Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Hakuna ukweli wowote hapo hiyo ni kamba hakuna baba mkwe wa kisukuma akaenda kwa mkwilima kukaa zaidi ya mwezi. ndoa yangu ina miaka zaidi ya kumi lkn baba mkwe kaja mara moja na hakumaliza wiki. akija anasalimia anaondoka. mama mkwe huwa anakuja kila mtoto wake akiwa mimba hapo anaweza akakaa hata mwezi auMbona umefungua saana code,umejiweka wazi na umemuweka wazi mke wa Askari kujulikana
Jirani yako
Askari polisi
Mkewe unaetembea nae ni msukuma
Alishatembelewa na familia nzima
Askari akiiona hii,ameshapata mchoro
zaidi kama atakawia kujifungua na nilazima nimuombe mimi aje.