Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

You could be sick!! Trilioni moja unaijua wewe? Wacha ngano safi na makapi vitenganishwe!!

Magufuli alikua zaidi ya shetani ndio maana moyo wake ulishindwa hata kuhimili dhambi zake mwenyewe.
umejamba au umeongea!!! acheni uharo nyie vibwengo
 
Viongozi wanakaa vikaoo vya jinsi ya kubadilisha maisha ya wananchi wao. Hapa wanakaa vikao vya kuumiza na kutaka kuua na kuwafunga. Tuna tatizo sehem kama taifa.
 
Magenge yalikwepo, Kuna genge lilikuwa linazunguka minadani kukusanya pesa kwa wafanya biashara wa Ng,ombe kwa kigezo Cha leseni ya kitaifa.ukiwauliza hio leseni inapatikana wapi? hawakupi maelekezo! Wanachofanya ni kuzuia Ng,ombe! au munaingia makunaliano ya kulipa Kila Ng,ombe elfu 50 yaliwahi tokea Mkongeni Dakawa na machinjio ya Morogoro mjini.
 
haujui maudhui tulia hili ni andiko kubwa lenye taswira kubwa hamuwezi elewa kaeni kmya
 
Mkuu uandishi wako tu unadhihirisha kuwa hapo ulipo tayari umeshatumia kilevi. Kama nakosea samahani ila ndivyo mwandiko unavyosomeka, mwandiko una harufu za pombe.
I told him the same. Huyu jamaa ni wale hopeless walevi kwenye system ambayo system hutumia ku-assinate anti-system. Anashindia pombe, mostly pombe kali.
 
Trilioni moja mkuu unaijua kweli mkuu? Nani ampe malipo hayo tz hii?
Acha ateme nyongo tu mbona mpaka leo hitler anasemwa tu
 
Watoto wanafanya siri badayee Seeikali ikiwabana tu wazazi wao wanakufa kwa presha
 
wakamateni hao magenge wenu kama mnahasira na kama mnanguvu....kwa uharo huu wa kubweka, kubwata, na kubwaka mtaweza kweli!!!?
 
Mleta mada na mazezeta wenzake wanaomtetea Yule ibilisi ni wapumbav mno
Napata hasira nikifikiria upuuz uliofanyika na madhila walioyapata watu toka Kwa Yule ibilisi mwendawazimu
 
Wewe choko katiwe huko ,kvma wewe ,unanijua Mimi ? Au unadhani kila mtu ni zwazwa kama wewe humu .
Sikiliza dogo upuuz wako peleka Facebook huko unaongea na watu wazima hapa .
Simbilisi wewe
hujui kitu imeisha hio, sibishani na upepo
 
Ukumbuke alimpoteza Mama yake kwa uzembe na ushuzi wa CCM...kwake kufa kwa sasa au kuishi ni jambo la kawaida so stop this nonsense ASAP
 
Mleta mada na mazezeta wenzake wanaomtetea Yule ibilisi ni wapumbav mno
Napata hasira nikifikiria upuuz uliofanyika na madhila walioyapata watu toka Kwa Yule ibilisi mwendawazimu
Ametupwa nje ya mfumo kama mwenzie yule anayetapatapa humu wakajiajiri tu sasa kutumikia serikali ya kidhalimu kuna mwisho wake.
 
Viongozi wanakaa vikaoo vya jinsi ya kubadilisha maisha ya wananchi wao. Hapa wanakaa vikao vya kuumiza na kutaka kuua na kuwafunga. Tuna tatizo sehem kama taifa.
Wajinga Sana hawa ,Kwanza nyuzi kama hizi ikibidi zipigwe ban na I'd kama za huyu mjinga zipigwe ban humu
 
Watu wanaambiwa wasiende Dar kama hawajaoga wala kunyoosha nguo ! Damn hiyo kauli anatoa kiongozi kabisa kwenye mkutano na wanahabari unajiuliza issue za msingi kujadiliwa zimeisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…