko huko, sio kufanya maigizo outdated.Sasa unataka waonyeshe skills zao zote hadharani? Hivi nyie sayansi ya majeshi na vita mnaijua?