Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Yaani jitu Malaya,limetoka kwao mke/mme malezi tofauti muwe mwili mmoja!Nakataa!Hii dhana naikataa kata kata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani jitu Malaya,limetoka kwao mke/mme malezi tofauti muwe mwili mmoja!Nakataa!Hii dhana naikataa kata kata!
Unakimbilia hayo yote uliyotaja kabla hujajiuliza kama unaifahamu ilipo?Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Mipango sio matumizi nunua glucose, panadol, fragile, erythromycin, usisahau, dehydrated salt(oro)Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Kama akili ndio hizi mzee achana na Ndoa we Endelea kula Nyeto tuNataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Ni kweli huko mbele kuna mtu nitamwoa tu sasa inabidi akae kwa kutulia mapema akipiga penati na goti mimi napiga kwa kichwa yani kife kifeAah mkuu ndoa achana nayo bwana.
Hio la mwili mmoja ndo halipo wanatuzuga na hiyo kauli ili wavune mali ninachoshukuru mapanga yanauzwa bei rahisi sana nafikiri haizidi 5000 unajipatia panga lako safi kabisa kama la kikoreaYaani jitu Malaya,limetoka kwao mke/mme malezi tofauti muwe mwili mmoja!Nakataa!
Hawataki kabisa kutoa madiniMimi naona swali ni zuri, Sema wanandoa wasiri sana, watasubiri yakukute mabaya ndio wakupe mbwinu.
Kama unataka kuoa na kuishi kwa amani bila kuwa na wasiwasi wa kupoteza mali zako nakushauri umuoe Mwanamke wa KimachameNataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Wewe si walisema umekufaa?Kama fikra na mawazo yako ndio hayo, basi kataa ndoa
Maisha ni kama vita na hivi ndo tunavyovichezaHv kwa style hii kuna haja gani ya kua na ndoa, nini maana ya ndoa?? Mtu kisaikolojia tayari umeshajipanga kwamba unaenda kuishi na adui,unadhani utafika na huyo mtu wapi,? Wanaume sahv mmezidi malalamiko na wakati nyie ndio chanzo cha haya yote, mwanamke akikupenda kwa moyo wake wote usipoanza kumvuruga wewe, huwez kuteseka na ndoa, tatizo wanaume wanaanza vurugu mwanamke akimalizia ndo analaumiwa
Mkuu mbona tuliopo kwenye ndoa ndio wadau wa nyeto kuliko walioko nje.Kwa
Kama akili ndio hizi mzee achana na Ndoa we Endelea kula Nyeto tu
Una roho ya uchoyo mbaya sana. Na itakuwa umezaliwa na kukulia kijijini.Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.