Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Nakubali ila tatizo letu watanzani gari likishaandikwa Toyota tu, mtu analipa service duni kuanzia oil, plug mtu anaweka moaka zile za buku 4 kwa moja....mabalaa ndiyo yanaanzia hapo..Ukiweka Plug nzuri hupunguza kiu kidogo.
Maji lazima uite mma
Mkuu kuna jamaa aligonga gari la mzee flani Benz akalipasua taa moja nyuma. Jamaa akahisi labda ni pesa ndogo akataka wakamalizane amwekee taa mpya. Ehee anashangaa eti taa inauzwa 950,000.Tunaoendesha vigari vya Kijapani esp. Toyota tunabezwa sana humu ooh gari mbaya, mbovu, haziko stable na blaah blaah nyengine. Ni sawa ila zinatibika kwa wepesi bila kuua account bank.
Kabla hujajiingiza huko hebu cheki mambo ya Audi A6 huku na hii ni ya 2004. Kwa hisani ya Jerry Spare Parts. Mwenye gari ni bwamdogo mmoja tu kijana wangu.
Kaka mbona pesa ndogo sana hiyo? BTW ukiwa watumia Tecno, usitafatute madhaifu ya iPhone ili kujipa uhalali wa kutumia Tecno. Kama ndugu yako kanunua kiatu kisicho cha size yake hilo ni kosa lake, sio kosa la wote wanaonunua hicho kiatu. Mwambie dogo siku zote tunakula kwa urefu wa kamba yetu.
Ndiyo...hiyo familia hata mwalimu wa TGTS D anaimudu nila shida...hazina gharama kubwa..[emoji119][emoji119][emoji28]Naona umemtajia familia ya nz[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni aina gani ya gari mkuu, na imekorofisha kitu gani..?Kwenye mafundi nakubaliana na wewe. Kina gari nimeitelekeza huko mikoani mafundi wameshindwa kujua shida ni Nini. Hapa ndipo nilifika nikatamani Toyota
Kaka mbona pesa ndogo sana hiyo? BTW ukiwa watumia Tecno, usitafatute madhaifu ya iPhone ili kujipa uhalali wa kutumia Tecno. Kama ndugu yako kanunua kiatu kisicho cha size yake hilo ni kosa lake, sio kosa la wote wanaonunua hicho kiatu. Mwambie dogo siku zote tunakula kwa urefu wa kamba yetu.
[/QUOT
Alihisi Taa ya laki 2 kama Toyota😂😂😂😂Mkuu kuna jamaa aligonga gari la mzee flani Benz akalipasua taa moja nyuma. Jamaa akahisi labda ni pesa ndogo akataka wakamalizane amwekee taa mpya. Ehee anashangaa eti taa inauzwa 950,000.
Mkuu natafuta tu kifaa cha kutembelea na siyo Gari😀😀 ili kurahisisha kazi zangu mkuu..Mzeebaba tulia kwanza naona umenogewa na life limenyooka. Hongera sana life liendelee kubamba[emoji123]
Kuna dreva tax hapa Arusha wa gari za moromboo..aligonga gari kama hiyo akavunja taa ya mbele ..sema yee alichofanya akamkabidhi jamaa wa Benz ufunguo wa tax yake maana alijua gharama yake siyo ya kitoto ..sema yule jamaa alikuwa mtu poa sana aliamua kusepa tu akamuacha jamaa na tax yake 😀😀😀Mkuu kuna jamaa aligonga gari la mzee flani Benz akalipasua taa moja nyuma. Jamaa akahisi labda ni pesa ndogo akataka wakamalizane amwekee taa mpya. Ehee anashangaa eti taa inauzwa 950,000.
Ntapata aina gani ya bei hiyo mkuu?Mkuu hiyo sijawahi kukutana nayo ya bei hiyo..
Sidhani kama itapatikana na ikipatikana lazima itakuwa na tatizo kubwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii engine nimeiganda hadi sio poa... Gari ya 3 sasa nimekaa na 1NZ1NZ-FE mkombozi wa wanyonge huyo ndani ya 1490cc
umefaulu.Unafeli mkuu.. Premio hata kwenye fuel iko vizuri kuliko carina
kwa uzoefu wangu wateja wapo.Hata zile watu wanazikimbia mkuu... D4 teknolojia kali
Alikua wapi kuchora aseMkuu kuna jamaa aligonga gari la mzee flani Benz akalipasua taa moja nyuma. Jamaa akahisi labda ni pesa ndogo akataka wakamalizane amwekee taa mpya. Ehee anashangaa eti taa inauzwa 950,000.
Insurance si ndo inalipa?Mkuu kuna jamaa aligonga gari la mzee flani Benz akalipasua taa moja nyuma. Jamaa akahisi labda ni pesa ndogo akataka wakamalizane amwekee taa mpya. Ehee anashangaa eti taa inauzwa 950,000.
Wabongo wengi wanapenda malizana hapo hapo bila kwenda huko kutokana na usumbufu. Mimi mwenyewe niliwahi kubamizwa bamaga, na jamaa flani alikuwa anaendesha gari huku jimama linamnyonya rungu utam ukamzidia sijui hakuona mataa, akatubamiza, mimi na mwenzangu. Yule mama alitulipa pale pale tena mkwanja mrefu kwa kuhamisha pesa, mimi alinipa lak 7.2 gari ilikuwa imebonye sa sana mwenzangu sijui alipewaa ngapi.Insurance si ndo inalipa?
Wamalizane kwanini?
Hatuna mafundi kabisa, tena waliopo wanaweza ongeza tatizo badala ya kufuta tatizo.Kwenye mafundi nakubaliana na wewe. Kina gari nimeitelekeza huko mikoani mafundi wameshindwa kujua shida ni Nini. Hapa ndipo nilifika nikatamani Toyota