Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Wewe nawe ni hamnazo.Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Unamuaibisha Nikola pumbavu weweNawapongeza sana hao wanajeshi! Aliyapata wapi hayo mavazi kama siyo jambazi huyo?
Mambo ya kizamani na ni ushamba mwanajeshi kupiga raia kwa nchi inayofuata utaratibu wa sheriaVijana wenzangu waache kuvaa izo nguo, askari jeshi akupeleki polisi wala mahakamani.
Jw na jeshi la polisi walishatoa katazo la kuvaa nguo za mbogamboga.wenyewe awataki msilazimishe.
Unamuaibisha Nikola pumbavu wewe
Vijana wenzangu waache kuvaa izo nguo, askari jeshi akupeleki polisi wala mahakamani.
Jw na jeshi la polisi walishatoa katazo la kuvaa nguo za mbogamboga.wenyewe awataki msilazimishe.
Nafikir ni kukosa EXPOSURE tu.Hayo mavazi hayana lolote kwa raia kuvaa. Nchi nyingi sana raia wanavaa na hakuna upuuzi kama wa huku bongo.Yaani eti kubeba kitu au kuvaa nguo ni kosa,kwa mantiki ipi?Kwamba nikivaa nguo inayofanana na jeshi,jeshi linaathirika vipi katika shughuli zake hadi iwe kosa kubwa sana?Nasemaje wapigwe tu, vijana ujuaji wa kijinga umezidi. Na Bahati mbaya wanafanya makusudi.
Tusitetee ujinga, wakiwa wanavaa nguo za Jeshi hatuwaoni mkijitokeza kuwakanya na mnajua ni kinyume cha sheria, wakipewa kipondo ndo mnajitokeza.
Waendelee kupigwa sana had huu ushamba wa kuvaa nguo za Jeshi uishe
Ni sheria gani ya nchi inaruhusu hao wanajeshi kufanya hicho kitendo
Ili uwe salama kuna vitu vya kuhepuka,unajua kabisa jeshi ni wazamani na washamba alafu unavaa nguo zao walizokataza,la hasha,,!watakuonyesha ushamba na uzamani wao,,!Mambo ya kizamani na ni ushamba mwanajeshi kupiga raia kwa nchi inayofuata utaratibu wa sheria
Kwahio kama raia haruhusiwi kuvaa nguo za jeshi akikamatwa ndio ateswe?kwanini wasimpeleke polisi?ndio wanasema jeshi letu lina nidhamu,nidhamu gani hio ujinga mtupu na ushamba unawasumbua tuWewe ni mpumbavu! Tangu lini raia anaruhusiwa kuvaa au kuwa na mavazi ya jeshi? Huyo ni raia au jambazi? Kayapata wapi hayo mavazi? Jeshi lilitangaza kuwa mtu yeyote ambaye anayo au anamiliki mavazi ya jeshi isivyo halali ayarudishe jeshini au kama anaogopa basi ayatelekeze hata mahali popote ili yachukuliwe na kupelekwa jeshini! Kama kuna mtu alikuwa ana test mitambo ya jeshi basi ni vizuri akione chamtemakuni, ni wakati wake muafaka huo!
Wewe ni mpumbavu KIWANGO cha SGR. Nguo za jeshi zinaeleweka.Yaani kila nguo yenye bakabaka basi ni ya jeshi?Shida hujatembea ndio maana unaona mtu akivaa nguo kama za jeshi na sio mwanajeshi basi ni jambazi. Kuna nchi nilienda, Raia kupiga nguo kama za jeshi ni kitu cha kawaida sana na hata wewe ukimuona unajua tu huyu sio mwanajeshi. Yaani kuvaa kaptura kama ya jeshi basi LAZIMA utakua jambazi?Hii MENTALITY ni ya kipuuz sana hapa bongo.Ni MENTALITY za kipuuz tu unakuta mwanajeshi anampiga raia anasema oooh hii nguo tumesotea we huwezi vaa kirahisi. Hivi wanajeshi wanaosotea wako Tz tu?Wewe ni mpumbavu! Tangu lini raia anaruhusiwa kuvaa au kuwa na mavazi ya jeshi? Huyo ni raia au jambazi? Kayapata wapi hayo mavazi? Jeshi lilitangaza kuwa mtu yeyote ambaye anayo au anamiliki mavazi ya jeshi isivyo halali ayarudishe jeshini au kama anaogopa basi ayatelekeze hata mahali popote ili yachukuliwe na kupelekwa jeshini! Kama kuna mtu alikuwa ana test mitambo ya jeshi basi ni vizuri akione chamtemakuni, ni wakati wake muafaka huo!
Yaani mwanajeshi ampeleke raia polisi!!!Sio haki na sio sahihi.
Wanajeshi hawapaswi kuchukua sheria mkononi. Kama kuna mtu (raia) amevunja sheria dhidi ya jeshi, jeshi linapaswa kumpeleka polisi na polisi wachukue mkondo wa kisheria.
Mkuu hakuna siasa hapo, unavaaje nguo inayofanana na ya jeshi?Tangu nilivyoona katazo lile kuvaa nguo za jeshi tayari nilishaona siasa zimeshaanza kuingia kwenye jeshi sio muda jeshi la wananchi watakuwa hawana tofauti na polisi ccm
SawasawaHlafu anajifanya analeta huruma zake za hovyo Kwanza ilifaa amezeshwe chura mzma