Kabla hamjafuta somo la Uraia (Civics) naomba nijibiwe maswali haya

Kabla hamjafuta somo la Uraia (Civics) naomba nijibiwe maswali haya

Achana na hoja za kitoto hizi kuhusu mwenge haya mambo kwenye jamii yetu yanafanyika Kila siku siyo kwenye mwenge tu so tusisizane katika malezi
Mwenge ni kichocheo. Hata wale watoto wa geti kali siku za mkesha wa mwenge huruhusiwa kwenda kukesha
 
Taja faida za muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Kwa uchache tu,

Muungano unatoa fursa za kiuchumi kwa Tanganyika na Zanzibar
1.kupanua masoko za bidhaa zake na huduma.
2. kuimarisha sekta za uzalishaji.
3. kuongeza ajira.
4.kuimarisha miundombinu na hivyo kujijenga kiushindani.
 
Kabla hamjafuta Civics nataka nijulishwe,
1. Chama Cha Mapinduzi kilimpindua nani?
2. Tanganyika tunafaidikaje na muungano?
3. Mwenge wa uhuru uko kwa ajili ya maslahi na faida ya nani? Na una faida gani kwa taifa? Kwanini usizimwe na kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa?
Tatizo lako unaamini neno mapinduzi ni lazima utumie bakola tu.
Neno mapinduzi linaweza likawa hata kifkra.
Kama wewe ulivyopinduliwa kutoka katika fikra za kijinga na mpaka kuwa mtu huru na muungwana
 
Tatizo lako unaamini neno mapinduzi ni lazima utumie bakola tu.
Neno mapinduzi linaweza likawa hata kifkra.
Kama wewe ulivyopinduliwa kutoka katika fikra za kijinga na mpaka kuwa mtu huru na muungwana
Kwenye fikra, ni mapinduzi gani yamefanywa na CCM?
 
Kwa uchache tu,

Muungano unatoa fursa za kiuchumi kwa Tanganyika na Zanzibar
1.kupanua masoko za bidhaa zake na huduma.
2. kuimarisha sekta za uzalishaji.
3. kuongeza ajira.
4.kuimarisha miundombinu na hivyo kujijenga kiushindani.
Bila muungano vyote hivi vingewezekana na maisha yangekuwa bora zaidi kwa pande zote mbili
 
1:chama cha mapinduzi (CCM)tan ni chama cha ukombozi ndio muunganiko wa TANU kwa tanganyika na ASP kwa zanzibar
2:Tanganyika tunanufaika zaidi na muungano kiusaalma zaidi na nadhan ndolilikua lengo kuu la muasisi wa uo muungano kwa upande huu wa bara ukitoa madhumuni mengine
3:Mwenge =uhuru(9 december ) ,ni mojawapo ya vitu vinavopatikana kwenye nembo ya taifa hili ukitaka tuutoe mwenge maana yake tutoe na vitu vingine kwenye nembo ya taifa letu tukufu la TANZANIA
Alama zingine ni PEMBE ZA NDOVU,MWANAMKE NA MWANAUME,RANGI NYEUPE NA BULUU,RANGI NYEKUNDU,NGAO, ,MAJEMBE MAWILI pamoja na MKUKI.
ASP walilazimisha ili kuua chama chao na kuungana na TANU na kuunda chama kipya,neno mapinduzi sharti liwemo kwenye hicho chama kipya
 
1: chama cha mapinduzi (CCM)tan ni chama cha ukombozi ndio muunganiko wa TANU kwa tanganyika na ASP kwa zanzibar

2:Tanganyika tunanufaika zaidi na muungano kiusaalma zaidi na nadhan ndolilikua lengo kuu la muasisi wa uo muungano kwa upande huu wa bara ukitoa madhumuni mengine

3: Mwenge =uhuru(9 december ) ,ni mojawapo ya vitu vinavopatikana kwenye nembo ya taifa hili ukitaka tuutoe mwenge maana yake tutoe na vitu vingine kwenye nembo ya taifa letu tukufu la TANZANIA

Alama zingine ni PEMBE ZA NDOVU,MWANAMKE NA MWANAUME,RANGI NYEUPE NA BULUU,RANGI NYEKUNDU,NGAO, ,MAJEMBE MAWILI pamoja na MKUKI.
Kwanini mwenge usikae tu makumbusho hadi umalize hela?Na swali la kwanza hata mimi sijaelewa jibu lako
 
Kabla hamjafuta Civics nataka nijulishwe,
1. Chama Cha Mapinduzi kilimpindua nani?
2. Tanganyika tunafaidikaje na muungano?
3. Mwenge wa uhuru uko kwa ajili ya maslahi na faida ya nani? Na una faida gani kwa taifa? Kwanini usizimwe na kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa?
Aliye nyuma ya moto wa mwenge AMEUWAWA.

Tegemea mwenge kuzimika muda wowote kuanzia 2023.....

Uchawi huo ndo uliwafunga wananchi wengi ktk vifungo vya Giza.

Kila kitu kitabadilika. Aamen
 
Bila muungano vyote hivi vingewezekana na maisha yangekuwa bora zaidi kwa pande zote mbili
Tuna tabia moja ambayo kiukweli ni mbaya sana na tabia yenyewe ni kutaka kuamini kwa kuona kwamba Jambo fulani ni baya au Jambo fulani ni zuri. Tusiwe matomaso.

Hatutakiwi kubeza juhudi na jitihada za waasisi wetu kutuunganisha kwa kuwa tunaona tu kwa kipindi hiki hakuna faida lakini kipindi Jambo hili linafanywa faida zilikuwepo na mpaka leo zipo. Waasisi wetu hawakukaa chini kufanya Jambo lisilo na umuhimu.

Kuchamba kwingi huondoka na mavi
 
Tuna tabia moja ambayo kiukweli ni mbaya sana na tabia yenyewe ni kutaka kuamini kwa kuona kwamba Jambo fulani ni baya au Jambo fulani ni zuri. Tusiwe matomaso.

Hatutakiwi kubeza juhudi na jitihada za waasisi wetu kutuunganisha kwa kuwa tunaona tu kwa kipindi hiki hakuna faida lakini kipindi Jambo hili linafanywa faida zilikuwepo na mpaka leo zipo. Waasisi wetu hawakukaa chini kufanya Jambo lisilo na umuhimu.

Kuchamba kwingi huondoka na mavi
Unataka tuwe brain washed kama wewe?
 
Kwani kuna mkakati wa kufuta somo la Uraia ?
Ukisoma dondoo zilizofupishwa na watu wasiofahamu kufupisha, inaonekana somo la Uraia limefutwa, lakini ukisoma mapendekezo ya sera ya elimu utaona somo la Uraia limehamishiwa katika somo jipya la Historia ya Tanzania na Maadili

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa uchache tu,

Muungano unatoa fursa za kiuchumi kwa Tanganyika na Zanzibar
1.kupanua masoko za bidhaa zake na huduma.
2. kuimarisha sekta za uzalishaji.
3. kuongeza ajira.
4.kuimarisha miundombinu na hivyo kujijenga kiushindani.
Daaah! Waliokuajiri wajitafakari upya, nadhani wanaweza kupata mtu smart zaidi yako.
 
Back
Top Bottom