Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Nissan TIIDA vipi haifai?
We usitafute matatizo wakati hela ya kununua gari tu unaunga unga mzee. Kwa uchumi wako huo ukinunua Nissan kama itamaliza miezi 6 inatembea barabarani basi uje kutoa shuhuda humu.

Hio Nissan unayotaka kuuziwa 4M mwenye nayo lazima imeshamkata pumzi anakutupia zigo la mavi. Ni aghali kuifanyia maintanance amini kwamba. Na ikianza magonjwa yake ni ya malaki.
 
We usitafute matatizo wakati hela ya kununua gari tu unaunga unga mzee. Kwa uchumi wako huo ukinunua Nissan kama itamaliza miezi 6 inatembea barabarani basi uje kutoa shuhuda humu.

Hio Nissan unayotaka kuuziwa 4M mwenye nayo lazima imeshamkata pumzi anakutupia zigo la mavi. Ni aghali kuifanyia maintanance amini kwamba. Na ikianza magonjwa yake ni ya malaki.
Kuna muhuni alikua anatafuta mteja wa Mitsubish GDI siku alivyofanikiwa kuiuza akaenda kuswali rakaa 3 kumshukuru mungu [emoji23][emoji23]
 
Kuna muhuni alikua anatafuta mteja wa Mitsubish GDI siku alivyofikiwa kuiuza akaenda kuswali rakaa 3 kumshukuru mungu [emoji23][emoji23]
Kwakweli Mitsubishi utakayonshauri kununua ni canter ama Fuso. Mbali na hapo labda Forklift na mitambo mitambo tu.

Ila kuhusu gari ya kutembelea walishafeli toka kitambo. Pajero hewa, RVR upepo, Mini Pajero chenga! Yani hamna gari angalau ile pickup yao ambayo imenunuliwa na makampuni ya bia na sigara japo sijapata malalamiko yake.
 
Kwakweli Mitsubishi utakayonshauri kununua ni canter ama Fuso. Mbali na hapo labda Forklift na mitambo mitambo tu.

Ila kuhusu gari ya kutembelea walishafeli toka kitambo. Pajero hewa, RVR upepo, Mini Pajero chenga! Yani hamna gari angalau ile pickup yao ambayo imenunuliwa na makampuni ya bia na sigara japo sijapata malalamiko yake.
Mitsubish L200 ?
 
Nissan TIIDA vipi haifai?
Nje ya Toyota,

Kama unapenda Nissan, basi Tiida siyo mbaya...Kanajitahidi kuvumilia..

Tiida na Nissan note zote zinatumia wngine moja na gear box...almost ni gari moja tofauti muonekano wa body..

Ila Tiida kama upo nje ya Dar na Arusha itakusumbua kidogo spea.....Arusha zipo spea nyingi genuine na za kichina..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejikita kwenye mtu wa mkoani kuja dar, specifically mtu mshamba. Umesahau si wote walio dar wanayajua magari. Wapo watu hapahapa miaka yote lakini wanapigwa tu, pia kuna watu mikoani humdanganyi kizembe.

Anyway, tulichosema hakiakisi uhalisia ni kununua bravis ya 4M, na ukaingia roadini kutumia bila shida, bila kujenga undugu na karakana. Hilo niko tayari kubeti kwa hela yangu.

Sio kwamba hakuna gari ya 4M isoyo na shida, just not brevis.

Kama umeelewa umeelewa, kama hujaelewa nenda kanunue brevia ya Millioni 4, utaelewa kwa vitendo.
Kutoa mfano wa mtu wa mkoani point yangu ililenga mtu anayetoka mkoa wa mbali anakuja mathali Dar, anataka alale usiku mmoja tu kesho yake arudi kwao na gari, hapo lazima ashikishwe famba...

Pili, sina haja ya kutumia nguvu kubwa kukulazimisha....ninachojua kuna watu wamenunua brevis kwa M4 changamoto kubwa labda walikuta matairi yameisha sana, wakalazimika kuweka mapya...

Note...Mtu akituliza kichwa na asipokuwa na haraka anapata gari la bei rahisi na bado anauwezo wa kuingia barabarani akaenda zake...
Magari yapo mengi kila mtu anauza kwa matatizo yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoa mfano wa mtu wa mkoani point yangu ililenga mtu anayetoka mkoa wa mbali anakuja mathali Dar, anataka alale usiku mmoja tu kesho yake arudi kwao na gari, hapo lazima ashikishwe famba...

Pili, sina haja ya kutumia nguvu kubwa kukulazimisha....ninachojua kuna wwtu wamenunua brevis kwa M4 changamoto kubwa labda walikuta matairi umyameisha sana, wakalazimika kuweka mapya...

Note...Mtu akituliza kichwa na asipokuwa na haraka anapata gari la bei rahisi na bado anauwezo wa kuingia barabarani akaenda zake...
Magari yapo mengi kila mtu anauza kwa matatizo yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa zang wa karibu kama wawil walinunua brevis 2nd-hand kwa wakat tofaut ziliwasumbua sana na hawakumaliza nazo hata miez 6 nao wakuzia msalaba wengine niliziogopa sana kila siku garage...
Kuna mdau kasema bora premio kuliko brevis inawezekana aliongea ukwel kias fulan

Point ya mwsho nakubaliana na ww magar ya bei rahis skuiz yako mengi sana tena mazuri
 
Brevis gari ya class kubwa katika toyota. Ni miongoni mwa zilizowahi kuwa high end Sedans kwa kipindi chake huko Ujapani.

So hata hapa kwetu hivyo hivyo na spear zake ni aghali. Na hii ni pamoja na Mark X na Crown. Ni Toyota ambazo ni aghali kidogo kuzi maintain ndio maana watu wenye kipato ch kuunga unga zikiwashinda wanazipiga bei chee tu kujiepusha na mabalaa.
Kuna jamaa zang wa karibu kama wawil walinunua brevis 2nd-hand kwa wakat tofaut ziliwasumbua sana na hawakumaliza nazo hata miez 6 nao wakuzia msalaba wengine niliziogopa sana kila siku garage...
Kuna mdau kasema bora premio kuliko brevis inawezekana aliongea ukwel kias fulan

Point ya mwsho nakubaliana na ww magar ya bei rahis skuiz yako mengi sana tena mazuri
 
Back
Top Bottom