Hapo safiHahahaaaa mkuu ujio wao kwako ni baraka tupu
lazima waje gunia lililo kobolewa la mpunga
karanga
maharage na viazi vilivyo kaushwa almaalufu michembe. huwa wanabeba kama wanahama mkuu. hata wasipokuja
utatumiwa tu hata uwe dar au mbeya
wakija mikono mitupu fukuza sio wasukuma wale.
Hapo kwenye Wasumbwa! Hawa hatari,,, wanapenda sana ngono.Wali sio chakula cha wasukuma , labda wasumbwa wa Kahama. Msukuma wa Shinyanga hadi Mwanza chakula chake ugali wa dona na hiyo michembe uliyotaja.
Ŵakikaidi nampa talkative mtoto waoHawa wakikaa wiki nafukuza mana watakua washanitua hasara ya gunia la Mchele...
Namwacha mtt wao talaka kwanza aniounguzie kikosi baada ya miez miwili narejea mke wanguInabidi uwe unawafanyisha kazi wasijikalie tu
Wasumbwa.Hapo kwenye Wasumbwa! Hawa hatari,,, wanapenda sana ngono.
Code ndo hiyo mkuu tumia mwenyeji wa kisukuma wa eneo hilo. kigezo cha binti elimu yake isizidi sana kidato cha4Shukrani mkuu ila mimi sio msukuma ila napenda nioe mwanamke wa kisukuma
Wasukuma si wanapenda wanawake weupe, lazima waoe makabila mengine sasa unakuta huyo mke wake ni mfupi kisa ni mtu wa Singida.Sema kuna changamoto naziona kwa jamii ya wasukuma.
Ile identity yao ya u-giant huenda ikapotea na kubaki historia baada ya muda mfupi ujao.
Sababu siku hizi wanaoa wanazaa na makabila baki ambayo hayana vile vinasaba vya urefu ndani yake.
Unakuta mtu anakwambia ni Msukuma lakini mfupi kama Mpare wa thame au Mluguru wa mgeta/matombo ?!
Yaani zamani na wanawake wenu MashaAllah nao ni warefu mkija kutoa watoto ni majitu fulani yamenyoookaaa.
Breed ya aina yake kwa kweli.
Wazaramu wanapenda chakula gani?Nani aliyekwambia Wazaramo wanapenda wali?
Wandengereko na Wanyangalio ndio vipenzi vya wali.
Ninyi ni wazee wa udaga na michembe
Inaonekana hujawahi kufika kahama, fuatilia ujue Mbarali inazalisha tan ngapi kwa mwaka ndo urudi tenaKiasi kinacholimwa hapo Magu au kule Shinyanga kinalingana na Mchele wa bonde la Usangu?
Ya kwenu ni michembe tu na ugali wa udaga basi
wa kisukuma ndio,hao wa Dar tunawaogopa kama nyoka koboko japo huwa tunawalumangia kimtindo ila si kwa kuoa!!unajua sisi wasukuma wanaume na kama wafalme,tunaamua,tunapanga na hakuna wa kupinga na wanawake wetu wanakua wakijua hio tofaut na kabila zingne!!!obhejaWanawake wenu ukimaanisha wasukuma ama??
Halafu mkija mjini mnachukuliaje wanawake wa Dar
wa kisukuma ndio,hao wa Dar tunawaogopa kama nyoka koboko japo huwa tunawalumangia kimtindo ila si kwa kuoa!!unajua sisi wasukuma wanaume na kama wafalme,tunaamua,tunapanga na hakuna wa kupinga na wanawake wetu wanakua wakijua hio tofaut na kabila zingne!!!obheja