Kaa kimasta kijana, hisia sio mzigo mzuri kwako

Mzee wa ma youtong kumbe upo hata huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Uko sahihi mkubwa, na nilisha zungumzia na kuomba radhi.

Na nili kutag pia, guess hukuona
 
Mzee wa ma youtong kumbe upo hata huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Yaani watu wakishakuhukumu basi unalo dah!

Nakaribia mwaka sijaposti cho chote kuhusu ma yutong na nimeshatangaza rasmi kuachana na ma yutong na kuhamia kwa vimbaumbau lakini bado tu naitwa mzee wa ma Yutong 😭

Anyway, turudi kwenye mada sasa. Unafikiri tunawezaje kumfanya mtoto/kijana wa kiume asiwe anaongozwa na hisia hasa katika dunia hii tuliyonayo? Tunawezaje kupata alpha males katika dunia hii inayomuwinda mtoto wa kiume ili kumfanya awe feminine na simp?
 
hisia mbaya sana utajikuta umeoa mwanamke mweupe mrefu mwenye tako alafu kwa maskini utakuwa mtumwa kwa mashemeji hadi ukome
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Mweupe
Mrefu
Ana tako
Sawa sawa... Ngoja hii aone Mbaga Jr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…