JWTZ wanapendwa sana na raia

JWTZ wanapendwa sana na raia

Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.

Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.

Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.

Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.

Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.

Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
Ni kweli Jeshi letu pendwa linaaminiwa sana na wananchi wengi....shida wanakuja mikono mitupu kwepi hatuna bifaa uokozi ? Badic ones ? Kuna aibu sana naionaas hapoo kwa nini hatujifunzi ?? Pesa wanapiga vikao na semina elekeziii
 
Huwa nawapenda pale linapotokea jambo katka jamii la kuhitaji msaada wale watu wanajitoa aisee haijalishi anafanya nini kama anaweza anajitosa tu,
Nilisoma shule zao kiukweli hata mimi nawapenda kutoka moyoni
 
Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.

Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.

Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.

Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.

Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.

Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
kinachoyaponza majeshi mengine ni rushwa
 
Kwa sababu ya direct mission zao za kukutana na raia ndiyo walitakiwa wapendwe badala ya kuchukiwa.
Kukutana na raia ndiyoo waue, walambe rushwa, wabambikize watu kesi n.k?

Angekua anachukiwa mmoja mmoja mmoja hapo sawa, lakini kitendo cha kuchukiwa Jeshi zima hiyo ni kasoro kubwa.
Ushasema JWTZ yani Jeshi la Wananchi tanzania lazima lipendewe sababu sisi wananchi wenzao
 
Kwa sababu ya direct mission zao za kukutana na raia ndiyo walitakiwa wapendwe badala ya kuchukiwa.
Kukutana na raia ndiyoo waue, walambe rushwa, wabambikize watu kesi n.k?

Angekua anachukiwa mmoja mmoja mmoja hapo sawa, lakini kitendo cha kuchukiwa Jeshi zima hiyo ni kasoro kubwa.
Njia pekee ya kupendwa ni wao kuacha kusimamia sheria iliyotungwa ili ikubane
 
Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.

Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.

Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.

Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.

Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.

Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
Sana kabisa na MUNGU azidi kuwabariki JWTZ daima.
 
Back
Top Bottom