Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Hahahaaaa mkuu ujio wao kwako ni baraka tupu

lazima waje gunia lililo kobolewa la mpunga
karanga
maharage na viazi vilivyo kaushwa almaalufu michembe. huwa wanabeba kama wanahama mkuu. hata wasipokuja
utatumiwa tu hata uwe dar au mbeya

wakija mikono mitupu fukuza sio wasukuma wale.
Hapo safi
 
Sema katika jamii ya wasukuma uke wenza ni nje nje na jambo la kawaida sana pamoja na Kwamba ni wakristo.
Sijui ni Kwanini ??
Tuseme kanda ya ziwa kote huko bara iko hivyo.
Nimekuja kujua hilo Mwaka Jana Sijui Mwaka juzi tu.
Mimi nilijua sababu ni wakristo ni mke mmoja kumbe thubutuuu yake !

Ukimuuliza msukuma yeyote randomly “ kwenu mmezaliwa wangapi ?
Atakuuliza kwanza ;
“ kwa mama tu au kwa baba “ ??
Maana yake kwa baba huwa ni zaidi ya mama mmoja.

Kwa hiyo wale wanawake mnaotegemea kuingia kwenye uhusiano na wanaume wa kisukuma kuweni na hiyo provision 👌👌👌
Na wanaume wa bara wakurya, wahaya n.k
Na uzoefu unaonesha mke ukiolewa ukijitia choyo na jeuri mma mkwe anamtafutia mwanae mwanamke mwingine wa kumpa furaha na utulivu,
Shoga yangu ukijakujua na watoto walishazaliwa siku nyingi.
Kaza roho.
 
Unajua ni Kwanini Wahindi wa bongo hawatakagi wahindi wenzao kuwa na uhusiano na mtu mweusi (Mtanzania) ??
Hawataki kabisa kusikia mhindi kazaa au kuoa au kuwa na uhusiano wa kimapenzi ??

Wengi watasema sababu ya ubaguzi wa rangi, huenda ikawa kweli ni sababu Mojawapo kubwa lakini huenda ni zaidi ya hivyo aisee for the betterment of their breed sustainability from one generation to another.

Kuoana makabila kuna changamoto zake.
Faida ni cha je kuliko hasara.
 
Unakuta jamaa wa kisukuma akienda mikoani au Wilaya Fulani au kijiji anapokuwa na wenyeji jinsi alivyo utajua tu Huyu ni mgeni si mwenyeji .
Jamaa limeenda hewani Yani yuko tofauti sana na wenyeji.
Imagine!
 
Unakuta jamaa wa kisukuma akienda mikoani au Wilaya Fulani au kijiji anapokuwa na wenyeji jinsi alivyo utajua tu Huyu ni mgeni si mwenyeji .
Jamaa limeenda hewani Yani yuko tofauti sana na wenyeji.
Imagine!
 
Nakumbuka nikiwa Mdogo miaka ya 90 kuna mhindi mwanamke/binti alijinyonga na kufa maeneo ya Tegeta kibaoni by night opposite kulikuwa na baniani pale Sijui miaka hii bado ipo ile familia??!
Binti alitokea kupendana na Mtanzania wa kawaida wazazi walipojua wakamgombeza na kumwambia aachane na huyo Mwanaume wa kitanzania,
Binti nae alishakolea wakataka kuoana Halafu anaambiwa waachane ?
Alijiua yule binti kwa siku na soda ya coca-cola.
Ilikuwa ni huzuni kubwa sana ktk mji ule.
 
Misosi hiyo tunayowasema wanakula sana ukute ndio inachangia kuwa majitu na wenye akili kubwa.
Mama Mjamzito anaekula michembe na maziwa ya Mtindi unategemea mtoto atakae zaś awe Sawa na mtoto wa kiswahili ambae mama Mjamzito anakula uji usiowekwa hata tone pa maziwa flesh ?, chai ya rangi na vitumbua au mkate ?
Mchana ugali na mlenda au vijidagaa ?
Mtoto wa kisukuma akizaliwa ni kunywa maziwa yakutosha hadi mkubwa anapiga msosi.
Pamoja na Kwamba wako na hizo gins lakini ulaji unachangia kuwafanya Majitu tangu mimba kutungwa hadi malezi ya mtoto.
Sema Sasa life style ikibadilika inabidi kubadilika pia.
 
Eti mtoto anapewa chai ya rangi na kitumbua au andazi baaasi!
Au uji usio na hata tone la maziwa flesh ya ng’ombe !
Halafu utegemee nini hapo?’
Mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli.
 
Wachaga nawasifu kwenye matunzo ya mzazi akishajifungua.
Mzazi atalishwa misosi balaa, misupu ya mbuzi, mitori, vyakula vya kichaga kama kena n.k mzazi akitoka maternity leave mwanamke mlangoni hapiti hadi upande.
Hapo mzazi anaonekana kapewa matunzo.
Na jitoto unakuta MashaAllah afya njema.

Lakini jamii ya wachaga wanakosea kusubiri wakati wa kujifungua tu.
Akili ya mtoto ili awe genius inajengwa tangu day one ya mimba kutungwa hadi kuzaliwa na hadi miaka 7 kama sijakosea mtanisahihisha.

