Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
Hii kitu ina pande mbili. Rais Samia kama angeweza apige marufuku kumtukana au kumdhihaki Dkt Magufuli, maana ni kitu pekee ambacho kitamnyima urais 2025. Maana kwa sasa kila kundi linajaribu kumuhusisha na yeye na Dkt Kikwete kushiriki kumuua Dkt Magufuli. Na hasia za watanzania ni kuwa Dkt Kikwete kwa kushirikiana na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli (Kitu ambacho mimi binafsi siamini kabisa-Dkt Magufuli alikufa kifo cha kawaida). Kauli kama hii ya Kabendera ina leta mashiko kwenye hisia za watanzania kusema kumbe Dkt Kikwete na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli na hicho kitu watanzania walishaanza kusahau. Mungu amlinde Dkt Kikwete na Rais Samia, hatutaki tena vifo vitokee, tunahitaji kujenga nchi.Nimesoma comment zote bt Kuna swali Bado halijibiki ktk fikra zangu!!!
Kwann Kila sa100 anapozuru nyanza makundi yanazuka kumtukana alolala???
Je ni anawakumbusha machungu au wanazidisha hasira ya Wana nyanza Ili waichukie sirikali???
Nani anafaidika na upuuzi huu??
Kwann wazee wamegoma kuzeeka na kukaa ktk nafasi zao kushauri Kwa HAKI???
Hiyo sentensi ina makosa manne ya wazi.sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
Huu ujinga wa kujifanya watabiri naona Godbless lema ameshapata wafuasi wake.Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Umenena vyema,Hii kitu ina pande mbili. Rais Samia kama angeweza apige marufuku kumtukana au kumdhihaki Dkt Magufuli, maana ni kitu pekee ambacho kitamnyima urais 2025. Maana kwa sasa kila kundi linajaribu kumuhusisha na yeye na Dkt Kikwete kushiriki kumuua Dkt Magufuli. Na hasia za watanzania ni kuwa Dkt Kikwete kwa kushirikiana na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli (Kitu ambacho mimi binafsi siamini kabisa-Dkt Magufuli alikufa kifo cha kawaida). Kauli kama hii ya Kabendera ina leta mashiko kwenye hisia za watanzania kusema kumbe Dkt Kikwete na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli na hicho kitu watanzania walishaanza kusahau. Mungu amlinde Dkt Kikwete na Rais Samia, hatutaki tena vifo vitokee, tunahitaji kujenga nchi.
Watu wazima wenye midomo michafu?Wewe choko katiwe huko ,kvma wewe ,unanijua Mimi ? Au unadhani kila mtu ni zwazwa kama wewe humu .
Sikiliza dogo upuuz wako peleka Facebook huko unaongea na watu wazima hapa .
Simbilisi wewe
Wewe iko siku utakuja kukamatwa tu maana ulikuwako hata kwenye kikosi cha WASIOJULIKANA kilichokwenda kumshambulia Tundu Lissu chini ya uongozi wa Paul Makonda. Usiamink kuwa hiyo ID ya TumainiEl umejificha sana. Kimsingi tunakufahamuNakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
You are playing ...sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
Nasema hivi oangezewe kuni km imekuuma shauri yakoWewe utakuja kuishia wapi? Ni aibu na woga wa kutisha kupambana na marehemu wakati alipokuwa hai hukuthubutu hata kidogo kutikisa mkia! Unajizolea laana! Mtu akifariki inabidi aachwe mikononi mwa Mungu ajuaye siri za moyo wa mtu kipindi anamchukua! Vinginevyo utapambana na hasira za Mungu kwa kushughulika na yule ambaye tayari ameshamtwaa!! Sina uhakika kama umeelewa, lakini nakuona unajitafutia laana kwa nguvu!!
sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
Dada shamimuodd jibu kwanza hoja yangu pale juu ndiyo nitajuwa kama kweli ni mimi au ni wewe mwenye matatizo ya akili.Huihui2 bila kujalisha umri wako, jinsia yako na kiwango cha uchumi ulicho nacho, wewe una matatizo ya akili.
Bro mi mchagga wa kibosho ila tumekulia longuoWewe ni ngosha tu acha kuzunguka zunguka
🤣🤣🤣🤣Tatizo lako dogo ni kudhani wewe ni mtu muhimu sana
Tunaoona kesho huwa tunajibu hoja sio kutisha watu kama MaguMimi sijawahi kuandika Nina umuhimu ila nina toa ushauri kwa kile naona kesho. So hayo mengine sijuwi
You are playing ... and your are just thinking...sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
Uwe na adabu we kima,tuondolee stress zako hapa 💩 weweMungu ndiye aliyeuamua baada ya kusikia kilio chetu.
Rais jizi vile 1.5 trilioni na mauwaji kibao.
Linatomba mpaka ndugu wa mkewe...
Chafu sana lile
Hilo andiko la Kabendera lipo wapi?Erick kiukweli aliyosema ukisoma between the line kuna vitu vingi ndani yake! Nimerudia mara nyingi lile andiko nikaelewa kwanini yaliyomtokea yalitokea na huenda yeye mwenyewe anaendelea kujimwagia upupu!
Anyway, sisi wengine yetu macho tu!