1: chama cha mapinduzi (CCM)tan ni chama cha ukombozi ndio muunganiko wa TANU kwa tanganyika na ASP kwa zanzibar
2:Tanganyika tunanufaika zaidi na muungano kiusaalma zaidi na nadhan ndolilikua lengo kuu la muasisi wa uo muungano kwa upande huu wa bara ukitoa madhumuni mengine
3: Mwenge =uhuru(9 december ) ,ni mojawapo ya vitu vinavopatikana kwenye nembo ya taifa hili ukitaka tuutoe mwenge maana yake tutoe na vitu vingine kwenye nembo ya taifa letu tukufu la TANZANIA
Alama zingine ni PEMBE ZA NDOVU,MWANAMKE NA MWANAUME,RANGI NYEUPE NA BULUU,RANGI NYEKUNDU,NGAO, ,MAJEMBE MAWILI pamoja na MKUKI.