Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Ongezea na hiyo hapo Ezekieli 24:14 uiosome pamoja na hiyo Yohana 14:6. Uwe ni wa kimila
au vyovyote vile utakavyo, maadamu umeumbwa hujajiumba na huna uwezo wa kujiumba.... Ukishajua kuna Mungu, na Mungu huyo kayaweka/kayapanda maadili mema moyoni mwako tangu kuzaliwa kwako basi na ijulikane kwamba tayari dhambi ina kuhusu. So kinachofuata hapo ni kutakiwa kujinyenyekeza kwa huyo Mungu wa Mbinguni ili Neema yake isikupitie pembeni.
Kawatishe wenzako huko mnapotishana, mna matatizo kibao huko , malizani ndio mje kwetu watu wa kimila
 
Hao wakristo wenyewe wametofautiana kwenye vitu vingi, ndio maana hata idadi ya vitabu ni tofauti wengine wana 66 na wengine wana 73, malizeni tofauti zenu ndio mje kwetu wapagani

Ndio Mungu anavyotafutwa hivyo na wampendao na kumpokea na kuamua kuishi sawasawa na mapenzi yake. Wewe unazungumzia Wakristo kuwa na tofauti hujiulizi Nuhu na wanawe Watatu na wake zao waliookolewa wakati wa gharika bado wakatofautiana na akatokea Ibrahim.
 
Hao wakristo wenyewe wametofautiana kwenye vitu vingi, ndio maana hata idadi ya vitabu ni tofauti wengine wana 66 na wengine wana 73, malizeni tofauti zenu ndio mje kwetu wapagani
Mkuu Ukristo ni ufuasi wa kumfata Yesu kristo utaitwa mkristo ikiwa utaishi sawasawa na mafundisho ya Yesu na sio uwingi au uchache wa vitabu vya bibilia, kinachofanya kuwe na tofauti kati ya wakristo kwa wa kristo ni aina ya mafundisho yanayofundishwa kutokuwepo kwenye bibilia,
 
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?

Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.

Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Hacha uchafu wa namna hii wewe
Uko ndio kuchafua Sasa.
 
Kawatishe wenzako huko mnapotishana, mna matatizo kibao huko , malizani ndio mje kwetu watu wa kimila

Wa kimila mlishaachwa tangu enzi za Kaini huko leo hii kete uliyo nayo ni ama unaisika kweli na kukata shauri au unapotea kama alivyopotea Kaini muasisi wenu wa kumfuata mungu wa dunia hii aka shetani.
 
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?

Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.

Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Hicho ulichokiandika ni kama kauli mbiu ambayo inaimbwa na kila dini

Hata mkristo anaweza akasema hivyo hivyo na kwaba yehova na yesu ndio Mungu wa kweli
 
Hacha uchafu wa namna hii wewe
Uko ndio kuchafua Sasa.
Tuelewane na tujadili kistaarabu. Au huelewi maana ya ustaarabu?

Kipi kilichokuchafua katika post yangu?

Mimi nimejitambulisha wazi wazi kuwa ni Muislam na nilichokiandika ni kwa mujibu wa imani yangu.

Katika niliyoyaandika jibu ni lipi unakuballiano nalo na lipi usilokubaliana nalo. Tatizo nini?
 
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?

Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.

Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).

Ambao ni uhuru wako na utashi wako ulio amua ukiwa na akili timamu na inapaswa uheshimiwe na kila aliye staarabika.
 
Hatukujengwa Kuyajibu maswali magumu, tumekua tegemezi kwa wa huni wa chache

Kuna wakati najiuliza hivi, hawa viongoz wetu, wa kiiman, ni mwaka wa nani? mbona kama wanatufanya kua tegemezi kwa manufaa yao Binafsi!! Mafundisho yao ni chenga tu, hayaendani na ulimwengu waleo, mtu ajiita mtumishi anakufundisha ktu ukijaribu kukiingi za kichwani kinatoka berenge.
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?

Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.

Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Mungu hana dini uislam ni dini iliyoanzishwa na mhamed, Mungu ni Upendo
 
Hicho ulichokiandika ni kama kauli mbiu ambayo inaimbwa na kila dini

Hata mkristo anaweza akasema hivyo hivyo na kwaba yehova na yesu ndio Mungu wa kweli

Wewe ni dini gani? Tuanzie hapo.
 
Mkuu Ukristo ni ufuasi wa kumfata Yesu kristo utaitwa mkristo ikiwa utaishi sawasawa na mafundisho ya Yesu na sio uwingi au uchache wa vitabu vya bibilia, kinachofanya kuwe na tofauti kati ya wakristo kwa wa kristo ni aina ya mafundisho yanayofundishwa kutokuwepo kwenye bibilia,

Wasaidie waelewe maana Biblia inajitosheleza kwa kueleza ni lini hawa wa wafuasi wa Bwana Yesu aka Bwana Mungu Mwenyezi (Mungu wa Mbinguni) aliye uvaa uwanadamu kwa kupitia nafsi yake ya pili ya Uwana wa Mungu walianza kuitwa Wakristo. Matendo ya Mitume 11:26.
 
Mungu hana dini uislam ni dini iliyoanzishwa na mhamed, Mungu ni Upendo
Labda tatizo lako ni uelewa wa nini maana ya neno "dini".

Tuelewane kwanza kwa ufahamu wako, ni nini maana ya neno dini?
 
Dini ni njia
Naam, soma hii...

Qur'an 3:19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
 
Naam, soma hii...

Qur'an 3:19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
1 Yohana 4;8 Yeye Asiyependa Hakumjua Mungu Kwa Maana Mungu Ni Upendo;
 
Back
Top Bottom