ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kawatishe wenzako huko mnapotishana, mna matatizo kibao huko , malizani ndio mje kwetu watu wa kimilaOngezea na hiyo hapo Ezekieli 24:14 uiosome pamoja na hiyo Yohana 14:6. Uwe ni wa kimila
au vyovyote vile utakavyo, maadamu umeumbwa hujajiumba na huna uwezo wa kujiumba.... Ukishajua kuna Mungu, na Mungu huyo kayaweka/kayapanda maadili mema moyoni mwako tangu kuzaliwa kwako basi na ijulikane kwamba tayari dhambi ina kuhusu. So kinachofuata hapo ni kutakiwa kujinyenyekeza kwa huyo Mungu wa Mbinguni ili Neema yake isikupitie pembeni.
Hao wakristo wenyewe wametofautiana kwenye vitu vingi, ndio maana hata idadi ya vitabu ni tofauti wengine wana 66 na wengine wana 73, malizeni tofauti zenu ndio mje kwetu wapagani
Mkuu Ukristo ni ufuasi wa kumfata Yesu kristo utaitwa mkristo ikiwa utaishi sawasawa na mafundisho ya Yesu na sio uwingi au uchache wa vitabu vya bibilia, kinachofanya kuwe na tofauti kati ya wakristo kwa wa kristo ni aina ya mafundisho yanayofundishwa kutokuwepo kwenye bibilia,Hao wakristo wenyewe wametofautiana kwenye vitu vingi, ndio maana hata idadi ya vitabu ni tofauti wengine wana 66 na wengine wana 73, malizeni tofauti zenu ndio mje kwetu wapagani
Hacha uchafu wa namna hii weweMwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?
Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.
Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Kawatishe wenzako huko mnapotishana, mna matatizo kibao huko , malizani ndio mje kwetu watu wa kimila
Hicho ulichokiandika ni kama kauli mbiu ambayo inaimbwa na kila diniMwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?
Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.
Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Tuelewane na tujadili kistaarabu. Au huelewi maana ya ustaarabu?Hacha uchafu wa namna hii wewe
Uko ndio kuchafua Sasa.
Mwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?
Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.
Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Hatukujengwa Kuyajibu maswali magumu, tumekua tegemezi kwa wa huni wa chache
Kuna wakati najiuliza hivi, hawa viongoz wetu, wa kiiman, ni mwaka wa nani? mbona kama wanatufanya kua tegemezi kwa manufaa yao Binafsi!! Mafundisho yao ni chenga tu, hayaendani na ulimwengu waleo, mtu ajiita mtumishi anakufundisha ktu ukijaribu kukiingi za kichwani kinatoka berenge.
Mungu hana dini uislam ni dini iliyoanzishwa na mhamed, Mungu ni UpendoMwenyezi Mungu ni mmoja, kwanza tuelewane jina lake ni nani?
Kama tunakubaliana Mwenyezi Mungu ni mmoja basi hatuna budi kukubaliana pia kuwa Dini ni moja. Haiwezekani Mwenyezi Mungu mmoja awe na dini nyingi kwa maagizo tofauti tofauti.
Binafsi Nnaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja na Dini ni moja tu, nayo ni Uislam. Dini na madhehebu yake mengine yote ni mambo ya tamaa za kibinaadam za wagawe uwatawale (Divide and rule).
Hicho ulichokiandika ni kama kauli mbiu ambayo inaimbwa na kila dini
Hata mkristo anaweza akasema hivyo hivyo na kwaba yehova na yesu ndio Mungu wa kweli
Mkuu Ukristo ni ufuasi wa kumfata Yesu kristo utaitwa mkristo ikiwa utaishi sawasawa na mafundisho ya Yesu na sio uwingi au uchache wa vitabu vya bibilia, kinachofanya kuwe na tofauti kati ya wakristo kwa wa kristo ni aina ya mafundisho yanayofundishwa kutokuwepo kwenye bibilia,
Sina diniWewe ni dini gani? Tuanzie hapo.
Labda tatizo lako ni uelewa wa nini maana ya neno "dini".Mungu hana dini uislam ni dini iliyoanzishwa na mhamed, Mungu ni Upendo
Dini ni njiaLabda tatizo lako ni uelewa wa nini maana ya neno "dini".
Tuelewane kwanza kwa ufahamu wako, ni nini maana ya neno dini?
Naam, soma hii...Dini ni njia
Mjadala wa hapa haukufai, soma kichwa cha mada.Sina dini
1 Yohana 4;8 Yeye Asiyependa Hakumjua Mungu Kwa Maana Mungu Ni Upendo;Naam, soma hii...
Qur'an 3:19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
1 Yohana 4;8 Yeye Asiyependa Hakumjua Mungu Kwa Maana Mungu Ni Upendo;
Na 1Yohana 4;20Na Upendo unazungumziwa hapa ni ule wa Yohana 3:16.
Hayo ni maneno ya Yohana.1 Yohana 4;8 Yeye Asiyependa Hakumjua Mungu Kwa Maana Mungu Ni Upendo;