Kabla sijaoa, mlioko kwenye ndoa naomba mnifahamishe yafuatayo…

Kabla sijaoa, mlioko kwenye ndoa naomba mnifahamishe yafuatayo…

Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Unakimbilia hayo yote uliyotaja kabla hujajiuliza kama unaifahamu ilipo?
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Mipango sio matumizi nunua glucose, panadol, fragile, erythromycin, usisahau, dehydrated salt(oro)
 
Kwa
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Kama akili ndio hizi mzee achana na Ndoa we Endelea kula Nyeto tu
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Kama unataka kuoa na kuishi kwa amani bila kuwa na wasiwasi wa kupoteza mali zako nakushauri umuoe Mwanamke wa Kimachame
 
Hv kwa style hii kuna haja gani ya kua na ndoa, nini maana ya ndoa?? Mtu kisaikolojia tayari umeshajipanga kwamba unaenda kuishi na adui,unadhani utafika na huyo mtu wapi,? Wanaume sahv mmezidi malalamiko na wakati nyie ndio chanzo cha haya yote, mwanamke akikupenda kwa moyo wake wote usipoanza kumvuruga wewe, huwez kuteseka na ndoa, tatizo wanaume wanaanza vurugu mwanamke akimalizia ndo analaumiwa
 
Hv kwa style hii kuna haja gani ya kua na ndoa, nini maana ya ndoa?? Mtu kisaikolojia tayari umeshajipanga kwamba unaenda kuishi na adui,unadhani utafika na huyo mtu wapi,? Wanaume sahv mmezidi malalamiko na wakati nyie ndio chanzo cha haya yote, mwanamke akikupenda kwa moyo wake wote usipoanza kumvuruga wewe, huwez kuteseka na ndoa, tatizo wanaume wanaanza vurugu mwanamke akimalizia ndo analaumiwa
 
Kataa ndoa mmeanza kujaa wenyewe kwenye mfumo.

Hati ya viwanja au document za mali zako weka sehemu ambapo hata yeye ataziona ila tu ziandikwe kwa majina yako mkuu, kwani unaoa Alshabab? naamini unatafuta mali kwa ajili ya wanao hata kama sio huyo mwanamke, lakini kumbuka msimamizi wa wanao ni huyo mke, ukizima ghafla utawatesa watoto kumbuka hilo, zingatia haya:-

1. Oa mwanamke ambaye atakuwa rafiki yako, yaani uwe mwandani wake, kukusaliti itakuwa ngumu hata akienda Baltazar utajua mapema sana kwani ni rafiki yako.

2. Ujue mke wako ataweza kuendeleza miradi yako akijua anatengeneza future ya wanae, kuliko ndugu zako maana kila mmoja ana maisha yake, lakini tafuta mwanamke mwenye akili anayejiheshimu yeye kwanza kabla hajakuheshimu wewe.

Mke wangu anajua hata hela ninapoweka lakini ana discipline hawezi kuchukua pasipo kupewa maagizo, ni hayo tu. Kumbuka haina formula inategemeana na ntu na ntu
 
Hv kwa style hii kuna haja gani ya kua na ndoa, nini maana ya ndoa?? Mtu kisaikolojia tayari umeshajipanga kwamba unaenda kuishi na adui,unadhani utafika na huyo mtu wapi,? Wanaume sahv mmezidi malalamiko na wakati nyie ndio chanzo cha haya yote, mwanamke akikupenda kwa moyo wake wote usipoanza kumvuruga wewe, huwez kuteseka na ndoa, tatizo wanaume wanaanza vurugu mwanamke akimalizia ndo analaumiwa
Maisha ni kama vita na hivi ndo tunavyovicheza
 
Kachukue safe deposit benki kwa mwezi crdb basic ni 30k - 100k documents zote sensitive ficha pale .

Cha pili kabla ndoa mfanye mkeo asign prenup , hii inahakikisha chochote alichokupata nacho au utakachomiliki sio matrimonial property
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Una roho ya uchoyo mbaya sana. Na itakuwa umezaliwa na kukulia kijijini.
 
Back
Top Bottom