hapana ndugu kwa huku kwetu sabab sisi ni shithole kantirii ni bora kukatazaHivi kwani kuvaa nguo za jeshi kuna shida gani zaidi ya kuonyesha uzalendo?
Mbona nchi zingine tena Africa na US unavaa fresh tu?
Tuna complicate sana mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nenda nao 1 on 1 mm hata gwanda ikivalishwa kwenye mti huo mti siushobokei1 on 1 asije kukubabaisha kama kabisa unaona mnaendana...Ila kama ni zaidi ya mmoja chomoa.
we kwel sangara utaweza mishe za machimbo ww mdaslam 🤣🤣🤣Sawa nenda nao 1 on 1 mm hata gwanda ikivalishwa kwenye mti huo mti siushobokei
Akuna askari jeshi muonevu,kuvaa gwanda zao walizokataza ni kuwachokoza,ukishawachokoza wakikunasa unataka wafate sheria!.Kwan askari jeshi wote ni waonevu..mm nimesema hao waonevu
Kaka usomaji wako upoje au hujazoea sana kiswahili
Ninachopinga mm ni uonevu wala simtetei mtu anaevaa hizo gwanda maana ni kinyume cha sheria..na mkosefu anapaswa awajibishwe kwa sheria na sio uonevu
😁😁Tuna askari wa hovyo sanaHivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
NakaziaDarasa la Saba hao mshahara Mdogo IQ ndogo too mediocre
Mkuu Kuna mwanajeshi mmoja wa Kenya alitaka kuniletea shobo huku akinibabaisha namna anavyowafanya alshabaab huko somalia,tuko baani tunakata vyombo nasubiri magunia yangu ya mchele yanunuliwe huko kisii Kenya, mara jamaa kalianzisha....mbona tulitoboana Sana tu.Sawa nenda nao 1 on 1 mm hata gwanda ikivalishwa kwenye mti huo mti siushobokei
Sawa jipe moyoMkuu Kuna mwanajeshi mmoja wa Kenya alitaka kuniletea shobo huku akinibabaisha namna anavyowafanya alshabaab huko somalia,tuko baani tunakata vyombo nasubiri magunia yangu ya mchele yanunuliwe huko kisii Kenya, mara jamaa kalianzisha....mbona tulitoboana Sana tu.
Nchi zingine wanajeshi ni kama raia wengine so Hawana upuuzi kama huu wa huku kwetu.
Usiogope kujaribu mkuu wengine huko makambini sio wanajeshi ni WAPISHI TUU.
Hahaaa....huyu hajui upuuzi wa mwafrika akishajua unamwogopa.we kwel sangara utaweza mishe za machimbo ww mdaslam 🤣🤣🤣
Sawa kibuawe kwel sangara utaweza mishe za machimbo ww mdaslam 🤣🤣🤣
Najiamini mkuu Wala sijipi moyo....hao tumepigana nao Sana kwenye mechi za ndondo mtaani. Nenda Tarime kwenye kambi ya ng'ereng'ere iliyoko sirari,wanaelewa Sana mziki wetu wa mtaani.Sawa jipe moyo
NakaziaTangu nilivyoona katazo lile kuvaa nguo za jeshi tayari nilishaona siasa zimeshaanza kuingia kwenye jeshi sio muda jeshi la wananchi watakuwa hawana tofauti na polisi ccm
KabisaNchi yetu inashida kibao za kusaidia jamii,sikuona sababu kuitisha press kabisa Kwa jambo kama hilo.........jwtz ilitakiwa waitishe press Kwa jambo mahususi na si nguo........bado majeshi yetu yanaishi miaka ya 47
SawaNajiamini mkuu Wala sijipi moyo....hao tumepigana nao Sana kwenye mechi za ndondo mtaani. Nenda Tarime kwenye kambi ya ng'ereng'ere iliyoko sirari,wanaelewa Sana mziki wetu wa mtaani.
Ni nguo imechomwa motoNdio kigezo cha kuchoma mtu moto?
Hawana akiliMajeshi ya hii nchi hii yana akili za kiminyama minyama tu.Majitu ya vurugu tupu.Kustawi kwenye jamii ya majitu yanayopenda kuumiza watu ni mtihani sana.
KabisaTunaongelea Tanzania, jeshi haliigi nchi nyingine