Kabendera anawezaje kusema Hayati Magufuli alienda na pajama kwa Makamu wake je walinzi wake na Walinzi wa Makamu walikuwa wapi?

Kabendera anawezaje kusema Hayati Magufuli alienda na pajama kwa Makamu wake je walinzi wake na Walinzi wa Makamu walikuwa wapi?

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Kabendera sisi tunauelewa wa kutosha ni kweli unachuki na jpm lakini uongo huu uliouandika hauna tofauti na vitabu vya yericko nyerere mwenye elimu ya hapa na pale.

Wote tunafahamu raisi ni kiongozi wa umma na makamu wake hao wote safari yoyote hutoka na walinzi.

Pili wabapoishi huishi na wasaidizi wao! Hivi wewe unaposema JPM alitoka na pajama kwenda kwa makamu mbona kama ni picha ya kihindi!

Unataka kuaminisha umma raisi ni sawa na mkuu wa mkoa au wilaya wanaoweza kutembea bila walinzi wakiamua ebu acha kuchafua viongozi kwa maslahi yako.

Cha kushangaza serikali imekaa kimya kuhusu jambo hili.
 
Kambendera dish limeyumba! Rais ni kiongozi mkuu namba moja wa nchi kila hatua walinzi wanaye. Makamu wa Rais ni kiongozi wa pili wa nchi kila aendako walinzi wanaye. Sasa kwa tuhuma kama hizi ina maana walinzi wa pande mbili walikubaliana na kuacha hili jambo? Alafu pajama kwenye ofisi zinafata nini?
 
Kabendera sisi tunauelewa wa kutosha ni kweli unachuki na jpm lakini uongo huu uliouandika hauna tofauti na vitabu vya yericko nyerere mwenye elimu ya hapa na pale.

Wote tunafahamu raisi ni kiongozi wa umma na makamu wake hao wote safari yoyote hutoka na walinzi.

Pili wabapoishi huishi na wasaidizi wao! Hivi wewe unaposema JPM alitoka na pajama kwenda kwa makamu mbona kama ni picha ya kihindi!

Unataka kuaminisha umma raisi ni sawa na mkuu wa mkoa au wilaya wanaoweza kutembea bila walinzi wakiamua ebu acha kuchafua viongozi kwa maslahi yako.

Cha kushangaza serikali imekaa kimya kuhusu jambo hili.
Wakati anamtungua Ben walinzi hao walikuwepo?
 
Kimaadili haiwezekani na JPM kamwe asingeweza kufanya hivyo!
Hivi wewe unafikiri Rais ni mwanadamu tofauti na wanadamu wengine !.

Tatizo lako ni kufikiri Rais ni kama Mungu kwasababu katiba imemrundikia mamlaka makubwa.

Magufuli alikuwa mwanadamu mwenye mapungufu mengi sana.

Nadhani Kabendera kapunguza kutujuza udhaifu mwingi wa Magufuli.
 
Hivi wewe unafikiri Rais ni mwanadamu tofauti na wanadamu wengine !.

Tatizo lako ni kufikiri Rais ni kama Mungu kwasababu katiba imemrundikia mamlaka makubwa.

Magufuli alikuwa mwanadamu mwenye mapungufu mengi sana.

Nadhani Kabendera kapunguza kutujuza udhaifu mwingi wa Magufuli.
Yapo mengi mno yamefichwa
 
Kabendera sisi tunauelewa wa kutosha ni kweli unachuki na jpm lakini uongo huu uliouandika hauna tofauti na vitabu vya yericko nyerere mwenye elimu ya hapa na pale.

Wote tunafahamu raisi ni kiongozi wa umma na makamu wake hao wote safari yoyote hutoka na walinzi.

Pili wabapoishi huishi na wasaidizi wao! Hivi wewe unaposema JPM alitoka na pajama kwenda kwa makamu mbona kama ni picha ya kihindi!

Unataka kuaminisha umma raisi ni sawa na mkuu wa mkoa au wilaya wanaoweza kutembea bila walinzi wakiamua ebu acha kuchafua viongozi kwa maslahi yako.

Cha kushangaza serikali imekaa kimya kuhusu jambo hili.
Huna akili.. yaani raisi akitoka na pajama walinzi wanaweza kumzuia?
 
Kabendera sisi tunauelewa wa kutosha ni kweli unachuki na jpm lakini uongo huu uliouandika hauna tofauti na vitabu vya yericko nyerere mwenye elimu ya hapa na pale.

Wote tunafahamu raisi ni kiongozi wa umma na makamu wake hao wote safari yoyote hutoka na walinzi.

Pili wabapoishi huishi na wasaidizi wao! Hivi wewe unaposema JPM alitoka na pajama kwenda kwa makamu mbona kama ni picha ya kihindi!

Unataka kuaminisha umma raisi ni sawa na mkuu wa mkoa au wilaya wanaoweza kutembea bila walinzi wakiamua ebu acha kuchafua viongozi kwa maslahi yako.

Cha kushangaza serikali imekaa kimya kuhusu jambo hili.
Kwani hawezi kwenda na escort ndogo huku amevaa pajamas?
Hebu nawe weka ukweli wako(hauwezi kupinga strongly bila ya kuwa na facts hata kama maelezo unayoyapinga yana walakini) ili tupime kati yako na Kabendera nani ni mkweli na nani ni muongo.
 
Back
Top Bottom