Kabendera, Kitabu pekee hakina nguvu ya kumfanyia Mtu Character Assassination kwenye nchi Maskini hasa za Afrika

Kabendera, Kitabu pekee hakina nguvu ya kumfanyia Mtu Character Assassination kwenye nchi Maskini hasa za Afrika

Mkuu sizungumzii Kumpenda au kumchukia Magufuli Hapa.
Nafikiri umeleta Jambo jipya.

Nazungumzia impact ya Kitabu cha kabendera Kwa Watanzania wengi ni chini ya 1%

..kwani Kabendera alikwambia anataka impact au anataka kuweka UKWELI wake wazi?

..sio sahihi kumzodoa mtu aliyepitia wakati mgumu kama Kabendera.
 
..kwani Kabendera alikwambia anataka impact au anataka kuweka UKWELI wake wazi?

..sio sahihi kumzodoa mtu aliyepitia wakati mgumu kama Kabendera.

Sina shida na ukweli kama upo aliouelezea.
Tatizo Linakuja Kitabu kizima kwa sehemu kubwa kina hearsay nyingi kuliko ushuhuda wake yeye kama yeye.
 
Kwani impact ya kitabu cha mzee Mwinyi kwa Watanzania ni kiasi gani?. Kwa hiyo ndo kitabu kisiandikwe?

Kitabu kikiandikwa maana yake kitasomwa na vizazi zaidi ya 1000 vijavyo, na hivyo ndivyo civilization inavyojengwa.

Wewe unadjani kwa kuwa watanzania wa leo hawapendi kusoma, hiyo ndo itakuwa excuse ya kutoandika vitabu?

Miaka elfu inategemea Mkuu
 
Sina shida na ukweli kama upo aliouelezea.
Tatizo Linakuja Kitabu kizima kwa sehemu kubwa kina hearsay nyingi kuliko ushuhuda wake yeye kama yeye.

..unge-point hizo "hearsay" ukiweka mlinganyo na unachokijua kuliko kumbeza na kudai kuwa kitabu hakina " impact. "

..usijiingize kwenye mkumbo wa kubeza na kukatisha tamaa watu waliotendewa uovu, au wanaodai HAKI ktk taifa letu.
 
Acha watu waandike vitabu vinavyohusu Ukweli na hata vinavyohusu Uongo !
Lakini mwisho wa siku kila mtu wa sasa na hata hao wa baadaye atakuwa na hiari ya kuamini au kutoamini hivyo vitabu vitakavyo andikwa au vilivyo andikwa tayari !!

Na hata kwenye vitabu vya Historia bado sio kila kilichoandikwa ni cha kweli !
Kubwa kuliko zote sasa hata kwenye Vitabu vya Dini bado mpaka leo kukubali na kutokubali kupo kama kawaida 😳🙌 !

Wanaoandika waandike tu lakini Akili mu kichwa! Kuamini au kutoamini ni hiari ya mtu ya binafsi yake 🙌👍🙏
 
Hata vitabu vya Dini zote sio watu wote wanavyoviamini vitabu vyote !
Seuze Vitabu vya Wale ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa au walikuwa Victims of Circumstances ??!
Inafahamika kila muamba Ngozi huvutia upande wake !
 
Yule mtu alikuwa dhalkmu nachelea kuamini maandishi ya kabendera.
 
Back
Top Bottom