Mnamwacha Mjamzito ale anakijua yeye kama ni kushindia chai na mkate, kula chips n.k
Mnasubiri wakati wa kujifungua ndipo mnakuwa serious??

I challenge you.
Mbadilike kama mnataka kuboresha zaidi.
 
Hapo kwenye Wasumbwa! Hawa hatari,,, wanapenda sana ngono.
Wasumbwa.
Kwanza hili ni kabila lililomezwa na wanyamwezi na wasukuma.
Kama sio? Jiulize kwa nini waliopo Kaliua na Urambo wanajitambulisha kama Wanyamwezi.

Na waliopo Kahama, Geita wanajitambulisha ni wasukuma?

Kwenye ngono wote Wanyantuzu, Wadakama, Wanyanzegele, Wasumbwa, Wanasa, Wanyengw'eli wamejitanaibaisha kwenye eneo Hilo?

Ninyi wote mnafanana ndio maana mmezaana wengi kupita maelezo, huku watoto wakiwa na utapia mlo.
 
Uchawi hapana maana ni makabila yote bila uchawi kabila lenu litakua dhaifu watu watajipigia tu heshima na adabu mbona umesahau
 
Shukrani mkuu ila mimi sio msukuma ila napenda nioe mwanamke wa kisukuma
Code ndo hiyo mkuu tumia mwenyeji wa kisukuma wa eneo hilo. kigezo cha binti elimu yake isizidi sana kidato cha4
Ukienda nenda kawaida kabisa usiende kama boss ama bishoo wasukuma wanatabia ya kumualia binti sehemu ya kuolewa sasa ukienda umenyoa ki ajabu ajabu ama surual zilizo chanika mapajani utaitwa sharo hata na watoto.

Kwa sasa ni kubeti ndo ilivyo kw % kubwa
 
Sema kuna changamoto naziona kwa jamii ya wasukuma.
Ile identity yao ya u-giant huenda ikapotea na kubaki historia baada ya muda mfupi ujao.
Sababu siku hizi wanaoa wanazaa na makabila baki ambayo hayana vile vinasaba vya urefu ndani yake.
Unakuta mtu anakwambia ni Msukuma lakini mfupi kama Mpare wa thame au Mluguru wa mgeta/matombo ?!
Yaani zamani na wanawake wenu MashaAllah nao ni warefu mkija kutoa watoto ni majitu fulani yamenyoookaaa.

Breed ya aina yake kwa kweli.
Wasukuma si wanapenda wanawake weupe, lazima waoe makabila mengine sasa unakuta huyo mke wake ni mfupi kisa ni mtu wa Singida.
 
Kiasi kinacholimwa hapo Magu au kule Shinyanga kinalingana na Mchele wa bonde la Usangu?

Ya kwenu ni michembe tu na ugali wa udaga basi
Inaonekana hujawahi kufika kahama, fuatilia ujue Mbarali inazalisha tan ngapi kwa mwaka ndo urudi tena
 
Wanawake wenu ukimaanisha wasukuma ama??

Halafu mkija mjini mnachukuliaje wanawake wa Dar
wa kisukuma ndio,hao wa Dar tunawaogopa kama nyoka koboko japo huwa tunawalumangia kimtindo ila si kwa kuoa!!unajua sisi wasukuma wanaume na kama wafalme,tunaamua,tunapanga na hakuna wa kupinga na wanawake wetu wanakua wakijua hio tofaut na kabila zingne!!!obheja
 
wa kisukuma ndio,hao wa Dar tunawaogopa kama nyoka koboko japo huwa tunawalumangia kimtindo ila si kwa kuoa!!unajua sisi wasukuma wanaume na kama wafalme,tunaamua,tunapanga na hakuna wa kupinga na wanawake wetu wanakua wakijua hio tofaut na kabila zingne!!!obheja

Obheja mimi wa Dar sasa nishampenda msukuma sasa[emoji23][emoji23]
 
Nikiona mada za watu wanasema wasukuma ni washamba huwa nacheka sana maana kwa uzoefu wangu wa kuzunguuka vijijini na mijini kwenye maeneo mengi ya nchi nimegundua washamba wapo wengi sana bila kujali kabila ila wasukuma wanaonekana washamba kutokana na kuwa ni wapambanaji na risk taker kwa maana ya kwamba ni kawaida kwa msukuma kutoka kijijini kwake na kwenda mkoa wowote kwa gharama zake bila woga wala kuomba msaada kwa yoyote. Sasa unategemea mtu atoke kijijini alafu ukutane nae wewe wa mjini atakuwa na mtazamo kama mtu wa mjini. Makabila mengine yanajificha kwenye kigezo cha ujanja ila ukweli ni kwamba asilimia kubwa huwa wanabaki maeneo waliyozaliwa kwa muda mrefu na hata akitoka anatoka kwa hofu na mtu wa kumokea mjini anakuwepo huku muda mwingi yupo kimya anasikilizia asigundulike wa kuja. Ila msukuma akipanda kwenye gari wakiwa wawili watatu wanajiachia na story tu wengine wanabaki kuwashangaa
 
Back
Top Bottom